Mfumuko wa bei huku mtaani unashamiri, kuna nini kinaendelea?

Uchumi unasimamishwa endelea kuwa mtulivu
 

sasa inflation inahitaji tangazo?
 
Hatari mzee, huko kwny finishing ndio balaa, gypsum board kwaajili ya partation zilikuwa zinauzwa 22,000/ pc Kamaka sasahv wanauza 35000/pc hii ni hatari.
 
Pesa ikimwagwa nyingi mtahani. Nilazima hali kama hiyo itokehe mfumuko wa bei
Kwa maana pesa sasa inamilikiwa na wananchi.
 
Hayo ndo madhara ya rais kufariki akiwa madarakani, nchi inakosa uthibiti kabisa.......tunaposema mchakato wa katiba mpya uanze ni pamoja a kuweka sawa mambo kama haya ya succession plan.
Hata katiba ya sasa ina succession plan. Unaongea porojo za kichadema ambazo hazina kichwa wala miguu kwenye issue ya uchumi.
 
Mafuta ya kupikia je?
 
Hata katiba ya sasa ina succession plan. Unaongea porojo za kichadema ambazo hazina kichwa wala miguu kwenye issue ya uchumi.
Kama kuna succession plan ile power struggle iliyouwa inafanyika nyuma ya pazia kipindi rais alipokuwa amezidiwa hadi tukawa tunadanganywa kwamba rais ni mzima wa afya anachapa kazi ni kitu gani. Succession plan inayoleta mantiki ni kwa spika wa bunge au jaji mkuu kukaimu madaraka ya rais na kuitisha uchaguzi ndani ya miezi sita, vinginevyo ndo tunabaki kushuhudia nchi inakosa uthibiti kila mmoja anajiona kambale. Na hii inatoa mwanya kwa makundi yenye maslahi binafsi kum blackmail rais anayerithi madaraka kana kwamba ndo yamehusika na yeye kupewa mamlaka na kuanza kumyumbisha, tujaribu kuwa realistic......​
 
Katika eneo hilo la kukaimu,watawala wajue katiba ina changamoto,mimi nilitaka baada ya miezi sita uchaguzi uitushwe.
 
Duuh! Acha uwongo ndugu yangu! Marekani ukienda n dollar 100 unanunua mazaga ya week nzima sasa hii ya parachichi la dollar 100 umenunua wapi?
 
fikiri kama mtu mwenye elimu hata unaweza hata kutumia internet. Sera hiyo ilikuwa ya hovyo sana na ilidumaza maisha ya wakulima ambao ni zaidi ya 70% ya watanzania wote. Ilikuwa sera ya hovyo iliyoasisiwa pasipo kufanyiwa utafiti
Ulitaka tufe njaa..unauwezo kununua mchele kilo kwa elfu 5..au unaropoka tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…