Mfumo wa elimu wa nchi yetu si salama kwa kizazi cha kesho. Ni hatari mno. Hebu tazama haya

Mfumo wa elimu wa nchi yetu si salama kwa kizazi cha kesho. Ni hatari mno. Hebu tazama haya

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,577
Reaction score
4,637
Mzazi unaweza unaweza ukajitahidi ukamlea mtoto katika maadili mema...Ila uhuni na utaahira...Ataupata shuleni...Shuleni ni sehemu kuu ya kuharibu watoto kitabia na kimaadili...

Mimi ninafanya shughuli ya kukaa watoto kabla ya kwenda mashuleni...Tunawatengeneza vizuri tu kitabia na kimaadili...Ila akifika shuleni miaka kadhaa tu...Kiburi...Uhuni...Matusi...Ukosefu wa adabu wa watu wakubwa...Na mengi ya uchafuzi wa maadili yanaanza...Nimefanya research...

Nimegundua walimu wa sasa waliopo mashuleni...Suala la malezi ya mtoto kimaadili kwao sio kipaumbele...Wao wanafundisha inglishi tu...Hisabati tu...Sayansi ya kuchora panzi...Na namna ya kubana chuchu na kuvisha condom...

Suala ya tabia na maadili ya mtoto haliwahusu...Hii ndio madhara ya ukosefu wa wito...Mtu aenda kufundisha kwa kujihakikishia ana ajira na pesa inaingia kila mwisho wa mwezi...Hebu tazama haya...

Pili...

Mfumo wetu wa elimu ..Ndio chanzo cha umaskini kwa kizazi cha leo na cha kesho..

Kwa sababu hakuna cha maana kwa ajili ya maendeleo ya kiuchumi utajifunza shuleni...Ukatumia nje ya shule...Ukayamudu maisha bila kuajiriwa...

Hata kile unachojifunza ili ukaajiriwe...Sio kile unachoenda kukikuta mahala pa kazi...Ulichopatia cheti kingine...Unachofanyia kazi kingine...

Si bura ungeenda moja kwa moja mahala pa kazi ukajifunze hiyo kazi...Na ufanye kuliko kupoteza muda miaka takriban ishirini(20) kusoma upuuzi...

Mbaya zaidi serikali inapinga mabint waliobaleghe wasiolewe...Ila wao ndio wanaowapelekea kondom mashuleni na kuwafundisha namna ya kufanya ngono salama...Serikali inashiriki katika uharibifu wa jamii yake yenyewe...Alafu baadae serikali inarudi kwa viongozi wa dini...Eti watengenezeni waumini wenu...Eti tusaidieni viongozi wa dini kuitengeneza jamii...Eti matukio ya ukatili na unyanyasaji yamekithiri...

Yaani serikali ilikaa na mtu toka utotoni wakamharibu muda wote huo...Hamkumpa hata muda kiongozi wa dini amtengeneze kuanzia chini...Alafu ukubwani ndio aje kurekebisha pale mlipoharibu nyie...

Serikali...Acheni kujitia uziwi...Mnatuharibia kizazi...Bora mtuache tuishi kama wamasai...Tuwafundishe watoto wetu yale tunayoishi nayo...Yenu ni machafu...Nimechoka...

Ref: panya road ni vitoto vilivyo hitimu darasa la saba.


 
Hii ni hatari huku kubaka na kibakwa hakutoisha hapo mwalimu ndo anaona safi kabsa watoto wanafurahi kumbe ni kinyume chake
 
KUHUSU UBAKAJI...TUNADILI NA MATOKEO TU...CHANZO HATUNA HABARI NACHO...CHANZO NI HAYO MAZINGIRA YALIYOWEKWA NA SERIKALI.
 
Kwenye shule za international watoto wanafundishwa kut*mbana pia😁😁😁
2023021908.jpg
2023021943.jpg
20230219.jpg
202302190.jpg
202302.jpg
2023021.jpg
 
Unatumia milioni 40 kumsomesha mtoto KISHA anarudi nyumbani kusubiria kuokota kazi. Ipo haja ya kubadili mtazamo.
Mpeleke mtoto shule Ili kuondoa kelele nyumbani, akimaliza form mpeleke moja KWA moja kwenye ujuzi akimaliza akiiva mfungulie ofisi mpe mtaji wa vifaa apambane mwenyewe.
Maisha sio vyeti bali wewe unaujuzi gani wa kuchukua pesa toka kwa watu. Watu wanazo pesa unazichukua vipi uwe tajiri unazichukua kwa kuwapa wanachokihitaji mfano huduma au bidhaa.
 
Mtoto anaemaliza form 4.Kisha akatupwa gerezani kariakoo au tabata dampo, au temeke akacheza na vyuma miaka 3 akapata menta ( life coach) mzuri then ukamfungulia ofisi yake ukampa vifaa vya kisasa kama mzazi utakuwa umetua deni kubwa Sana maishani kuliko kutupa pesa kumpeleka Chuo akaishie kumiliki smart phone arudi mtaani kutembeza bahasha.
 
Hawasikii wala hawaelewi wale. Mpaka mawe yanapiga kelele hawashituki. Huu mfumo umelalamikiwa sana lakini, ni mfumo unaorutubisha na kusitawisha umasikini. Hakuna haja ya kumpotezea mtoto muda mrefu kujifunza vitu ambavyo hatavifanya wala kujiajiri. Eti mwanafunzi anaenda shuleni kufeli! Wakifeli kwa mujibu wa matokeo yao wanaachwa wapotelee kusikojulikana,
 
Nimesoma maelekezo yako yote labda nkulize tu nini maana ya elimu?? na umuhimu wake ktk jamii??

swala la maadili na malezi ni jukumu la mzazi ila mwalimu atahusika kwa asilimia chache sana...
MAJUKUMU YANAENDA DIRECTLY PROPORTIONAL TO TIME...Haiwezekani jukumu la malezi liwe la mzazi tu...ambaye majukumu yake ayatekeleza mtoto anaporudi nyumbani kulala...vipi NDOTONI AU?
 
Mimi nawaza hizo clip Tu,watoto wa kibongo wanaimba upuuzi mtupu,lkn cheki wachina na wazungu wakiwa wadogo wanatayarishwa kuja kuyamasta mazingira mapema sana
UPUMBAVU TUNALETEWA SISI NA TUNAUPOKEA...WENZETU WANAJIFUNZA VITU VYA MAANA ..
 
Hawasikii wala hawaelewi wale. Mpaka mawe yanapiga kelele hawashituki. Huu mfumo umelalamikiwa sana lakini, ni mfumo unaorutubisha na kusitawisha umasikini. Hakuna haja ya kumpotezea mtoto muda mrefu kujifunza vitu ambavyo hatavifanya wala kujiajiri. Eti mwanafunzi anaenda shuleni kufeli! Wakifeli kwa mujibu wa matokeo yao wanaachwa wapotelee kusikojulikana,
Wanaotengeneza hii mifumo...wala hawajui wafanye nini...in case...mambo yakiwa tofauti...ovyo ovyo...mambo wanayaacha in suspense...

Natamani mwanangu...nimpeleke kwenye ufundi kuliko kupoteza muda kusoma LOGARITHMS...
 
Umasikini ni chanzo cha elimu mbovu
 
Suala la Malezi ni lako mzazi. Kama unategemea mtoto wako apatie malezi shuleni basi umefeli kama mzazi. Kabla ya kuzaa jua kuna jukumu la kulea ambalo ni lako kwa 100%. Tatizo unakuta jitu linapeleka mtoto wa miaka mitatu shule eti baby class.. SHENZI TYPE
 
MAJUKUMU YANAENDA DIRECTLY PROPORTIONAL TO TIME...Haiwezekani jukumu la malezi liwe la mzazi tu...ambaye majukumu yake ayatekeleza mtoto anaporudi nyumbani kulala...vipi NDOTONI AU?
Kinachokusumbua wewe ulikataa elimu ndio maan huipendi[emoji28]
 
Suala la Malezi ni lako mzazi. Kama unategemea mtoto wako apatie malezi shuleni basi umefeli kama mzazi. Kabla ya kuzaa jua kuna jukumu la kulea ambalo ni lako kwa 100%. Tatizo unakuta jitu linapeleka mtoto wa miaka mitatu shule eti baby class.. SHENZI TYPE
KAMPENI ZINASEMAJE SASA HIVI ZA SERIKALI...? ZINAHITAJI WATOTO WAANZE SHULE WAKI NA MIAKA MINNE...

PILI NIMESEMA HAPO JUU...MZAZI UTAJITAHIDI MLEE MWANAO VEMA...AKIFIKA SHULE ANAVURUGWA...NA AKISHAFIKA SHULE...SIO WAKO TENA...KWA SABABU HUKO SHULENI SIKU HIZI WANASHINDA NAO KUTWA NZIMA...ANARUDI KWAKO KULALA TU...HAYO MALEZI UNAMLEA MUDA GANI?
 
Kinachokusumbua wewe ulikataa elimu ndio maan huipendi[emoji28]
NDIO SHIDA YENU...HIYO ELIMU NIMEPITIA NDIO MAANA NIMEONA MAPUNGUFU YAKE...SIWEZI ZUNGUMZIA KITU NISICHOKIJUA...
 
Back
Top Bottom