Mfumo mpya wa kutuma fedha kwa simu kuanza Julai

Tutakuwa Amna mtu wa kati hapo si unajua ukikatwa pesa yeyete ile kuna watu kama watatu wanagawana hiyo hela
SUPER DEALER hana kazi tena!
Hakuna udalali! Yaani...

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hata mimi sijaelewa!!
Huo mfumo utapunguza gharama za kutuma fedha, hapo sijaelewa gharama zitapungua vipi maana hapo wamerahisisha tuu njia ya kutuma.
Kuna jambo halieleweki hapa, watu wanatoa sababu hazina mashiko.

Hizi namba za simu zote zimesajiliwa tena kwa ganda la taifa ikiunganisha majina yako na unapoishi na kama namba ni ya mtu mwingine hauwezi kusajiliwa.

Leo eti mfumo mpya kwa majina yako, means hii techn ya sasa ni fake!.
 
Hii ni rahisi kwani database za mitandao yote zitakua kwenye mfumo kwahiyo hakuna kuingiza namba wala kuchagua mtandao, unaweka jina lililosajiliwa la mhusika, mpunga unakwenda.
Kwa hiyo hii tuliyo sajiliwa kwayo haipo kwenye mfumo au ilikuwa changa la macho?
 
Italeta shida labda watupe tuone inavyofanya kazi
 
Tuliza kipapa binti!! Usijilazimishie kwangu bit----ch
 
Msipokuwa makini mtaibiwa....badala kumtumia gaudensia G mapunda, linakuja jina gaudensia B mapunda....ona sasa
 
Tangu gavana aseme kuwa watoa huduma za fedha kwa njia ya simu kusajiliwa nchi nzima kutasaidia kuzipunguza gharama za utumiaji na utoaji wa fedha sijaona mabadiliko yyt zaidi ya gharama izo kupanda mara dufu.
Hii mitandao ya simu inatupiga hela nyingi kuliko kawaida kupitia gharama za utoaji na utumaji
 
Hua najaribu kutafakari kwakweli, ni kwamba hivi wananchi sisi tukikazana kutafuta pesa kwa ajili ya familia zetu wanaona kua tunafaidi sana..nchi hii mwananchi akiwa na pesa au watanzania wakifanikiwa maisha sio sawa ,
Ukiwa na pesa usipokuwa maskini unaye struggle wewe siyo mzalendo, huku wao wanatembea na maviete!

Everyday is Saturday................................😎
 
Sawa tumewaelewa
 
M bona
Mbona Airtel hiyo huduma wanayo kitambo? Option ya mwisho ukishamtumia hela wanakuuliza Kama unataka kusave number ya uliyemtumia na jina lake ili next time usipate shida. Labda kama itakuwa na maboresho zaidi kama alivyosema mkurugenzi wa mifumo BoT
 
Nadhani hiyo ndio target yao. Hakuna maboresho yoyote, makato no yaleyale tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…