Tuliza kende wewe,kuna Nchi unaijua hauna mfumuko wa bei kwa Sasa hapa Duniani? Tena sisi Tzn tuna nafuu Sana.Ndivyo hali ilivyo Zanzibar, watu walianza kuvimilia vumilia sasa kila mzanzibar analia na vitu vya chakula kupanda bei tena kwa speedi ya kutisha sana.
1. Mkate wa Boflo ambao ndio mkate kila mzanzibar anakula sasa ni Tshs 250/- badala ya 200/=
2. Mchele ambao ndio chakula kikuu kwa maisha ya Wazanzibari Rais Mwinyi alivyoingia madarakani ilikuwa 1kg ni Tshs 1800 wa bei ya chini sasa ni Tshs 2400/= per kilo
3. Sukari ilikuwa Tshs 2000/- per kg sasa wanauza 2400/-
3. Mafuta ya kupikia nusu lita ilikuwa 1000/- sasa ni Tshs 2000/=
3. Sahani ya chips plain ikiuzwa 1500/- sasa wamelazimika kupandisha hadi 2000, ambapo chips mayai ikiuzwa 2500/- sasa ni Tshs 3000/=
Huu ni mfano wa bidhaa kwa vyakula fulani fulani lakini takriban hali ni hiyo hiyo kwa vyakula vilivyobakia kama maharage, kunde nk.
Lakini kama haitoshi adha ya maji imerudi ambapo sasa unaweza kukaa mwezi mieizi miwili ama wiki 3 kwa kiwango cha chini maji hayatoki kwenye mabomba watu inabidi wayafuate maji maeneo ya mbali sana tofauti na awamu ilyopita ya Dr. Mohammed Ali Mohamed Shein ambaye kwa kiasi kikubwa aliweza kuondoa kero ya maji visiwa vya Zanzibar.
Lakini kama haitoshi mahospitali dawa hamna inabidi ununua hadi bomba ya sindano baadae urudi kwa daktari akuchome sindano. nadhan haileti picha nzuri sana kwa Mhe, Rais wetu mpendwa hali imekuwa ni tete sana Zanzibar katika maisha ya watu
Nimeona niilete hapa hii kwenu wadau na labda Mhe. anaweza kulijua hili na kujitathmini kwa muda ambao sasa ameingia madarakani
Wazanzibar walikuwa na matumaini sana baada ya kuunganisha tofauti zilizokuwepo na kumpa mioyo yao Dr. Mwinyi lakini sasa hali imeanza kuwa tete kutokana na maisha ya watu.
Wazanziri wamekuwa wakepewa maneno laini laini lakini sidhani kama hii hali itawapeleka mbele zaidi.
Kwenu wadau katika hili.
Tunazo taarifa Dr. Mwinyi ameshakusanya hela za kutosha tangia aingie madarakani lakini helza hizo hajatumia ata cent kwa maendeleo ya Zanzibar., tunaungana na wale wasemao Mwinyi amenda kujitajirisha yeye binafsi na aila zake ukoo wa panya., Mwinyi sio mzanzibari ni mzigo tu umeletwa kuwatawala wazanziri, kwao ni mkurangaTuliza kende wewe,kuna Nchi unaijua hauna mfumuko wa bei kwa Sasa hapa Duniani? Tena sisi Tzn tuna nafuu Sana.
Tena hapo bado vyakula vitapanda zaidi hakuna mvua huku Bara
View attachment 2081884
View attachment 2081885
View attachment 2081886
View attachment 2081887
nani kasema., Mwinyi ni wa kwenu toka MkurangaWamezoea kubebwa kwa mbeleko,wasubiri Samia awabebe, maana wenzetu Wana Marais wawili.
Mkuu mkate wa boflo ni mkate wa kawaida sana, lakini lazima ufahamu kwa maisha ya wazanzibari huu mkate asilima 90% ya wazanzibari ndio wanaolalia na kuuamkia., kama hukuununua asubuhi basi jioni na usiku utausaka tu.,Kwani Ni mkate mshipa ? Ni kajimkate . Mtu wa kawaida sana anaweza kula boflo Saba.
Mgonjwa akijitahidi anaweza kumaliza vitano.
Yamepanda piaZanzibar mafuta ya vyombi vya Moto hayajapanda.. sijaona kama umelalamika hapa
Huko kwa mchongameno si mnakufa kwa UKIMWINdio maana mkafakamia kasa 😃😃😃
Onyesha kazi moja aliyofanyaMleta mada mfumuko wa bei kwa sehemu kubwa unachangiwa na chakula. Angalia season, bei ya viazi ikoje Iringa, Njombe, Mbeya nk, mafuta hatuzalishi tunatoa nje, je ktk world market ikoje, mchele huu ni msimu wa masika ni kilimo siyo mavuno, sukari angalia demand and supply.
Mimi ni mkulima mdogo wa matango pori niko Kimbiji. # Dk. Mwinyi tumpe moyo. Amefanya kazi kubwa mno.
Kwa hiyo Wabara tukija huko tutapata boflo name badala ya moja tu ambayo tumezoea huku? Hadi Raha!Ndivyo hali ilivyo Zanzibar, watu walianza kuvimilia vumilia sasa kila mzanzibar analia na vitu vya chakula kupanda bei tena kwa speedi ya kutisha sana.
1. Mkate wa Boflo ambao ndio mkate kila mzanzibar anakula sasa ni Tshs 250/- badala ya 200/=
2. Mchele ambao ndio chakula kikuu kwa maisha ya Wazanzibari Rais Mwinyi alivyoingia madarakani ilikuwa 1kg ni Tshs 1600 wa bei ya chini wanaita mapembe mchele mbovu sana huu sasa umepanda hadi ni Tshs 2000/= per kilo
3. Mchele wa mbeya ambao ni standard kule bara hauzidi Tshs 2000/- per kilogram, Lakini ukiuliza mchelewa mbeya zanzibar utakuta bei zinaanzia 2200/- per kg ambao huu ni chenga tupu, unafuata mchele mwengine wa kawaida 2400/- per kg., unafuata mwengine hadi 2800/- per kg ni tofauti sana maisha haya na awamu iliyopita ya Dr. Ali Mohamed Shein.
4. Sukari ilikuwa Tshs 2000/- per kg sasa wanauza 2400/-
5. Mafuta ya kupikia nusu lita ilikuwa 1000/- sasa ni Tshs 2000/=
6. Sahani ya chips plain ikiuzwa 1500/- sasa wamelazimika kupandisha hadi 2000, ambapo chips mayai ikiuzwa 2500/- sasa ni Tshs 3000/=
Huu ni mfano wa bidhaa kwa vyakula fulani fulani lakini takriban hali ni hiyo hiyo kwa vyakula vilivyobakia kama maharage, kunde nk.
Lakini kama haitoshi adha ya maji imerudi ambapo sasa unaweza kukaa mwezi mieizi miwili ama wiki 3 kwa kiwango cha chini maji hayatoki kwenye mabomba watu inabidi wayafuate maji maeneo ya mbali sana tofauti na awamu ilyopita ya Dr. Mohammed Ali Mohamed Shein ambaye kwa kiasi kikubwa aliweza kuondoa kero ya maji visiwa vya Zanzibar.
Lakini kama haitoshi mahospitali dawa hamna inabidi ununua hadi bomba ya sindano baadae urudi kwa daktari akuchome sindano. nadhan haileti picha nzuri sana kwa Mhe, Rais wetu mpendwa hali imekuwa ni tete sana Zanzibar katika maisha ya watu
Nimeona niilete hapa hii kwenu wadau na labda Mhe. anaweza kulijua hili na kujitathmini kwa muda ambao sasa ameingia madarakani
Wazanzibar walikuwa na matumaini sana baada ya kuunganisha tofauti zilizokuwepo na kumpa mioyo yao Dr. Mwinyi lakini sasa hali imeanza kuwa tete kutokana na maisha ya watu.
Wazanziri wamekuwa wakepewa maneno laini laini lakini sidhani kama hii hali itawapeleka mbele zaidi.
Kwenu wadau katika hili.
Akiwashinda mleteni huku bara. Sisi tumemlea, tunamjua na tunamuweza
Unakajua hako ka mkate? ni kadogo na kagumu gumu hivi, Wenyewe hula na supu, urojo au chai.
Yakhe waijua boflo weyeeeee? Sio ka nkate wenu wa huko Tanganyika!Mkate shilingi 250 mnalalamika?
Acha masihara wewe sisi bado tunanunua chipsi 1500,mkate nanunua 200 na sukari pale kwenrekwe ni 2000kg.Ndivyo hali ilivyo Zanzibar, watu walianza kuvimilia vumilia sasa kila mzanzibar analia na vitu vya chakula kupanda bei tena kwa speedi ya kutisha sana.
1. Mkate wa Boflo ambao ndio mkate kila mzanzibar anakula sasa ni Tshs 250/- badala ya 200/=
2. Mchele ambao ndio chakula kikuu kwa maisha ya Wazanzibari Rais Mwinyi alivyoingia madarakani ilikuwa 1kg ni Tshs 1800 wa bei ya chini sasa ni Tshs 2400/= per kilo
3. Sukari ilikuwa Tshs 2000/- per kg sasa wanauza 2400/-
3. Mafuta ya kupikia nusu lita ilikuwa 1000/- sasa ni Tshs 2000/=
3. Sahani ya chips plain ikiuzwa 1500/- sasa wamelazimika kupandisha hadi 2000, ambapo chips mayai ikiuzwa 2500/- sasa ni Tshs 3000/=
Huu ni mfano wa bidhaa kwa vyakula fulani fulani lakini takriban hali ni hiyo hiyo kwa vyakula vilivyobakia kama maharage, kunde nk.
Lakini kama haitoshi adha ya maji imerudi ambapo sasa unaweza kukaa mwezi mieizi miwili ama wiki 3 kwa kiwango cha chini maji hayatoki kwenye mabomba watu inabidi wayafuate maji maeneo ya mbali sana tofauti na awamu ilyopita ya Dr. Mohammed Ali Mohamed Shein ambaye kwa kiasi kikubwa aliweza kuondoa kero ya maji visiwa vya Zanzibar.
Lakini kama haitoshi mahospitali dawa hamna inabidi ununua hadi bomba ya sindano baadae urudi kwa daktari akuchome sindano. nadhan haileti picha nzuri sana kwa Mhe, Rais wetu mpendwa hali imekuwa ni tete sana Zanzibar katika maisha ya watu
Nimeona niilete hapa hii kwenu wadau na labda Mhe. anaweza kulijua hili na kujitathmini kwa muda ambao sasa ameingia madarakani
Wazanzibar walikuwa na matumaini sana baada ya kuunganisha tofauti zilizokuwepo na kumpa mioyo yao Dr. Mwinyi lakini sasa hali imeanza kuwa tete kutokana na maisha ya watu.
Wazanziri wamekuwa wakepewa maneno laini laini lakini sidhani kama hii hali itawapeleka mbele zaidi.
Kwenu wadau katika hili.
Laza tofauti hata jina Zanzibar tofauti na Tanganyika, ukitamka Zanzibar unapata faraja moyo unaenda mapigo ya kawaida.tatizo lingine wazanzibar wanapenda sana kupandisha bei ya vyakula kwa kujiona wao ndio wanajua kupika au wanajua kutengeneza mfano tunawaona maeneo ya ilala ataanza na kutengeneza chapati bei 300 akisha zoeleka na wateja wengi anapandisha 500 unabaki kushangaa ukienda bungoni na buguruni wakina mama wanachoma chapati bei hiyo hiyo 300 na wateja kibao na miaka yote wapo .mzanzibari atafungua urojo au chakula biriani bei kawaida biriani 3500 lakini akiisha ona wateja wengi bei inapata 7000. nenda coco beach mishikaki ilikuwa mikubwa na bei nzuri leo mishikaki midogo sana na bei unabbikiwa hawa sijui wakoje siwaelewagi binadamu hawa
Huyo unayemsema na team yake wala hawana habari kabisa.Ndivyo hali ilivyo Zanzibar, watu walianza kuvimilia vumilia sasa kila mzanzibar analia na vitu vya chakula kupanda bei tena kwa speedi ya kutisha sana.
1. Mkate wa Boflo ambao ndio mkate kila mzanzibar anakula sasa ni Tshs 250/- badala ya 200/=
2. Mchele ambao ndio chakula kikuu kwa maisha ya Wazanzibari Rais Mwinyi alivyoingia madarakani ilikuwa 1kg ni Tshs 1600 wa bei ya chini wanaita mapembe mchele mbovu sana huu sasa umepanda hadi ni Tshs 2000/= per kilo
3. Mchele wa mbeya ambao ni standard kule bara hauzidi Tshs 2000/- per kilogram, Lakini ukiuliza mchelewa mbeya zanzibar utakuta bei zinaanzia 2200/- per kg ambao huu ni chenga tupu, unafuata mchele mwengine wa kawaida 2400/- per kg., unafuata mwengine hadi 2800/- per kg ni tofauti sana maisha haya na awamu iliyopita ya Dr. Ali Mohamed Shein.
4. Sukari ilikuwa Tshs 2000/- per kg sasa wanauza 2400/-
5. Mafuta ya kupikia nusu lita ilikuwa 1000/- sasa ni Tshs 2000/=
6. Sahani ya chips plain ikiuzwa 1500/- sasa wamelazimika kupandisha hadi 2000, ambapo chips mayai ikiuzwa 2500/- sasa ni Tshs 3000/=
Huu ni mfano wa bidhaa kwa vyakula fulani fulani lakini takriban hali ni hiyo hiyo kwa vyakula vilivyobakia kama maharage, kunde nk.
Lakini kama haitoshi adha ya maji imerudi ambapo sasa unaweza kukaa mwezi mieizi miwili ama wiki 3 kwa kiwango cha chini maji hayatoki kwenye mabomba watu inabidi wayafuate maji maeneo ya mbali sana tofauti na awamu ilyopita ya Dr. Mohammed Ali Mohamed Shein ambaye kwa kiasi kikubwa aliweza kuondoa kero ya maji visiwa vya Zanzibar.
Lakini kama haitoshi mahospitali dawa hamna inabidi ununua hadi bomba ya sindano baadae urudi kwa daktari akuchome sindano. nadhan haileti picha nzuri sana kwa Mhe, Rais wetu mpendwa hali imekuwa ni tete sana Zanzibar katika maisha ya watu
Nimeona niilete hapa hii kwenu wadau na labda Mhe. anaweza kulijua hili na kujitathmini kwa muda ambao sasa ameingia madarakani
Wazanzibar walikuwa na matumaini sana baada ya kuunganisha tofauti zilizokuwepo na kumpa mioyo yao Dr. Mwinyi lakini sasa hali imeanza kuwa tete kutokana na maisha ya watu.
Wazanziri wamekuwa wakepewa maneno laini laini lakini sidhani kama hii hali itawapeleka mbele zaidi.
Kwenu wadau katika hili.
Sio mkate kama ya huku bara, wenyewe ni mdogo sana hauzidi inch 7 kwa 4 halafu mgumuu umekauka! Ndo unaitwa boflo.Nineshangaa sana aisee hivi wanajua huku bara mkate tunanunua bei gani?