Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Siku mkiachana aisee ndo utajua hujui
Mambo ya wapendanao zikitimia
Mambo ya wapendanao zikitimia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahaaaa…Sisi tuliosomaga Uchambuzi wa Fasihi Kidato cha Tatu tunachambua dhima ya Mtoa mada ni kusema kuwa Kitanda sio sehemu pekee ya kupeana Utamu.
Mnaweza kupeana Utamu hata mkiwa Jikoni, eneo la Wazi.
Nakumbuka miaka ile ya Ujana ilikuwa tunaweza kushambulia kutokea Bafuni, Sebuleni, Kwenye Gari, ama Shambani.
Kweli Vijana mna faidi 🤗
acha ugumu mwanetu mambo yamebadilikaHizi Filipino Filipino sijui Fenandus hizi zinawaharibu Sana.
Hatutaki ushkaji na KE.
KE ni kiumbe hatari baada ya shetani.
Halafu iwe btn cousins mmekutana Xmass😂😂🏃🏃🏃Mnoooo….mguu juu ya meza bendi kidogo😁😁chaeee💃💃
Ngoja nimalizie kusoma kitabu changu cha KamasutraAhahahahaaaa…
You nailed it👌👌
♥️Kwakweli thank you
Kwa kweli Mjukuu, ila sijala korosho nina muda mrefu.Ukimaliza kahawa itakuwa tayari kwa bibi ukunywe
👊sorry
Pole sana, ila hamna muda mrefu mtakaa sawa.Mjukuu wako amefulia sna babu
😁😁😁😁Enjoy penzi jipyaPunguza uchawi sio mzuri ujue😁😁
😁😁😁yaani wewe sijui umewaza nini tuuHuku mtu kasimamia ukucha mara bomu paaah😆😆