KERO Mfumo wa BRELA ni mbovu, Mnachochea uhujumu uchumi

KERO Mfumo wa BRELA ni mbovu, Mnachochea uhujumu uchumi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Ngumu ni mpaka mfumo wenyewe waamue kuchoka na mbaya zaidi CCM wamekaba mpaka kwa vitoto wanawamezesha itikadi zao kujilinda ,mavyuoni ni hivyo hivyo,ukiwa na ushawishi pia wanakufuata... Vyombo vya usalama wakuu wote watu wao yaani mkuu ni kazi.
Acha kabisa yani ila ipo siku tu inakuja, imeandikwa "wakimaliza kuwashambulia watageukiana na kushambuliana wao kwa wao"
 
Inawezekana na wewe ni msomi mnaojivunia usomi nchi hii
Swali kwako msomi
Inabidi mtu asome mpaka wapi ili aweze kuanzisha kampuni?

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sijasema kwamba hajasoma. Nimesema hajui kuandika kwa ufasaha.

Na wewe pia hujui kusoma kwa ufasaha pia.
 
Nifundishe kuandika vizuri pia nikukumbushe kitu kimoja sisi ambao hatuna Elimu ndio Mabosi zenu nyie wenye Elimu asanteni kwa kusoma ili mje mtufanyie kazi hustlers
mkuu kama una hela mbona una hulka za kimasikini,za kulalamika kama mdada
tumia hizo pesa kunyoosha mambo yako
 
Sijasema kwamba hajasoma. Nimesema hajui kuandika kwa ufasaha.

Na wewe pia hujui kusoma kwa ufasaha pia.
Sawa Mwalimu wa Mwandiko, vp nitafute daftari la mistari mikubwa na midogo?
 
'Mkurugenzi mwanzilishi' wa kampuni, na hujui kuandika kwa ufasaha!

Hao BRELA walikuwa sahihi kwa walichokufanyia.
Mkuu Kuna watu Wana Hela kuandika hawajui kabisa Sasa wewe unaanzaje kumshangaa CEO Huyu mpya wewe andika vizur wenzio wanataka Hela ?????
 
Mkuu Kuna watu Wana Hela kuandika hawajui kabisa Sasa wewe unaanzaje kumshangaa CEO Huyu mpya wewe andika vizur wenzio wanataka Hela ?????
Sasa si unaona ameshindwa kuelewana na BRELA!
 
Sasa si unaona ameshindwa kuelewana na BRELA!
BRELA inatoa huduma kwa MTanzania au kwa wanaojua kusoma na kuandika tu? Kwa hiyo Watanzania ambao hatuna elimu kubwa hatuna haki ya kuhudumiwa na BRELA?

Labda kuna sehemu nimepitwa Nieleweshe ndugu Msomi
 
Mkuu nadhani utakasirika sana,hapo na bado hujaja sijui TRA ,TAUSI,KAMA UTAENDA NEST,yani Acha tu
 
'Mkurugenzi mwanzilishi' wa kampuni, na hujui kuandika kwa ufasaha!

Hao BRELA walikuwa sahihi kwa walichokufanyia.
Kuna mkurugenzi mmoja hivi jina kapuni ana shule kubwa tu na ina jina balaa, ila hajui kuandika na kusoma huwezi amini, anejipata tu sasa wafanyakazi wake wanampiga balaa wanamletea nyaraka na hajui kuzisoma Mungu muache Mungu aitwe Mungu kila mtu atainuliwa kivingine usikariri mambo hayapo hivyo
 
User experience ni Uzoefu anaopata mtumiaji pindi anapotumia mfumo, inajumuisha malengo na matarajio ya mtumiaji.

Tatizo langu kubwa nilitengeneza account nika proceed wakanipa baadhi ya document nika sign wakati nataka kupakia document kwenye mfumo nikatakiwa kulogin(huwa na save password) by mistake nikawa nimclick forget password aisee!!!

Hapo ndio matatizo yalipoanzia wanasema wametuma details za kureset password katika email? Lakini hamna kitu masaa zaidi ya 10 sasa nasubiria email yao nikijaribu kulogin kwa password yangu ya zamani inanikatalia
Ulicheki spam folder kwenye email?
 
Back
Top Bottom