Vyote hivyo ni under Western imperialism license! Unajua chips zimegunduliwa na nani? ..mwenye patent ni naniMaliza kwanza stress na matatizo Yako ndo uweze kuja kuchangia haupo sawa au kama una mikopo kausha damu maliza kwanza hayo madeni nikupe hii Kwa kifupi kwamba Bidhaa tunazo tumia hasa developing countries Kwa maisha ya sasa ni zaidi ya 90% zinatoka BRICS eg mabasi mengi ni Chinese brand, vifaa vya umeme, spare parts, electronics etc vingi kutoka china na pia upande wa madawa iwe ya binadamu au pembejeo nyingi ni Chinese or indian brands ambazo ni kutoka BRICS
stupid of you!