Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza jaman…
Mpenzi wako akiwa mshkaji wako kuna uwezekano mkubwa sana wa kujuana zaidiakikudanganya/akichukia/akiwa na furaha sana/akiwa na huzuni/siku yake haijakuwa nzuri kabla hata ya kumuuliza…na mengineyo.
Mwite majina ya kishkaji,mwamba,mwana,na mengineyo lakini isiwe too much sasa na nyie loh😁😁..
Mara moja moja mwambie “mwamba leo tupige game jikoni wakati nakaanga vitunguu “utamu ukizidi mnajikuta vitunguu vimeungua au vimafuta vimewarukia kidogo😆😆mnaungua,au mwambie babe twende tukapige game mpakani mwa Ukraine na Russia pembezoni mwa bomu la nyuklia.
Basi tu ilimradi usumbufu Woi😁😁
Chezeni karata,fanyeni evening walk pamoja,tubuaneni kidogo lakini hakikisha jua halijazama kisirani kimeisha😆😆
Haya msichukulie maisha siriazi sasa na nyie😁
Kuna kuwaga na maisha halafu na muda wa mapenzi💞.nafikiri Niko kwenye mapenzi wakati huu sitaki kugombezwa😁😁🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
View: https://youtu.be/XhVwmbdIDhg?si=25XiVyiSLFMYZs98
Yani we jamaa ukogo negativu sana.Ohhh, una mfanya mwana, Afu baadae ana geuka snitch 😆😂
View attachment 2774361
Just joking chakori😆😂Yani wewe nahisi hili mwana umeliletea maana nyingine kabisa kha..tumia tafsiri rahisi ndugu yangu…
Naelewa sana, kuna siku mi na mchizi wangu kichizi tulikua tunalala chini kwenye tiles, mara show bafuni, ilikua n hatari. Lakin bado tukaachana ila nilienjoy mnoHaki kama hujawahi kuwa kwenye mapenzi yaliyona urafiki ndani yake nakwambia ukweli mtu Atakuona kama unanena kWa lugha ya wagiriki 🤣😁
Nikiachwa nageukia maisha naanza kutafuta fweza…muda wa kulia nautolea wapi na uzee wote huu😁😁Hapo full kuimba, them go feel it
Them go run it now
Them go hold it
Them go,
👉Aki achwa ata kuwa ana imba last last, au kubali ya lody music😆😂
I mean no malice to nobody, nime tania mpendwa🙏Yani we jamaa ukogo negativu sana.
Mapenzi hayapendi mambo mengi.unampenda?mnapendana?tengeneza mazingira ya nyie kuwa marafiki ndani ya mahusiano yenu maisha yaendelee
Hahahaha,umemalizaHayo yote ni mwembembe cha msingi ni kibunda i mean pesa
HahahahaMnoooo….mguu juu ya meza bendi kidogo😁😁chaeee💃💃