crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Ni Mwigulu alipotumbuliwa uwaziri wa mambo ya ndani. Namnukuu hayati JPM.
"nimechoka kutoa salamu za rambirambi kwa sababu ya ajali kila siku, nimechoka, it's too much (kwa uchungu with a very serious tone). Mbaya zaidi ninayetoa ni mimi tu huku waziri akiwa anazurula bila kuchukua hatua yoyote."
Someone else, "ajali zimekuwa nyingi sana siku hizi. Lazima tujiulize tunafeli wapi??" halafu anamalizia, "hili nalo mkalitazame" inakuwa imeisha hiyo. Ni vyema Mheshimiwa Rais akaiga hii tabia ya kuchukua hatua mara moja. Mambo ya kubembelezana na wasaidizi wake yanamharibia sana.
"nimechoka kutoa salamu za rambirambi kwa sababu ya ajali kila siku, nimechoka, it's too much (kwa uchungu with a very serious tone). Mbaya zaidi ninayetoa ni mimi tu huku waziri akiwa anazurula bila kuchukua hatua yoyote."
Someone else, "ajali zimekuwa nyingi sana siku hizi. Lazima tujiulize tunafeli wapi??" halafu anamalizia, "hili nalo mkalitazame" inakuwa imeisha hiyo. Ni vyema Mheshimiwa Rais akaiga hii tabia ya kuchukua hatua mara moja. Mambo ya kubembelezana na wasaidizi wake yanamharibia sana.