Mfundishe mwanao kujua upande mwingine wa dunia kwa kumuonesha chaneli za tv kama nat geo, history, etc sio kila muda ni komasava

Mfundishe mwanao kujua upande mwingine wa dunia kwa kumuonesha chaneli za tv kama nat geo, history, etc sio kila muda ni komasava

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Yani unakuta dogo wa form 1 au 2 ameshakalili dance moves zote za chino lakini ukimuuliza hivi unamjuaje hitler eti anakuuliza "hivi aliimba wimbo gani vile" ahah

Sio kila mtoto atachukulia yaliyomo kwenye tv ni burudani tu mwingine anachukulia kama inspiration ya lifestyle yake.

Anyway sio rahisi kwa watoto wa kileo ila wazazi tuna nguvu kubwa ya kuweza kuimpact mwelekeo na ufahamu wa mtoto ila tumekuwa bize sana na kazi hio tumeachia TV ya sebureni.

Ndio maana siku hizi unaweza mfungia mtoto ndani lakini akajua uhuni wote wa kileo, na ukabaki unashangaa. Ni televisheni ndio imefanya kazi.

Sasa unakuta dogo kuanzia asubuhi hadi jioni ni muziki, jioni anaagalia icu ya umbea alafu usiku tamthilia za mapenzi.
 
Elimu ya Tanzania imefanya watu wawe na maono mafupi. Tatizo ni lugha. Tanzania imekuwa kama kisiwa cha wajinga na mambo mengi unakuta hayafanyiki nchi nyingine. N kweli, wazazi tuchukuwe wajibu wa kuwaongoza watoto hasa kutoka kwenye social media na vyombo vya habari kwani vimeshikwa na watu wajinga. NB: kukalili = kukariri
 
Elimu ya Tanzania imefanya watu wawe na maono mafupi. Tatizo ni lugha. Tanzania imekuwa kama kisiwa cha wajinga na mambo mengi unakuta hayafanyiki nchi nyingine. N kweli, wazazi tuchukuwe wajibu wa kuwaongoza watoto hasa kutoka kwenye social media na vyombo vya habari kwani vimeshikwa na watu wajinga. NB: kukalili = kukariri
Kabisaa.
 
Back
Top Bottom