Mfumuko wa bei huku mtaani unashamiri, kuna nini kinaendelea?

Mfumuko wa bei huku mtaani unashamiri, kuna nini kinaendelea?

Salaamu watoto wa Jamhuri ya Muungano!
Kiukweli huku MTAANI vitu vinazidi kupanda bei siku Hadi siku.Nyama saizi 8000 Toka 7000.Juzi nimeenda dukani kununua Colgate naambiwa Sasa ni 5000/= ikiwa hapo awali nilikuwa nanuna 3500/.
Kwa ujumla vitu vingi bei vimepanda na sijaona tamko lolote kutoka mamlaka za serikali kuhusu hili. Je Kuna inflation inapiga raia kimya kimya na serikali haitaki tamka rasmi?.
Wataalamu naombeni uchambuzi ni ni kimesababisha Hali hii ghafla hivi.
Hii ishu inaniuma Sana yaan biashara hizi zitapumulia mashine hasa tusio na store ya bidhaa ,,subab white wash ilikuwa 55k Sasa Ni 66 yaan vile vipande vya Mia tatu Sasa tuuze mia tano ...nchi hii khaaa
 
Salaamu watoto wa Jamhuri ya Muungano!

Kiukweli huku MTAANI vitu vinazidi kupanda bei siku Hadi siku.Nyama saizi 8000 Toka 7000. Juzi nimeenda dukani kununua Colgate naambiwa Sasa ni 5000/= ikiwa hapo awali nilikuwa nanuna 3500/.

Kwa ujumla vitu vingi bei vimepanda na sijaona tamko lolote kutoka mamlaka za serikali kuhusu hili. Je, Kuna inflation inapiga raia kimya kimya na serikali haitaki tamka rasmi?

Wataalamu naombeni uchambuzi ni ni kimesababisha Hali hii ghafla hivi.
Nikumbushe tu, mama na baba wenye nyumba soon gharama zitawapiga, sasa hivi vyumba vya 70k vitafika kuwa 100k kwa mwezi
 
Hujaeleweka so unakubali sera zipi za Magu ama!!?
Tatizo sera za kufungia chakula ilikuwa inamtesa mkulima, yani mtu analima mahekari ya mahindi halafu anauza gunia bei haifiki hata elfu 50, hiyo ingefanya wa kulima wazidi Kuwa maskini japo kazi wana piga kweli,
 
Salaamu watoto wa Jamhuri ya Muungano!

Kiukweli huku MTAANI vitu vinazidi kupanda bei siku Hadi siku.Nyama saizi 8000 Toka 7000. Juzi nimeenda dukani kununua Colgate naambiwa Sasa ni 5000/= ikiwa hapo awali nilikuwa nanuna 3500/.

Kwa ujumla vitu vingi bei vimepanda na sijaona tamko lolote kutoka mamlaka za serikali kuhusu hili. Je, Kuna inflation inapiga raia kimya kimya na serikali haitaki tamka rasmi?

Wataalamu naombeni uchambuzi ni ni kimesababisha Hali hii ghafla hivi.
Hayo ni matokeo ya mama kuzungusha wowowo tu
 
Salaamu watoto wa Jamhuri ya Muungano!

Kiukweli huku MTAANI vitu vinazidi kupanda bei siku Hadi siku.Nyama saizi 8000 Toka 7000. Juzi nimeenda dukani kununua Colgate naambiwa Sasa ni 5000/= ikiwa hapo awali nilikuwa nanuna 3500/.

Kwa ujumla vitu vingi bei vimepanda na sijaona tamko lolote kutoka mamlaka za serikali kuhusu hili. Je, Kuna inflation inapiga raia kimya kimya na serikali haitaki tamka rasmi?

Wataalamu naombeni uchambuzi ni ni kimesababisha Hali hii ghafla hivi.
 
Mabavicha zile shangwe zenu za..

Mama anawakomesha mataga,
Mama anawakomesha sukuma gang
Mama anaupiga mwingi
Mama anafuta legacy

Vipi zimeishia wapi?

Si mlikuwa manashangilia kwmba bora huyu anawapiga huku anawageia na soda?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mataga pori unajitekenya mwenyewe na kujichekesha mwenyewe.

Hivi nyie mataga pori mlidhani huu ugumu wa maisha unaosababishwa na CCM utawaathiri wapinzani pekee???
 
kuna ufisadi unaendelea chin ya mwamvuli wa uongoz wa uanamke wenye kupromote gender balance, kweny nchi yeny historia ya mfumo dume(men above the women)... viongoz wabinafs na wadhaifu wanapo force kuongoza nchi yenye wazandiki wengi.

unaeza lala ukaacha bei ya barafu lambalamba ikiwa miamoja, ukja stuka unakuta imekuwa buku[emoji23][emoji23]..hovyo kbsa hii nchi
 
mataga pori unajitekenya mwenyewe na kujichekesha mwenyewe.

Hivi nyie mataga pori mlidhani huu ugumu wa maisha unaosababishwa na CCM utawaathiri wapinzani pekee???
Kwani mabavicha mnauona ugumu wa maisha?

Maisha magumu si aliondoka nayo mwenda zake?

Mama si anaupiga mwingi?

Si anawapiga huku anawageia na soda?
 
Construction materials ndio usiseme, bei zimepanda pengine kwa 50-60%

Ukienda maduka ya vyakula ni shida tupu, bidhaa za kula zimepanda bei sio poa.

Huku kwenye eCom ndio usiseme, vifurushi, bundles za TV zote ziko juu..
 
Ukisikia kifo cha mende kwa serikali ndio hicho,wamekusanya na kusanya kila kona lakini bado nchi na uchumi kwa wananchi unazidi kudidimia ,wanashindana na kula ushindi wa zuluma.
 
kuna ufisadi unaendelea chin ya mwamvuli wa uongoz wa uanamke wenye kupromote gender balance, kweny nchi yeny historia ya mfumo dume(men above the women)... viongoz wabinafs na wadhaifu wanapo force kuongoza nchi yenye wazandiki wengi.

unaeza lala ukaacha bei ya barafu lambalamba ikiwa miamoja, ukja stuka unakuta imekuwa buku[emoji23][emoji23]..hovyo kbsa hii nchi
Kiukweli bei haziko stable kabisa.Kwa hyo huenda Kuna mapapa wanataka maslahi yao binafsi sio?
 
Ukisikia kifo cha mende kwa serikali ndio hicho,wamekusanya na kusanya kila kona lakini bado nchi na uchumi kwa wananchi unazidi kudidimia ,wanashindana na kula ushindi wa zuluma.
Sio Siri watatutia umaskini mkubwa mno kwa speed hii
 
Nikumbushe tu, mama na baba wenye nyumba soon gharama zitawapiga, sasa hivi vyumba vya 70k vitafika kuwa 100k kwa mwezi
Tutakwisha kabisa.Taratibu naona asie nacho hata kile kidogo anaporwa kabisa huenda hizi bei Kali ni za ku nufaisha kundi flani tu
 
Hii ishu inaniuma Sana yaan biashara hizi zitapumulia mashine hasa tusio na store ya bidhaa ,,subab white wash ilikuwa 55k Sasa Ni 66 yaan vile vipande vya Mia tatu Sasa tuuze mia tano ...nchi hii khaaa
Kwa kweli Pana changamoto.tatizo pameambatana na ukimya Sana utafikiri hakuna jambo linaendelea.
 
Back
Top Bottom