Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Tuanzishe biashara ya kuuza vijola mkuu
Pasaka ipo karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuanzishe biashara ya kuuza vijola mkuu
Walianzaje, do you know their backgrounds?
Maana hata Dewji ni billionaire, watoto wa marehem mengi wale mapacha wawili pia ni millionaires japo hawajui hata andazi linapikwa vipi na linauzwaje mtaani!
Nioneshe huyo billionaire alieanza biashara mwaka jana tu baada ya kumaliza chuo na leo amefikia ubilionea!
Mnataka nitaje mi CEO wa kampuni flani ili muanze kunitafuta? JF watu anonymous siwezi jitaja hapa umeona barua wanazotumiwa jf kuomba habari za users?Jibu lako limekaa kiubabaishaji
Mawazo duni kabisa. Hakuna wakati ajira ziliwahi kutosha wote.Sio poyoyo mleta mada yuko sahihi labda wewe hujamwelewa.
Kiukweli ajira hamna na Wasomi ni wengi. Ukweli utabaki
Wasomi waangalie namna ya kujiajiri...anapokuwa shule asiwaze ajira awaze kutafuta pesa....
Biashara wala haihitaji uzoefu toka kwa wazazi hayo ni mawazo tu mgando....you can make your own life....
Anyway
Mimi nitawaelimisha watoto wangu kuwa usomi sio ajira wajifunze namna ya kutafuta pesa nje ya ajira. Na nitawapeleka veta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Panda juu ushuke mfumo hutoweza kuubadili.Hata hivyo bado hatujachelewa tunaweza kubadilisha huu mfumo wa elimu kama mada ikiwekwa mezani bungeni.
[c] CcCentia. Family zetu za kitanzania zina shida moja kwy kutafuta Ada wapo tayari hata kukopa pesa lakini ukishamaliza shule ndio wanakuwa wamemtelekeza Kijana kwy ulingo wa AJIRA ambao uko ndio maisha yapo na inakuwa ni shida sana, mfano na vijana wengi wa kitanzania yupo tayari akasome degree ya political science na wakati ana malengo yoyote ya siasa izi ndio changamoto na Kingine umasikini ni kitu kibaya sana kinaondoa maarifa unakuta baada ya kusoma vitu vyenye dili tunasoma vitu vya ARTS ambavyo havina FUTURE kama vilivyo muhimu kama kusoma maswala ya magari, kilimo, mifugo na afyaUmesema vizuri sana fursa za biashara Tz bado zipo nyingi.Ukosefu wa bunifu unafanya zionekane ngumu.
Kuna mtu aliwah kuzumgumzia juu ya kuongezea bidhaa thamani,hakuna anayefikiria hayo.Kazi/shughuli nyingi bado zinafanywa KIJIMA mno!
Kuna miji mingi sana mpaka sasa bucha zake hazina mashine ya kukatia nyama!(fursa!)
Kuna gereji za magari mpaka sasa hazina vifaa vya kisasa,hata carwash! (fursa)
Maji bado yanauzwa kwa kuzungushwa na mkokoten! (fursa)
Mji mkubwa tena katikati ila mamantilie wanahudum kwa uduni mnoo, ukiboresha biasha ya mgahawa siyo lazima bei ya chakula ipae(fursa)
Watu wabo wanalima kwa jembe la mkono, trekta kodisha lima mashamba uza(fursa)
MAMBO NI MENGI, WATENDA KAZI NI WACHACHE, KISA WAMESOMAMO, ETI HAWANA MITAJI(MBONA MAMILION YA KULIPIA SHULE YALIPATIKANA??
When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.
Hahahaaaa+aNunua maharage kilo mbili na cement mifuko mitatu kisha jenga mgahawa. Baada ya miezi saba utakuwa na five star hotel na zaidi ya bilion mia tatu benki!
Alisikika motivational speaker kwenye viunga vya stendi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ujinga ni ujinga tu. Nilikuwa naonesha jina huanza kwa herufi kubwa. Ulichofanya wewe ni kama kuweka spelling kwa Kiingereza Sawa, ungeweka kwa Kijerumani ungekuwa nawe si mjinga kwani hakuwa Mwingereza huyo.Sio Enstein, ni Einstein.
Ujinga ni ujinga tu, hakuna ujinga mkubwa na mdogo.
Yani kuliko mtu apoteze mamilioni kulipia chuo kikuu kusoma theories miaka 3-7 ni aheri aende NIT apate cheti cha udereva aanze harakati zake mapema tu au akasomee technical skills nyingine ambazo zitamnufaisha moja kwa moja akitoka chuo kama capentry, cherehani ama welding.
Sitarudia hili kosa kwa mtoto wangu. Shule ya msingi atasoma nzuri ya sekondari kawaida form 4 breki. Short course kisha mtaji aingie zake mtaani kupambana.
Mkuu ungemsoma vizuri huyo madam usingejiabisha hivoUpo sahihi Madam
Heh! Vijora ivyo kwio...sikukuu ya pasaka utamuuzia Nani kijora..labda uniambie tuwe wasusiTuanzishe biashara ya kuuza vijola mkuu
Pasaka ipo karibu
Mimi nitanunua mafungu ya Rasta,wewe uwe msusiHeh! Vijora ivyo kwio...sikukuu ya pasaka utamuuzia Nani kijora..labda uniambie tuwe wasusi
MamboHeh! Vijora ivyo kwio...sikukuu ya pasaka utamuuzia Nani kijora..labda uniambie tuwe wasusi
😀😀😀😀Nunua maharage kilo mbili na cement mifuko mitatu kisha jenga mgahawa. Baada ya miezi saba utakuwa na five star hotel na zaidi ya bilion mia tatu benki!
Alisikika motivational speaker kwenye viunga vya stendi.
Sent using Jamii Forums mobile app
P
Poa
Za kwako