Mfanye mpenzi wako awe mshkaji wako๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

Mfanye mpenzi wako awe mshkaji wako๐Ÿ’ž๐Ÿ’ž

Lakini dada mimi nikikaa mshikaji u tell Iโ€™m not romantique.

Baba Mwampoo is a man and half.. tumpe tu maua ๐ŸŒบ๐ŸŒบ

Najua anajua uliamka saa 8 ukala tikiti.. we dada ni mwamba geu
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Umenikumbusha rafikiyangu tulikata tikiti kubwa saa mbili usiku akaingia nalo chumbani nimeamka anatoa vyombo kamaliza na lililobaki alikuja kubeba na kamaliza lote๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Hizi vitu zinafanya nammiss mno Baba Mwamposa wangu, that guy ni mshikaji ile kinoma, ananiitaga 'mwamba wangu' sababu naweza kula tikiti lote mwenyewe..!!
Sio Maua, nakupa mti wako๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚.
๐Ÿ‘‰Yaani Ume nitisha Hadi Mimi mpenda misosi
Cc Depal ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†, ona wenzio Wana penda kula- we ume kalia story za monky de Luffy ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Sio Maua, nakupa mti wako๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚.
๐Ÿ‘‰Yaani Ume nitisha Hadi Mimi mpenda misosi
Cc Depal ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†, ona wenzio Wana penda kula- we ume kalia story za monky de Luffy ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nimecheka sana, thank you IB..!
Depal hawezi maliza hata kipande kimoja cha eet-sum-more..!!
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€Umenikumbusha rafikiyangu tulikata tikiti kubwa saa mbili usiku akaingia nalo chumbani nimeamka anatoa vyombo kamaliza na lililobaki alikuja kubeba na kamaliza lote๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Alikuwa hajala ama lilimzidia utamu?
Maana tikitiki kama ulikula ukashiba huwezi kula jingi sbb linajaza tumbo na ile mimaji yake.
 
Alikuwa hajala ama lilimzidia utamu?
Maana tikitiki kama ulikula ukashiba huwezi kula jingi sbb linajaza tumbo na ile mimaji yake.
Sikumoja alikuwa mgonjwa akaja kulala chumbani kwangu niwe namuangalia nakuta mgonjwa anatoka nauliza vipi unajisikia vibaya kumbe kaenda kukata tikiti kakaa zake kala kapanda kitandani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚akasema siku nikiumwa nikashindwa Kula tikiti mjue naelekea kufa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Ni ubabe tu.
Yoweri-Museveni.jpg
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Copy kabisa na rafikiyangu mwanzoni nilikuwa namshangaa kula matikiti kiasi kile๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ila honestly me nasemea yale ya 1K na 2K, siyo yale makubwa kama nyumba..!!
Kabla sijalala nala nusu, kisha naweza amka zangu katikati ya usiku nikamalizia kipande changu fresh..!!
 
Sikumoja alikuwa mgonjwa akaja kulala chumbani kwangu niwe namuangalia nakuta mgonjwa anatoka nauliza vipi unajisikia vibaya kumbe kaenda kukata tikiti kakaa zake kala kapanda kitandani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚akasema siku nikiumwa nikashindwa Kula tikiti mjue naelekea kufa ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Me nakaa na kisu ndiyo raha, sasa kuna Mama Kija yeye alikuwa anakula na kijiko, unakuta tikiti limechimbwa kama shimo..!!
 
kristoooo
Ninunulie uone venye namaliza box ndani ya dk 5 ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Usifananishe Eet sum more na tikititi eti ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
box at once humalizi yale maziwa yake huwa yanakifu haraka mno bhaana..!!
 
Back
Top Bottom