Mfumo mpya wa ulipaji mapato kwa Serikali umekuwa mgumu sana kwa mtu wa Kawaida

Mfumo mpya wa ulipaji mapato kwa Serikali umekuwa mgumu sana kwa mtu wa Kawaida

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Mfumo mpya wa ulipaji mapato ya Serikali umekuwa ngumu sana kwa Wananchi wa kawaida.

Nitoe mfano, kama Mfanyabiashara anataka kulipia leseni yake kwa mfumo mpya lazima umtafute mtu akusaidie taratibu zote mpaka control number itoke. Mfanyabiashara kwa kazi hii anatozwa mpaka 20,000 kwa kazi yote.

Tuchukue mfano mfanyabiashara ametoka kijijini amelipia nauli yake na inawezekana akalala kama utaratibu huu haukumalizika hizo zote ni gharama na mwisho anaambiwa alipie 20,000 ili taratibu za control number ikamilike.

Kwa nini kusiwe na mfumo rahisi ya kumuwezesha anayetaka huduma kutumia kuliko kuwatumia hawa madalali?

Waziri wa Fedha saidia tatizo hili. Wananchi wa kawaida wanaumia sana.
 
Leseni upatikanaji wake ni changamoto sana,mfumo wa TAUSI wanaousema hauna tija kwa mwananchi,kwani unasumbua sana.Ukienda TRA nako,unakaa muda mrefu,mtandao unasumbuunasumbua,serikali bhana.
 
Mfumo mpya wa ulipaji mapato ya Serikali umekuwa ngumu sana kwa Wananchi wa kawaida.

Nitoe mfano, kama Mfanyabiashara anataka kulipia leseni yake kwa mfumo mpya lazima umtafute mtu akusaidie taratibu zote mpaka control number itoke. Mfanyabiashara kwa kazi hii anatozwa mpaka 20,000 kwa kazi yote.

Tuchukue mfano mfanyabiashara ametoka kijijini amelipia nauli yake na inawezekana akalala kama utaratibu huu haukumalizika hizo zote ni gharama na mwisho anaambiwa alipie 20,000 ili taratibu za control number ikamilike.

Kwa nini kusiwe na mfumo rahisi ya kumuwezesha anayetaka huduma kutumia kuliko kuwatumia hawa madalali?

Waziri wa Fedha saidia tatizo hili. Wananchi wa kawaida wanaumia sana.
Lengo la serikali ni kuwasaidia wenye steshenari watengeneze pesa kama kwenye loss ripoti, mimi ilinichukua zaidi wa wiki kupata kontri namba.
 
Leseni upatikanaji wake ni changamoto sana,mfumo wa TAUSI wanaousema hauna tija kwa mwananchi,kwani unasumbua sana.Ukienda TRA nako,unakaa muda mrefu,mtandao unasumbuunasumbua,serikali bhana.
Aliyetengeneza huu mfumo wa TAUSI ni 🚮 kabisa. Unaweza kujikuta umetumia bundle la elfu 10 kuomba tu control number, na usiipate!! Yaani hela ni ya kwako, halafu unanyanyaswa!

Mpaka muda huu sijawapatia picha wale wafanyabiashara wasio na uelewa na mambo ya computer jinsi wanavyopigwa na wajanja ili tu wawasajili.

Wahusika wanatakiwa kuuboresha huu mfumo wao kwa kweli.
 
Aliyetengeneza huu mfumo wa TAUSI ni 🚮 kabisa. Unaweza kujikuta umetumia bundle la elfu 10 kuomba tu control number, na usiipate!! Yaani hela ni ya kwako, halafu unanyanyaswa!

Mpaka muda huu sijawapatia picha wale wafanyabiashara wasio na uelewa na mambo ya computer jinsi wanavyopigwa na wajanja ili tu wawasajili.

Wahusika wanatakiwa kuuboresha huu mfumo wao kwa kweli.
Inasikitisha sana kwakweli,mambo ya serikali,ilitakiwa yawe na ubora,nashangaa mtu nimejipeleka mwenyewe kulipa kodi,lakini nasumbuliwa kwenye mfumo.Ukienda stationery kama huna kompyuta... siku nzima unaitumia hapo stationery na unfortunately enough,unaweza usifanikishe.Anyway ndo serikali yenyewe.
 
Usikute nao Ni mfumo feki kama ule wa TRA[emoji4]
 
Yote yanawezekana na si ajabu ikawa ni mfumo feki kama usemavyo.Hii nchi bhana,basi tu.
Usikute nao Ni mfumo feki kama ule wa TRA
emoji4.png
 
Mfumo mpya wa ulipaji mapato ya Serikali umekuwa ngumu sana kwa Wananchi wa kawaida.

Nitoe mfano, kama Mfanyabiashara anataka kulipia leseni yake kwa mfumo mpya lazima umtafute mtu akusaidie taratibu zote mpaka control number itoke. Mfanyabiashara kwa kazi hii anatozwa mpaka 20,000 kwa kazi yote.

Tuchukue mfano mfanyabiashara ametoka kijijini amelipia nauli yake na inawezekana akalala kama utaratibu huu haukumalizika hizo zote ni gharama na mwisho anaambiwa alipie 20,000 ili taratibu za control number ikamilike.

Kwa nini kusiwe na mfumo rahisi ya kumuwezesha anayetaka huduma kutumia kuliko kuwatumia hawa madalali?

Waziri wa Fedha saidia tatizo hili. Wananchi wa kawaida wanaumia sana.
Eti wenyewe wanasema ile pesa unayolipa ni ya 'parking' na wala sio ya 'ulinzi,'
 
Mfumo mpya wa ulipaji mapato ya Serikali umekuwa ngumu sana kwa Wananchi wa kawaida.

Nitoe mfano, kama Mfanyabiashara anataka kulipia leseni yake kwa mfumo mpya lazima umtafute mtu akusaidie taratibu zote mpaka control number itoke. Mfanyabiashara kwa kazi hii anatozwa mpaka 20,000 kwa kazi yote.

Tuchukue mfano mfanyabiashara ametoka kijijini amelipia nauli yake na inawezekana akalala kama utaratibu huu haukumalizika hizo zote ni gharama na mwisho anaambiwa alipie 20,000 ili taratibu za control number ikamilike.

Kwa nini kusiwe na mfumo rahisi ya kumuwezesha anayetaka huduma kutumia kuliko kuwatumia hawa madalali?

Waziri wa Fedha saidia tatizo hili. Wananchi wa kawaida wanaumia sana.
swala la muda tu tutazoea hakuna namna tupo nyuma sana kwenye tekinolojia tukizubaa tena tutafail vibaya sana
 
Mhe. Rais/Waziri wa Fedha sisi ndo wananchi tulioleta kilio chetu. sisi hatukatai mfumo unaoweza kuongeza mapato ya Serikali. Kusema kweli mfumo huu ni MBAYA SANA na una USUMBUFU mkubwa. Mfano hai mtu anaweza kutoka kijijini kuja kulipa mapato ya Serikali na anweza kukaa siku hata mbili akishinda kwenye stationery kusubiri control number itoke. Mtu wa kijijini ana uelewa gani na masuala ya IT na mtandao yeye haja yake ni kulipa mapato ya Serikali. Mbona mfumo uliopita una unafuu na mtu ulikuwa unapewa control number au mtu mwenyewe una download control number mwenyewe. asilimia 80 ya wafanyabiashara nchini hawana uelewa wa hali ya juu kuhusu IT. Acheni kusumbua wananchi sisi tuko tayari kulipa mapato ya Serikali.
 
Mfumo wa TAUSI upo sawa kwa upande wangu sijakutana na changamoto yeyote. Control number inatoka baada ya siku 2-3 na ni baada ya nyaraka ulizoambatanisha kuthibitishwa. Mtoa hoja yako ni ipi? Unataka turejee kwenye mfumo wa kupanga foleni? Kusafiri kwenda Manispaa kufuata control number ni siku nyingine, kisha upange siku nyingine ya kwenda kupanga foleni kwa ajili ya leseni. Unataka turejee huku au una hoja gani?
 
Back
Top Bottom