Mfuko upi wa UTT AMIS ni bora kukuzia mtaji wakuu?

Mfuko upi wa UTT AMIS ni bora kukuzia mtaji wakuu?

Asante sana mkuu. Liquid naona wengi wameshauri kwenye nyuzi zingine
 
Mkuu kwa UTT mifuko hii ntakushauri

Liquid fund
Bond fund

Mfano leo tuu Mfuko wa liquid vipande vimepanda sana thamani
Mkuu, hivi ukishaweka kuanzia sh 100,000 kinafuata nini..?
Kwani nikiweka pesa zangu haziwezi kuzalisha adi ninunue na kuuza hizo sijui wanaita vipande..?
 
Mkuu kwa UTT mifuko hii ntakushauri

Liquid fund
Bond fund

Mfano leo tuu Mfuko wa liquid vipande vimepanda sana thamani
kama lengo ni kukuzia Mtaji bond haimfai maana inatoa Gawio anatakiwa mfuko ambao hautoi gawio hapo ni liquid na umoja.. nsio zinafaa kukuzia. Faida inarudishwa kwenye mtaji direct
Mtaji
 
kama lengo ni kukuzia Mtaji bond haimfai maana inatoa Gawio anatakiwa mfuko ambao hautoi gawio hapo ni liquid na umoja.. nsio zinafaa kukuzia. Faida inarudishwa kwenye mtaji direct
Mtaji
Kwan mkuu mtu akiweka hela Bond fund akawa anapata gawio na hiyo hela haitoi, unataka kusema hela haitaongezeka?
 
Kwan mkuu mtu akiweka hela Bond fund akawa anapata gawio na hiyo hela haitoi, unataka kusema hela haitaongezeka?
Gawio la bond fund linatumwa bank sio kwamba wewe unaenda kutoa. UTT magawio ya kila mwez wanakutumia kwenye account yako maana yake kama unataka kukuza mtaji inatakiwa kila mwez ukipokea gawio ilirudishe kununulia vipande

Kitu ambacho utakuwa unapoteza vijishiling kadhaa
 
Hizo UTT na Amis Ni security funds,

Maanake zinalinda mtaji na sio kukuza mtaji.

Hizo UTT na AMIS Zinatoa Ela za kishwaini sn, nafuu Hata fixed deposit

Yote Kwa yote, Hiyo mifuko acha ibaki Kwa wanasiasa,mafisadi na watakatishaji fedha wakihofia kuhojiwa wanakopata Mali walizonazo.

Kuweka fedha kwenye hiyo mifuko, Mara mia nijenge nyumba ya kupangisha au lodge Ela yangu utarud kidg kdg na faida kubwa zaidi ya hiyo mifuko.
 
kama lengo ni kukuzia Mtaji bond haimfai maana inatoa Gawio anatakiwa mfuko ambao hautoi gawio hapo ni liquid na umoja.. nsio zinafaa kukuzia. Faida inarudishwa kwenye mtaji direct
Mtaji
Kuna option ya kukuza mtaji mkuu..unaamua lile gawiwo la kila mwezi usiwe unawekewa kwenye account.
 
Gawio la bond fund li atumwa babk sio kwamba wewe u aenda kutoa UTT magawio ya kila mwez wanakutumia kwenye account yako maana yake kama unataka kukuza mtaji inatakiwa kila mwez ukipikea gawio ilirudishe kununulia vipande

Kitu ambacho utakuwa unapoteza vijishiling kadhaa
So kwa maana hiyo mtu akiweka 10M bond fund atapata gawio kila mwezi na hiyo 10m itakua static haitaongezeka kabisa
 
So kwa maana hiyo mtu akiweka 10M bond fund atapata gawio kila mwezi na hiyo 10m itakua static haitaongezeka kabisa
Linaongezeka ila kwa % ndogo sio sawa na mifuko ambayo haitoa gawio

Mfano mathalani mfuko unakupa 12% kwa mwaka kitu ambacho mifuko
Yote ya UTT ndio average yake.. so kwa mfuko ambao hautoi gawio maana yake kila mwez kuna faida ya 1% ya mtaji wako inazalishwa. Ambayo inarudi kukuza mtaji. Kwa mfano wako wa 10m maana yake kila
Mwez utaona kuna almost laki na ushee hivi imeongezeka..

Huyu wa kupata gawio ataona pia kuna laki na ushee ila Mara baada ya kupokea gawio ataona ongezeko limeoingua limekuwa kama 10k hivi maana yake atakuwa kapokea 80 bank

So kwenye balance wa mfuko wa kutoa gawio anaweza akaona ana 10,020,000 na ambaye mfuko wake hauna gawio akaona kuwa ana 10,102,000

UTT kwa mifuko ya gawio wanakupa 0.8% hivi ya gawio then 0.2% hivi inarudi kwenye mtaji

NB: hizo % ni mifano inaweza kuwa zaid au pungufu
 
Linaongezeka ila kwa % ndogo sio sawa na mifuko ambayo haitoa gawio

Mfano mathalani mfuko unakupa 12% kwa mwaka kitu ambacho mifuko
Yote ya UTT ndio average yake.. so kwa mfuko ambao hautoi gawio maana yake kila mwez kuna faida ya 1% ya mtaji wako inazalishwa. Ambayo inarudi kukuza mtaji. Kwa mfano wako wa 10m maana yake kila
Mwez utaona kuna almost laki na ushee hivi imeongezeka..

Huyu wa kupata gawio ataona pia kuna laki na ushee ila Mara baada ya kupokea gawio ataona ongezeko limeoingua limekuwa kama 10k hivi maana yake atakuwa kapokea 80 bank

So kwenye balance wa mfuko wa kutoa gawio anaweza akaona ana 10,020,000 na ambaye mfuko wake hauna gawio akaona kuwa ana 10,102,000

UTT kwa mifuko ya gawio wanakupa 0.8% hivi ya gawio then 0.2% hivi inarudi kwenye mtaji

NB: hizo % ni mifano inaweza kuwa zaid au pungufu
Asante sana kwa ufafanuzi nimejifunza kitu
 
Linaongezeka ila kwa % ndogo sio sawa na mifuko ambayo haitoa gawio

Mfano mathalani mfuko unakupa 12% kwa mwaka kitu ambacho mifuko
Yote ya UTT ndio average yake.. so kwa mfuko ambao hautoi gawio maana yake kila mwez kuna faida ya 1% ya mtaji wako inazalishwa. Ambayo inarudi kukuza mtaji. Kwa mfano wako wa 10m maana yake kila
Mwez utaona kuna almost laki na ushee hivi imeongezeka..

Huyu wa kupata gawio ataona pia kuna laki na ushee ila Mara baada ya kupokea gawio ataona ongezeko limeoingua limekuwa kama 10k hivi maana yake atakuwa kapokea 80 bank

So kwenye balance wa mfuko wa kutoa gawio anaweza akaona ana 10,020,000 na ambaye mfuko wake hauna gawio akaona kuwa ana 10,102,000

UTT kwa mifuko ya gawio wanakupa 0.8% hivi ya gawio then 0.2% hivi inarudi kwenye mtaji

NB: hizo % ni mifano inaweza kuwa zaid au pungufu
Mkuu mimi nataka niweke kama milioni 40 hivi kwa miezi mitatu, je itawezekana? Ni mfuko upi mzuri?
 
Back
Top Bottom