KERO Mfumo wa BRELA ni mbovu, Mnachochea uhujumu uchumi

KERO Mfumo wa BRELA ni mbovu, Mnachochea uhujumu uchumi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Dungeon

Senior Member
Joined
Feb 27, 2018
Posts
188
Reaction score
309
Mfanyabiashara umejipapatua unataka kujisajili ulipe kodi aisee ukienda kwa hao majipu wanajiita BRELA yani ni aibu.

Mfumo dhaifu, user experience mbaya na tunalipa pesa zetu yaani kama ningekuwa na mamlaka timu nzima ya TEHAMA Brela ningeifutilia mbali.

Makodi yenyewe yapo juu kwa uzalendo bado Mfanyabiashara hutaki kukwepa lakini unakwamishwa sasa mnatuchochea tufanye biashara bila kuwa na vibali na sio kama hatuwezi.

Tunaweza vizuri maana nyie mpo mnakuna vitambi tu maofisini nimekwazika sana nikiwa kama Mkurugenzi na mwanzilishi wa kampuni.

Pia soma:
 
Hivyo vitaasisi uchwara vya serekale vina sheria za kipuuzi sana ambazo zinasababisha hii nchi kukosa maendeleo sababu ya ukanjanja na ujinga ujinga + Rushwa na ma kodi ya kumkomoa mwananchi badala ya kumkwamua!
 
'Mkurugenzi mwanzilishi' wa kampuni, na hujui kuandika kwa ufasaha!

Hao BRELA walikuwa sahihi kwa

'Mkurugenzi mwanzilishi' wa kampuni, na hujui kuandika kwa ufasaha!

Hao BRELA walikuwa sahihi kwa walichokufanyia.
Nifundishe kuandika vizuri pia nikukumbushe kitu kimoja sisi ambao hatuna Elimu ndio Mabosi zenu nyie wenye Elimu asanteni kwa kusoma ili mje mtufanyie kazi hustlers
 
Hivyo vitaasisi uchwara vya serekale vina sheria za kipuuzi sana ambazo zinasababisha hii nchi kukosa maendeleo sababu ya ukanjanja na ujinga ujinga + Rushwa na ma kodi ya kumkomoa mwananchi badala ya kumkwamua!
Mkuu si bora wangenikatalia ningejua moja yani hata ku submit tu imekuwa issue system in errors...Emails kama zinaletwa kwa Bus, Fonts zinapandiana yani ujinga ujinga mtupu
 
Mfanyabiashara umejipapatua unataka kujisajili ulipe kodi aisee ukienda kwa hao majipu wanajiita brela yani ni aibu... mfumo dhaifu user experience mbaya na tunalipa pesa zetu yani kama ningekuwa na mamlaka timu nzima ya tehama brela ningeifutilia mbali...makodi yenyewe yapo juu kwa uzalendo bado Mfanyabiashara hutaki kukwepa lakini unakwamishwa sasa mnatuchochea tufanye biashara bila kuwa na vibali na sio kama hatuwezi...Tunaweza vizuri maana nyie nyumbu mpo mnakuna vitambi tu maofisini nimekwazika sana nikiwa kama Mkurugenzi na mwanzilishi wa kampuni
User experience unamaanisha nini mkuu?
 
Mfanyabiashara umejipapatua unataka kujisajili ulipe kodi aisee ukienda kwa hao majipu wanajiita brela yani ni aibu... mfumo dhaifu user experience mbaya na tunalipa pesa zetu yani kama ningekuwa na mamlaka timu nzima ya tehama brela ningeifutilia mbali...makodi yenyewe yapo juu kwa uzalendo bado Mfanyabiashara hutaki kukwepa lakini unakwamishwa sasa mnatuchochea tufanye biashara bila kuwa na vibali na sio kama hatuwezi...Tunaweza vizuri maana nyie nyumbu mpo mnakuna vitambi tu maofisini nimekwazika sana nikiwa kama Mkurugenzi na mwanzilishi wa kampuni
Can you be specific

Tatizo hasa ni nini?
 
Narudia tena,Africa inahitaji Dikteta kama Hitler au Carl Peter ili kuinyoosha japo kwa miaka 50.
Wajinga watasema hatuhitaji Dikteta tunahitaji mifumo imara,wasichojua ni kuwa wazembe na mafisadi hawawezi kutengeneza mifumo imara wala kuisimamia.
 
Can you be specific

Tatizo hasa ni nini?
User experience unamaanisha nini mkuu?
User experience ni Uzoefu anaopata mtumiaji pindi anapotumia mfumo, inajumuisha malengo na matarajio ya mtumiaji.

Tatizo langu kubwa nilitengeneza account nika proceed wakanipa baadhi ya document nika sign wakati nataka kupakia document kwenye mfumo nikatakiwa kulogin(huwa na save password) by mistake nikawa nimclick forget password aisee!!!

Hapo ndio matatizo yalipoanzia wanasema wametuma details za kureset password katika email? Lakini hamna kitu masaa zaidi ya 10 sasa nasubiria email yao nikijaribu kulogin kwa password yangu ya zamani inanikatalia
 
User experience ni Uzoefu anaopata mtumiaji pindi anapotumia mfumo, inajumuisha malengo na matarajio ya mtumiaji.

Tatizo langu kubwa nilitengeneza account nika proceed wakanipa baadhi ya document nika sign wakati nataka kupakia document kwenye mfumo nikatakiwa kulogin(huwa na save password) by mistake nikawa nimclick forget password aisee!!!

Hapo ndio matatizo yalipoanzia wanasema wametuma details za kureset password katika email? Lakini hamna kitu masaa zaidi ya 10 sasa nasubiria email yao nikijaribu kulogin kwa password yangu ya zamani inanikatalia
Basi vizuri mkuu
 
Mfanyabiashara umejipapatua unataka kujisajili ulipe kodi aisee ukienda kwa hao majipu wanajiita BRELA yani ni aibu.

Mfumo dhaifu, user experience mbaya na tunalipa pesa zetu yaani kama ningekuwa na mamlaka timu nzima ya TEHAMA Brela ningeifutilia mbali.

Makodi yenyewe yapo juu kwa uzalendo bado Mfanyabiashara hutaki kukwepa lakini unakwamishwa sasa mnatuchochea tufanye biashara bila kuwa na vibali na sio kama hatuwezi.

Tunaweza vizuri maana nyie mpo mnakuna vitambi tu maofisini nimekwazika sana nikiwa kama Mkurugenzi na mwanzilishi wa kampuni.
Binafsi sitambui uwepo wa kiongozi mkuu katika hii nchi, yani kila kitu kimevurugika
 
Hii nchi wananchi tukiinuka kudai haki tunaambiwa tuitunze tunu ya amani, huu ni usenge ipo siku tutachoka tutakosa jinsi tutaingia msituni
Ngumu ni mpaka mfumo wenyewe waamue kuchoka na mbaya zaidi CCM wamekaba mpaka kwa vitoto wanawamezesha itikadi zao kujilinda ,mavyuoni ni hivyo hivyo,ukiwa na ushawishi pia wanakufuata... Vyombo vya usalama wakuu wote watu wao yaani mkuu ni kazi.
 
Back
Top Bottom