MFTE ni Ponzi scheme, utapeli ulijificha kwenye kichaka cha forex trading

MFTE ni Ponzi scheme, utapeli ulijificha kwenye kichaka cha forex trading

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
VIjana wengi wamekua na tamaa ya kutajirika haraka na kujikuta wanaingia kwenye Ponzi Scheme na kupoteza pesa za Ada na za Matumizi wanazolipiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu na wazazi wao pia.

Hivi karibuni pameibuka Ponzi Scheme inayoitwa MFTE ambayo inajinasibu kuendesha biashara ya Forex Trading.

Mwanzoni ilikua inaitwa HTfox na sasa inaitwa MTFE unaweza tizama link ya maelezo zaidi hapa
Fraud company HTfox which is now known as MTFE | Consumer Complaints Court

Niliwahi kuandika hapa kuhusu QNET lakini watanzania sisi sijui nani anatuloga.

Haya endeleeni kuwekeza tunawangoja mje hapa mkilia
 
VIjana wengi wamekua na tamaa ya kutajirika haraka na kujikuta wanaingia kwenye Ponzi Scheme na kupoteza pesa za Ada na za Matumizi wanazolipiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu na wazazi wao pia.
Hivi karibuni pameibuka Ponzi Scheme inayoitwa MFTE ambayo inajinasibu kuendesha biashara ya Forex Trading.
Mwanzoni ilikua inaitwa HTfox na sasa inaitwa MTFE unaweza tizama link ya maelezo zaidi hapa
Fraud company HTfox which is now known as MTFE | Consumer Complaints Court

Niliwahi kuandika hapa kuhusu QNET lakini watanzania sisi sijui nani anatuloga.
Haya endeleeni kuwekeza tunawangoja mje hapa mkilia
😅😅😅😅😅
 
VIjana wengi wamekua na tamaa ya kutajirika haraka na kujikuta wanaingia kwenye Ponzi Scheme na kupoteza pesa za Ada na za Matumizi wanazolipiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu na wazazi wao pia.
Hivi karibuni pameibuka Ponzi Scheme inayoitwa MFTE ambayo inajinasibu kuendesha biashara ya Forex Trading.
Mwanzoni ilikua inaitwa HTfox na sasa inaitwa MTFE unaweza tizama link ya maelezo zaidi hapa
Fraud company HTfox which is now known as MTFE | Consumer Complaints Court

Niliwahi kuandika hapa kuhusu QNET lakini watanzania sisi sijui nani anatuloga.
Haya endeleeni kuwekeza tunawangoja mje hapa mkilia
Mtanzania wa SAsa ni mbishi sana hata KWa kitu asicho kijua... Pamoja na tahadhari uliyo toa... vichwa ngumu Watakwenda tu
 
VIjana wengi wamekua na tamaa ya kutajirika haraka na kujikuta wanaingia kwenye Ponzi Scheme na kupoteza pesa za Ada na za Matumizi wanazolipiwa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu na wazazi wao pia.
Hivi karibuni pameibuka Ponzi Scheme inayoitwa MFTE ambayo inajinasibu kuendesha biashara ya Forex Trading.
Mwanzoni ilikua inaitwa HTfox na sasa inaitwa MTFE unaweza tizama link ya maelezo zaidi hapa
Fraud company HTfox which is now known as MTFE | Consumer Complaints Court

Niliwahi kuandika hapa kuhusu QNET lakini watanzania sisi sijui nani anatuloga.
Haya endeleeni kuwekeza tunawangoja mje hapa mkilia
WAKIISHAPIGWA,
SERIKALI INAKUJA KULAUMIWA.!!
MARA SIJUI SERIKALI IINGILIE KATI
 
Achana na sisi mkuu we do need to make some money we kaa hivyohivyo!

download.jpg
 
Vijana tuna haraka ya mafanikio.
Kulikuwa na D9, Atlantic, Qnet Leo vipo wapi.
Long-term sio mchezo mzuri kabisa
Zinachanganya sana. Wenyewe utasikia easy money kwenda na ukisasa. Kama kweli hizi mambo serikali kupitia wizara husika na BOT zingesaidia kuweka sawa watu pengine manufaa yangeongezeka au madhara yangepunguzwa. Naona wameacha vile watu wale au waliwe basi....ila forex ktk mifumo mbalimbali pengine ipo ya kweli lakin pia ipo ya hatari..je tunajua kutofautisha?
 
Hawa jamaa wa upatu
Kuna MDA nahisi wanatumia ushirikina
Maana wateja wao Wana vichwa vigumu sana
 
Niliwahi kuandika hapa kuhusu QNET lakini watanzania sisi sijui nani anatuloga.

Haya endeleeni kuwekeza tunawangoja mje hapa mkilia

Mkuu wajinga hawaishi hata siku moja hata kila siku kuwe na vipindi kwenye radio/TVs zote wakitoa elimu kuhusu utapeli wa ponzi scheme.....Ponzi scheme ilianza kushika chati around 2006 au 7 Faidika Investiment wakapiga pesa wakasepa ,wakaja kina deci ,wakaja qnet,wakaja wauza alovera etc hao wote wanawapiga watu na wanaendelea kuwapiga ,kaja mr kuku kawapiga mabilioni watu wakasanuka ,amekuja na idea nyingine mr kuku anawapiga tena watu.
 
Back
Top Bottom