Mfumo wa kuajiri kupitia Ajira Portal na kuita watu kwenye usaili physically mikoa ya mbali unamaliza pesa za serikali na wananchi

Mfumo wa kuajiri kupitia Ajira Portal na kuita watu kwenye usaili physically mikoa ya mbali unamaliza pesa za serikali na wananchi

Ni matumaini yangu wote wazima. Mimi ni kijana wa kiume nimesoma diploma ya procurement and logistic management na bachelor degree ya business management, natafuta ajira nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote
Umemaliza mwaka gani?
 
Online?🤣.. hiyo online watafanyaje mtihani?

Ushawahi fanya written interview? Kama ushawahi huwa kuna MCQs? Kama hakuna unategemea online msailiwa ataandikaje essay?

Halafu hiyo online utawazuiaje watu ku-cheat? Huko online nani atakuwa msimamizi? Si wasailiwa wote watapata 100%?

Hebu acha ubishi, kuna mambo mengine hata mataifa yaliyopiga hatua kimaendeleo hawayafanyi online. Interview ya kazi huwezi kufanyia online, la sivyo cheating itakuwa kubwa sana.
Cheating itakuwaje kubwa ukiwa na dedicated stations? Weka station Duce, UDSM, IFM, Uhasibu ama wawe na vituo vyao maalum kabisa vya kikanda. Sio lazima wote tukarundikane Dodoma.

Najua viongozi wenye kampuni za mabasi hawawezi kubali hio ishu iondolewe maana huwa wanapiga hela.
 
Cheating itakuwaje kubwa ukiwa na dedicated stations? Weka station Duce, UDSM, IFM, Uhasibu ama wawe na vituo vyao maalum kabisa vya kikanda. Sio lazima wote tukarundikane Dodoma.

Najua viongozi wenye kampuni za mabasi hawawezi kubali hio ishu iondolewe maana huwa wanapiga hela.
Ngoja tuone
 
Hatuna Internet ya Uhakika maeneo yote Nchini.

Imagine kuna baadhi ya maeneo hapa Mkoani Dar, Internet inasuasua.

Je, kule Vijijini hali ikoje?
Hiyo sio excuses ukitaka Kufanya interview tafuta eneo lenye interview.

Mbona vyuo watu wanaomba online nchi nzima
 
Naomba serikali iliangalie hili.

Katika utafiti niliofanya nimegundua jambo hili:

Mfumo wa kuajiri kupitia ajira portal na kuita watu kwenye usaili wa mchujo physically mikoa ya mbali unamaliza pesa za serikali na wananchi.

Fedha zinazotumika kusafirisha maafisa utumishi kutoka ofisini kwao mpaka mikoa unakofanyika usaili ziokolewe. Usaili unafanyika siku hadi nne fedha zinapotea.

Fedha zinazotumiwa na wasailiwa kusafiri, kulala na kula wakiwa kwenye hiyo mikoa unakofanyika usaili ni nyingi pia.

Fedha zinazotumika kuchapisha mitihani ya wasailiwa 900 kwenye kazi inayohitaji watu wawili zinapotea. Hivyo ziokolewe.

Nguvu inayotumika kusahihisha mitihani ya watu 900 kutafuta watu wawili ni kubwa sana kuliko uhitaji. Akili itumike hapo. Muda mwingi, nguvu nyingi na fedha nyingi inatumika kutafuta watu wawili.

Solution: Usaili wa mchujo ufanyike online itakua vyema zaidi ili kuokoa fedha, muda na nguvu inayotumika kuwafanyia usaili. Zipo software nzuri zenye uwezo wa kufanyisha mitihani ya mchujo online bila udanganyifu wowote. Dunia imebadilika badala ya kuendelea kuprint mitihani, kukusanya, kuhifadhi, kusahihisha, tutumie njia za kidigitali.

Tubadili mfumo, tutumie akili kuliko nguvu. Tuokoe muda na fedha zinazotumika kutafuta watu wawili kwa jambo dogo.

Kupitia hii app, kuna institution iliweza kuwafanyia usaili wa mchujo watu elfu 30 kwa wakati mmoja. Walifanya mtihani. Kupitia hii app mitihani haiwezi kuharibika. Huwezi kuangalizia inakunote yenyewe. Huwezi kupiga kelele inakudetect yenyewe. Dunia imebadilika saivi.

1. ExamClient(For computer)

Google Chrome browser is suggested for downloading with the link below, Please click and input your Passport/ID No.


2. Proctor Assistant(For Mobile phone/Tablet)

For Android mobile phone, please download the APP from the designated link:


For iPhone, please find and download Proctor Assistant from APP Store directly.

IV. Testing procedure

1. Please prepare the test environment, equipment, Internet, paper and pens as required.

2. Mute your mobile phone/tablet (while the phone should be turned on flight mode and then connect to WiFi), run the Proctor Assistant APP, check your identity and environment according to the guidance of invigilators, and place it 1 meter behind your rare side.

3. Start the computer, close the anti-virus software(or add ExamClient into Whitelist of antivirus software) and other irrelevant programs, and run the ExamClient no later than one hour before the test. After passing the device and network detection, enter your Passport/ID No. and password to enter the exam.

4. Read the test disciplines and wait for the test to begin.

5. Test begins, no submitting nor leaving is allowed before the end of the test.

6. End of testing time, please wait for invigilators confirm your submitting status.

7. Submitting status confirmed, tear up all paper.

8. Leaving by quitting the ExamClient and Proctor Assistant.
Sekretariet ya ajira ni mojawapo ya taasisi inayotakiwa kufutwa ni matumizi mabaya ya kodi ya wananchi na kusumbua wananchi hakuna value yoyote wanayoi-add zaidi ya mfumo wa upendeleo na rushwa. Waomabji waombe direct kwa mwajiri kama zamani.
 
Kuna interview nilifanya Ile KAZI ilikuwa Uingereza.

Kuna link walinipa ilikuwa ni video interview.

Ukifungua Ile link unakuta swali halafu unabonyeza Hilo swali camera ya simu au laptop inafunguka inakubidi uanze Kujibu. Unapewa dakika 1 au 2 Kujibu. Hizo dakika zikiisha video inajifunga yenyewe. Linaingia swali la pili Hadi umalize maswali yote.

NB: Hiyo video interview hupaswi kuangalia pembeni na wala unakuwa huulizwi maswali na MTU maswali yanakuwa yamewekwa kwenye text. Na ili ujue swali linalofuata lazima umalize na submit video uliyojirecord ya swali la Kwanza.
 
Back
Top Bottom