Mfumo wa counties wa Kenya ni mzuri sana

Mfumo wa counties wa Kenya ni mzuri sana

MK254

Ok for the sake of discussion let us move on.So according to this model if poverty index is high and population is high then that can be one of the considerations to get more budget than others.But poverty is subjective.

Some areas for instance in my country are poor not because they don`t have equal opportunities like others but they are poor because they are lazy compared to other areas.And you will agree with me that poor people produce more children than rich people.

So definetly at the end of the day you will find that population and poverty index is high in areas where lazy people live..Don`t you see that this is unfair to reward such kind of people with bigger budgets than those who are not lazy,who have been working hard for years? you take somebody`s sweat and give to a lazy person so that both become equal?
 
Last edited by a moderator:
East African Eagle

Wewe kwa kweli unaongea kileusichkijua. Ungekuwa mtu mwenye hekima ungeuliza. Katika nchi ya Kenya, kuna tume inayoitwa Commission of Revenue Allocation. Kunazo sehemu ambazo zimeendelea, kunazo ambazo zina idadi kubwa ya watu, na kunazo kaunti ambazo ni kubwa (kwa landmass) - Mara mbili unusu size ya Rwanda. Hata hivyo, Idadi yake ni kidogo sana. Karibu Milioni moja. Unauliza penye capital itatoka? Capital itatoka serikali kuu. Wakati wa mwisho nilipoangalia, huu ndio ulikuwa mtindo wa kugawa pesa:

25% basic allocation (Kila mtu anapat equal amount,) , 45% by population , 20% by poverty, 8% by land area and 2% by fiscal responsibility.

WAweza kuniambia ukabila upo wapi hapo? Tatizo la watu wengi ni kufikiria kuwa Kenya sijui tunachinjana au nini? Hehe...

Mleta mada ameguzia jambo la maana; maji. Tangu hapo uhuru, tuliahidiwa kuwa kila mtu ataweza pata maji ya mfereji by 2000. 2000 ilikuja ikapita. Hivi majuzi Dr. Alfred Mtua kwenya kaunti lake ashafanya water mapping na nia yake ni kuhakikisha kila mtu amepata maji katika nyumba yake. Amenunua mashine ya kuchimba visima kutoka kwa bajeti ya kaunti yake. Je, ukabila uko wapi hapo?
 
Last edited by a moderator:
East African Eagle

My goodness...wewe kweli unajua ambacho unasema?

1. Uwongo sana. Hiyo ni propaganda.
2. Uwongo wa pili. Pesa ikikopwa na National Government, serikali kuu, italipwa na National government. Kuna serikali mbili. National NA County. County Govt. ikikopa, hiyo ndiyo italipa.
3. Kwani unataka Reccurrent expenditure ipitishe county revenue? Is that good fiscal management? Unaweza kopa pesa ili ulipe madaktari? Hahaha..banaa...ningekuomba usome kuhusu unachoongea kwanza.
 
Last edited by a moderator:
MwendaOmo

Kumbe ni majina tu.Zamani si kulikuwa na national government na local government? Mlichobalidilisha ni nini kama sio majina tu kama ni Hivyo.Kuwa badala ya kuita local government mnaita COUNTIES.Chai ile ile ila kwenye vikombe vya rangi tofauti.
 
Last edited by a moderator:
East African Eagle

The biggest reason why some counties in Kenya are undeveloped is because of marginalization since independence. Successive regimes never bothered with these people for years, it's until we changed the constitution did we begin seeing them come to limelight, by people managing their own priorities within their counties. This is the best thing to happen to Kenya.

There were always talks about Majimbo since independence, but the model proposed back then was not in good spirit and efficient as the one we have now, since they wanted to divide the country along the same colonial and tribal borders. But the current system is very efficient, we are having counties seeing tarmac roads for the first time and other goodies.

Tanzania is huge, managing it is such a huge task, you need to consider this form.
 
Last edited by a moderator:
Kuna serikali mbili. National NA County. County Govt. ikikopa, hiyo ndiyo italipa.
Kumbe ni majina tu.Zamani si kulikuwa na national government na local government? Mlichobalidilisha ni nini kama sio majina tu kama ni Hivyo.Kuwa badala ya kuita local government mnaita COUNTIES.Chai ile ile ila kwenye vikombe vya rangi tofauti.

Wewe kwa vile naona kama umelipwa kuwachanganya Watanzania wenzio, sipotezi muda wangu kwako. Nakuacha na hili tu.

[h=1]How devolution is changing lives in the counties[/h]Decentralisation has seen Kenyans access essential services that initially were just but a dream
SATO+WAJIR+1302.k.JPG.jpg
Wajir's first tarmac road funded by the county government under construction. PHOTO | SHEKHEY AHMED |



ADVERTISEMENT
Halima Mukhtar, a midwife in the remote Mansa Division of Wajir County, used to attend to up to four women at the same time.

She was the only midwife in the vast division.

"I helped many women deliver, but others still died in my arms. Many developed complications but unfortunately I couldn't do anything about it," she says.

That was two years ago. But with the advent of devolution, things have changed.

"The county government has recruited nurses and most women now deliver in hospital. Only few cases are brought to my attention. We also have a standby ambulance."

A World Bank Report on expenditure by the counties last week rated Wajir tops, with an allocation of 58 per cent to development projects.

A survey by the Saturday Nation revealed that apart from health, the county also scored big on water, roads and other infrastructure allocations.

Locals say devolution has brought development they have not seen since independence.

Governor Ahmed Abdullahi said his government took over the health sector at a time patients would be told to buy even Panadol from private pharmacies.

"Today, we have 32 well-equipped maternity wings constructed at Sh6 million each, eight fully equipped new ambulances and eight old ones repaired at a cost of Sh67 million. Eight new dispensaries were established and 16 old ones revived," he said.

The county government has also recruited doctors and nurses.

The roads sector has also benefited. For the first time ever, Wajir will have tarmacked roads. The 25 kilometre tarmac network within Wajir Town will cost Sh1.2 billion. It is now at the sub-layer level.

REDUCE EXPENDITURE

Mr Abdullahi said his government will reduce the recurrent expenditure to make the much-needed development a reality.

Similar good stories are told in other counties ranked highly by the World Bank.

In Murang'a, the administration of Governor Mwangi Wa Iria has pumped about Sh500 million into the dairy sector.

This leading economic sector had been neglected and middlemen took advantage to swindle farmers by buying their milk at throwaway prices.

The county government has bought 35 milk coolers for each ward.

Women and youth are being encouraged to form groups to benefit from heifers to start a dairy herd scheme, and easily access to Artificial Insemination (AI) services, among other projects.
 
East African Eagle


You have to deal with the situation the way it is. you cannot blame a population for their laziness and overpopulation in the past, instead the previous regimes are to blame for failure to educate them on those matters.

Once the funds have been allocated to a county, the national gorvenment acts as a watchdog. it has the powers to completely dissolve a county gorvenment if in any case those funds are misused.

Besides that, every county gorvenment has a legislative arm (the MCAs) who discusses the best way those funds are supposed to be used.
 
Last edited by a moderator:
East African Eagle
Ndiyo maana nikakuambia hujaujua vizuri huu mfumo. kwa huu mfumo kenya wataendelea kwa kasi ya ajabu sana. nyerere aliwahi sema watu wamjini wananyonya wa vijijini. serikali inakopa pesa na kujenga lami, hospitali na ishu zingine dar. tunalipaje hilo deni? utahitaji uexport upate dola ndiyo ulipe. unaexport nini? kahawa toka mbinga na pamba toka shinyanga.

utaona mkopo unamnufaisha mtu wa dar ila analipa wa mbinga. kwenye mfumo wa sasa wa kenya hakuna huo ujinga. unahabari serikali imekopa $300m kuboresha miundombinu dar?
 
Last edited by a moderator:
Kuna serikali mbili. National NA County. County Govt. ikikopa, hiyo ndiyo italipa.
Kumbe ni majina tu.Zamani si kulikuwa na national government na local government? Mlichobalidilisha ni nini kama sio majina tu kama ni Hivyo.Kuwa badala ya kuita local government mnaita COUNTIES.Chai ile ile ila kwenye vikombe vya rangi tofauti.

Please go to this website and see how the revenue is allocated
Commission on Revenue Allocation — Promoting an equitable society

How county revenues and expenditures are monitored
Home

And lastly,the monitoring and implementation of the 2010 constitution
CIC Kenya. Utekelezaji wa katiba, jukumu la wote

Once you have read,come back for a discussion
 
MwendaOmo

Kupata dola si lazima u-export kitu.Nadhani ulisoma uchumi wa enzi za akina Adam SMITH ambao hata nyerere ndio alisoma enzi hizo.
Nadhani dar huijui.Dar hizo dola milioni 300 ni kitu kidogo mno kwa dar kulipa.DAR ina bandari inaingiza mamilioni ya dola kila siku Kwa kodi na ushuru wa bidhaa na mafuta ziendazo nchi jirani n.k KUNA Airport,kuna maviwanda kibao.Yote yanaingiza dola kibao.

Unasemaje mkulima ananyonywa wakati analipwa chake na mnaachana.
 
Last edited by a moderator:
East African Eagle
Umeniquote Kimakosa. Hebu angalia post niliyoweka. Hata hivyo, usijali kujibu kwani naona tayari ni kupingana tu unataka. Unachanaanya hoja nyingi ambazo hazihusiani hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
East African Eagle

How can one person be this so stupid? Is the US $ teh currency for TZ? How will you get dollars if you do not export?-manafacturer them?

Trying to have a discussion in JF will easily lead to once loss of IQ equivalent to 10% per day!
 
Last edited by a moderator:
Guest from Wazua

You are welcome to Tanzania.Don`t be surprised when you are asked to pay your annual house rent or office space in DOLLARS ONLY.Not everybody needs to manufacture and export.
 
Last edited by a moderator:
East African Eagle
Gosh, you should be ashamed of your stupidity and ignorance.

Tanzania doesn't manufacturer dollars it has to export goods or services for it to get dollars.

I bet that you not know that tourism is an export service.

The foreign reserves held by a country indicate the trade deficit/surplus of a country.
 
Last edited by a moderator:
Guest from Wazua

Yaap you have talked like a great academician.

You deserve to be a professor at the University but you don`t deserve to be a Business owner or business consultant with that kind of knowledge you have.
 
Last edited by a moderator:
yaap you have talked like a great academician.You deserve to be a professor at the University but you don`t deserve to be a Business owner or business consultant with that kind of knowledge you have.

Great!

You do not deserve to live,you are an embarrassment to the human race
 
Kenya wanaita County sisi TZ tunaita Local government Authority ambayo inaendeshwa na local councilors.tofauti TZ tuna mkuu wa wilaya sijui Kenya wanamwita nani.Ukabila TZ tuna bahati kidogo kwani hata Muhindi anagombea popote na anapata ubunge sijui kenya kwa hili.
 
Imapro
Tofauti siyo majina, tofauti kubwa ni mamlaka ilizopewa wilaya na counties.
Local goverments kwa tanzania ni kama muendelezo wa serikali kuu wakati counties zina mamlaka makubwa sana.
 
Last edited by a moderator:
Red Giant

Huo mfumo uliwekwa kujibu matatizo ya kikabila yaliyoko kenya.Makabila mengine yalikuwa yakilalamika kuwa yanaletewa wakuu wa mikoa na wilaya wasio wa makabila yao kuja kuwatawala.Walipoweka mfumo huo sasa kila kabila linajichagulia gavana wake na msaidizi wake toka kabila husika.Hivyo unakuta kwenye hizo counties Gavana mkikuyu,msaidizi wake mkikuyu,madiwani wote wakikuyu,na senator mkikuyu,na katibu mkikuyu.

Ukienda UJALUONI ni hivyo hivyo GAVANA JALUO,KATIBU JALUO,MADIWANI WAJALUO n.k

Nenda kaangalie viongozi wote wa counties utashangaa ni kabila hilo hilo.CHADEMA Mfumo huu ndio wanautaka kwenye sera zao wanaita sera za majimbo.

Tanzania huo mfumo haufai na sisiti kusema hata Kenya haufai unalea ukabila na ueneo.

angalia mfano KIsumu County uongozi wote jaluo tupu

The County Government of Kisumu click area ya cabinet uone

Uliekwa ili kudhibiti usambazaji Wa rasli Mali coz kuna maeneo yalio sahaulika kimaendeleo sio sababu za ukabila
 
Last edited by a moderator:
Kenya wanaita County sisi TZ tunaita Local government Authority ambayo inaendeshwa na local councilors.tofauti TZ tuna mkuu wa wilaya sijui Kenya wanamwita nani.Ukabila TZ tuna bahati kidogo kwani hata Muhindi anagombea popote na anapata ubunge sijui kenya kwa hili.

mbona wabunge wahindi wapo Kenya?
 
Back
Top Bottom