Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #21
Kupitia hii app, kuna institution iliweza kuwafanyia usaili wa mchujo watu elfu 30 kwa wakati mmoja. Walifanya mtihani. Kupitia hii app mitihani haiwezi kuharibika. Huwezi kuangalizia inakunote yenyewe. Huwezi kupiga kelele inakudetect yenyewe. Dunia imebadilika saivi.Njia inayotumika kwa sasa ni sahihi zaidi.
Changamoto kubwa ni nafasi zinatangazwa ni chache sana ilhali waombaji ni wengi, hii inapelekea wengi kukata tamaa wanapoenda kwenye kituo na kurudi hola akiweka na gharama za nauli na malazi.
Njia zinazowezekana ni hizi pamoja na changamoto zake.
1. Mchujo ufanyike kuanzia kwenye vyeti, hii itapunguza idadi ya wanaokwenda kwenye written ila pia utaleta ubaguzi mkubwa sana, itakua kama UDSM vs ufaulu wako, kwa hivyo hii njia sio fair.
2. Kuweka vituo kila mkoa, hii ni nzuri kwa maana itawapunguzia usumbufu waombaji kwenda mikoa ya mbali kwa ajili ya usahili, ila changamoto kubwa hapa ni gharama kubwa zitatumika kuweka watumishi kila mkoa, pili uvujaji wa mitihani utakua rahisi zaidi ni hovyo kupelekea usumbufu katika uratibu wa zoezi zima.
3. Online interview, ni njia nzuri inatumika na makampuni makubwa, ila mchujo wake ni mkubwa sana, unakuta mpaka kufikia hatua ya kufanya interview kuna panga kubwa limepita na hizi nafasi mara nyingi ni zile zenye kuhitaji mtu mwenye CV nzito hivyo upanguaji unaanzia kwenye uzoefu na mambo mengine, pia interview za namna hii hufanyika kwa njia ya video conferencing jambo ambalo no wachache wanaweza kuwa na access nalo kutokana na changamoto ya mitandao, kwa ujumla hii njia haifai kwa mazingira yetu.
SULUHU
1. Sekta binafsi ndio inatakiwa ichachuliwe iweze kutoa ajira nyingi ni jukumu la serikali kuandaa mazingira ya sekta binafsi kukua kwa kasi na kutoa ajira kwa vijana wengi, kutegemea ajira za serikali tu hakuwezi kuondoa tatizo la ajira nchini.
Tunaweza kuilaumu serikali haitoi ajira ila walipo mitaani ni wengi kuliko nafasi zilizopo, ni sawa na hapo nyumbani kwako/kwenu umeajiri mlinzi mmoja, ila kuna walinzi 300 wanakulaumu huko nje hutoi ajira kwa walinzi, sasa utaajiri walinzi 6 si itakua matumizi mabaya ya fedha😂
Kingine mifumo yetu ya elimu ni mibovu kuliko, nasikitika sana hatuondoki na ujuzi wowote wa kueleweka vyuoni, research hatufanyi za maana zinazofanyika ni michongo tu ili watu watunukiwe phd's ila hazina tija kwa taifa.
Tuna wahandisi wa kutosha ila makampuni makubwa yote yanatoka nje, je tuseme kwamba tuna IQ ndogo kama wazungu wanavyotuona jibu ni hapana tuna maandalizi mabovu kuanzia ngazi ya chini kabisa.
End.
1. ExamClient(For computer)
Google Chrome browser is suggested for downloading with the link below, Please click and input your Passport/ID No.
2. Proctor Assistant(For Mobile phone/Tablet)
For Android mobile phone, please download the APP from the designated link:
For iPhone, please find and download Proctor Assistant from APP Store directly.
IV.Testing procedure
1.Please prepare the test environment, equipment, Internet, paper and pens as required.
2.Mute your mobile phone/tablet (while the phone should be turned on flight mode and then connect to WiFi), run the Proctor Assistant APP, check your identity and environment according to the guidance of invigilators, and place it 1 meter behind your rare side.
3.Start the computer, close the anti-virus software(or add ExamClient into Whitelist of antivirus software) and other irrelevant programs, and run the ExamClient no later than one hour before the test. After passing the device and network detection, enter your Passport/ID No. and password to enter the exam.
4.Read the test disciplines and wait for the test to begin.
5.Test begins, no submitting nor leaving is allowed before the end of the test.
6.End of testing time, please wait for invigilators confirm your submitting status.
7.Submitting status confirmed, tear up all paper.
8. Leaving by quitting the ExamClient and Proctor Assistant.