Mfunze Mwanao kujiajiri, mwambie maisha hayaanzi akiajiriwa, wasomi wakiwa wengi ajira zinakuwa chache

Mfunze Mwanao kujiajiri, mwambie maisha hayaanzi akiajiriwa, wasomi wakiwa wengi ajira zinakuwa chache

Mkuu suala la kukosa ushindani wa ndani sio fursa hapa, tatizo kubwa ni initial capital, technical knowledge and exposure, na govt burecrancy (ukilitimba)......mwaka 2009 kilinichukulia wiki moja kuanzisha water purification process na kuuza maji Johannesburg, nikaangiza ndugu yangu anzishe kitu kama hicho hapa ikashindikana kabisa kwasababu ya vizingiti vya serikali kama TRA watu wa Mazingira, TBS , kavamiwa eti Ana kiwanda bubu...... ...wakati ni small scale industry ilio ajiri watu 4 tu, sio hilo tu ni mengi, mambo sio rahisi hapo ndomaana watu wanapenda kuajiriwa kuliko ku risk pesa zao kwa serikali isio eleweka.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naungana na wewe kwenye swala na government bureaucracy, hata mimi nilikutana na hizo challenges wakati nataka kufungua biashara flani, nikabadilisha business model nikafungua biashara tofauti ziinapiga kazi vizuri. Hiyo ndiyo the biggest challenge kwa Tanzania, ila haimaanishi wanakukaba kwa biashara zote, kuna biashara chache ambazo watakusumbua, nyingi mtu unakua free tu kuanza, ni kitendo cha kuregister kampuni yako na kuanza kupiga kazi. Huyo ndugu yako muulize vizuri yaweza kua ni mvivu tu, water purification isn't something complicated kuanzisha company, mimi nilikua nawatuma ndugu kudeal na mambo ya serikali wakawa wanaleta excuse kila siku, nimetoka nje nikaja Tz mwenyewe nikamaliza kila kitu bila usumbufu wowote.

Watu wengi sio risk takers, na vijana wengi wanadharau baadhi ya kazi wakiziona kama zipo chini yao vile.
 
Unafanyaje? nifundishe na mimi nitafute hela
Una skills gani? Hua napenda kuanzia hapo, ukisema uige nachokifanya doesn't mean utaweza kukifanya, nina computer science skills natengeneza app zangu mwenyewe, websites e.t.c. Sio lazima uwe na hizo skills though, ukiwa hata na marketing skills nzuri online kuna kupiga hela sana tu. Hamuoni insta millionaires siku hizi walivyojaa bongo?
 
Mkuu suala la kukosa ushindani wa ndani sio fursa hapa, tatizo kubwa ni initial capital, technical knowledge and exposure, na govt burecrancy (ukilitimba)......mwaka 2009 kilinichukulia wiki moja kuanzisha water purification process na kuuza maji Johannesburg, nikaangiza ndugu yangu anzishe kitu kama hicho hapa ikashindikana kabisa kwasababu ya vizingiti vya serikali kama TRA watu wa Mazingira, TBS , kavamiwa eti Ana kiwanda bubu...... ...wakati ni small scale industry ilio ajiri watu 4 tu, sio hilo tu ni mengi, mambo sio rahisi hapo ndomaana watu wanapenda kuajiriwa kuliko ku risk pesa zao kwa serikali isio eleweka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi kabisa
 
Kuna kajirani yangu kamoja kapo chuo.
Yaani ukisikiliza maongezi yake tu.
Anajua akimaliza chuo.vup bin vup.anapata kazi.
Hajui wenzie wapowapo tu mtaani.
Akigombana na mtu tu.
Utasikia wewe umefika chukoo🤣🤣🤣 huwa nakacheka sana
 
Hawataki kazi pia
Njia pekee ambayo serikali itafanya kupunguza wasomi wasiohitajika ni kutowaajiri wapambane na hali zao tu mtaani.

Sasa hivi wasomi wengi hawana ajira.hii inapelekea watoto walioko shule wawe na kazi moja tu ya kuondoa ujinga mana hskuna matumaini ya kuwa na ajira za kutosha kutokana na wimbi la wasomi wengi.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikujaga dada mmoja humu JF kipindi cha nyuma,Full kujiita ladyboss,ponda sana vijana waliomaliza chuo akisema wapambane wasitegemee ajira tu,full kushauri vijana wapambane sana la sivyo atawalea mwenyewe kwa pesa zake mara paaaap ID ikaunganishwa na ID yake nyingine akitafuta mteja wa kununua kitanda chake na godoro lake used maisha yamekua magumu anataka kusepa mjini,hahah

Nikasema tu hiiiiiiiiiiiiiiiiiii,modes ni Konyo sana aiseeeee.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Maneno yana nafasi katika mabadiliko.

Sio lazima vitendo,al muhimu wapo waliojiajiri inatosha kuangalia kwao.

Lakini kumbuka kuwa unaambiwa ujiajiri kwa faida yako mwenyewe na sio kwa faida ya anayekuambia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Maneno bila mifano ya vitendo ni kazi bure. Baba yako unamuona kila siku ana vaa shati anaenda ofisini na kurudi jioni anaajura yake safi anakusomesha kwa ajira hiohio nyumbani mnaishi vizuri kwa ajira hiohio unadhani ata akikuambia vipi kuhusu kujiajiri utanwelewa?? Baba huyo huyo anamwambia mwanae akafungue duka auze au afanye biashara online au ajiendeleze na skills flan ili ajiajiri mwenyewe wakati huyo baba ata duka hajawai miliki anasubiria mishahara na maisha fresh unadhani mtoto wake ataelewa chochote?? Huo si unafiki wa waziwazi? Mwanao akikuuliza kama kujiajiri ni rahisi zaidi kwa nini usiache io kazi yako baba ufanye kama unavyosema utanwambia nini??

Tujifunze kwa waindi wale sio wanafiki kabisa anaekwambia ujiajiri unamwona kabisa anajiajiri hivyohivyo nknknk

Wasiwasi wa vijana wengi ni credibillity ya taarifa mnazowapa kuhusu kujiajiri. Wewe hujawai kujiajiri ata siku moja unamwambia mtu ajiajiri sijui ni rahisi sijui atatoboa nk wewe una uhakika gani na taarifa hizo wengi wenu huwa mnaongea kwa kufata mikumbo na kusambaza uongo tu.
Wewe kama muajiriwa ulieajiriwa credible info kutoka kwako iwe kumwelekeza kijana anayetaka kuajiriwa afanye nini na nini ili iwe rahisi kwake kupata ajira na sio kujiajiri waache waliojiajiri wachache ambao ni living proof waseme na vijana kuhusu kujiajiri


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una skills gani? Hua napenda kuanzia hapo, ukisema uige nachokifanya doesn't mean utaweza kukifanya, nina computer science skills natengeneza app zangu mwenyewe, websites e.t.c. Sio lazima uwe na hizo skills though, ukiwa hata na marketing skills nzuri online kuna kupiga hela sana tu. Hamuoni insta millionaires siku hizi walivyojaa bongo?


Sasa kumbe inahitajika Skills tena? Kumbe elimu bado inahitajika?
nimesoma elimu ya utawala.
 
Mkuu kwani ukichukua ushauri wake ukaufanyia kazi ni dhambi? Mbona kama unataka kumlaumu jamaa kana kwamba ye ana jukumu la kukufundisha maisha?

Pia badili namna ya kuparceive mambo,sijaona sehemu umuulize mtoa mada labda mfano, kwa ambao wako kwenye hali hii na hawakupata wasaa wa kujifunza kabla wanaweza kuanzia wapi.

Yaani we unaona kama kaja hapa kuwananga wasio na ajira. Hata kama ingekuwa hivyo, jifunze jambo moja litakusaidia mkuu, try to get the best out of anything regarsless of bad it may be.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu ushauri wako ni mwema nimeupokea na nitakufanyia kazi.
Tatizo hawa watu wanaboa sana na ndio wapo wengi mitaani wanawananga sana vijana ambao hawajabaatika kupata ajira kama vile ni makosa yao kukosa ajira. Kila siku vijana ooh waache kutegemea ajira serikalini hazina tija ooh sijui hazilipi ooh sijui nn ukiwaangalia wao wamekalia izo nafasi miska nenda miaka rudi maofisini uko wanaota tu vitambi. Wanaongea vitu ambavyo hawaviishi wanawaambia vijna wajiajiri biashara zinalipa nk wakati wao kutwa kusubiria mishahara hawajawai kuuza ata vocha.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata kwa maneno anaweza akaelewa kama ambavyo darasani anaelewa. Yaani unataka kwakuwa mimi ni mwajiriwa basi nihubiri habari za kuajiriwa? au nikitaka mwanangu ajue kuwa hakuna ajira basi niache kazi nijiajiri? unaongea kiuhalisia ama?

Mimi naona mtoa mada yuko sahihi sana, ajira hakuna lakini pia hazina maslahi mazuri kiivoooo...ni muhimu kuwafandisha namna ya kujiajiri hata kama sisi tumeajiriwa, ni muhimu pia kuwaeleza kuwa ajira hakuna kwakuwa wasomi washakuwa wengi sana nyakati hizi. Kuna mwingine ametoa pendekezo la kuwapeleka watoto VETA hilo pendekezo ni zuri sana.
Uhalisia 100% tazama jamii zinazokuzunguka.

Mtoto wa mfanya biasha
ra hata akisomea udaktari eventually elimu yake ataielekeza kwenye biashara zaidi.

Huwezi mfundisha mtoto kwa maneno matupu. Mtoto huiga kiurahisi zaidi.

Huyo anaetoka veta akitokea ukoo wa wafanya biashara kuna uwezekano mkubwa akaja kuwaajiri wenzake aliokuwa nao veta wanaotokea ukoo wa waajiriwa.

Mleta mada poyoyo na bado hajayaona maisha kiuhalisia wake.
 
Hata kwa maneno anaweza akaelewa kama ambavyo darasani anaelewa. Yaani unataka kwakuwa mimi ni mwajiriwa basi nihubiri habari za kuajiriwa? au nikitaka mwanangu ajue kuwa hakuna ajira basi niache kazi nijiajiri? unaongea kiuhalisia ama?

Mimi naona mtoa mada yuko sahihi sana, ajira hakuna lakini pia hazina maslahi mazuri kiivoooo...ni muhimu kuwafandisha namna ya kujiajiri hata kama sisi tumeajiriwa, ni muhimu pia kuwaeleza kuwa ajira hakuna kwakuwa wasomi washakuwa wengi sana nyakati hizi. Kuna mwingine ametoa pendekezo la kuwapeleka watoto VETA hilo pendekezo ni zuri sana.
Uhalisia 100© tazama jamii zinazokuzunguka.

Mtoto wa mfanya biasha
ra hata akisomea udaktari eventually elimu yake ataielekeza kwenye biashara zaidi.

Huwezi mfundisha mtoto kwa maneno matupu. Mtoto huiga kiurahisi zaidi.

Huyo anaetoka veta akitokea ukoo wa wafanya biashara kuna uwezekano mkubwa akaja kuwaajiri wenzake aliokuwa nao veta wanaotokea ukoo wa waajiriwa.

Mleta mada poyoyo na bado hajayaona maisha kiuhalisia wake.
 
Sasa kumbe inahitajika Skills tena? Kumbe elimu bado inahitajika?
nimesoma elimu ya utawala.

Biashara yoyote inahitaji skills hasa online business. Uzuri si lazima kila biashara uende kuchukua degree ya biashara ila ni vizuri ujue angalau watu wanafanyeje marketing, wanaanzaje kutengeneza product au kubuild business from scratch. Bila kujifunza itakua ngumu sana kuchomok, biashara 95% hua zinakufa so usishangae kwa nini nakwambia unahitaji skills, hata mi zilifeli nyingi hadi moja ilivyonitoa nikasahau.

Kwa nini usiingie online uongeze skills za biashara, soma entrepreneurship upate basics, kaa ki entrepreneur yaani wakati wote ni kufanya kitu productive. Tafuta TV Show inaitwa Shark Tank uone wafanyabiashara wanavyo-pitch ideas zao kupewa investment uta-gain mengi sana. Kuanza business bila skill yoyote aisee utaishia njiani coz huna strength hata moja atakuja mwingine atakupita
 
Hakuna sehemu rahisi kufungua biashara kama Tanzania, nashangaa sana wanaokaa ofisini wanalipwa vilaki moja au hata kamilioni, sasa kamilioni kwa mwezi unafanyia nini?

😅watu wamejiajiri wanapiga milioni kila siku wengine ambao hawapo vizuri angalau inaingia kila wiki profit hiyo ni ya kutumia. Uvivu mwingi sana
Utakuwa raia wa kigeni bila shaka, ila kama ni wale wale wenzangu na mie from "Kithomboko" huwezi niambia kujiajiri ni rahisi namna hio hapa bongo.
Caucasians ama wazawa na watoto wa wazawa walio explore maisha katika 1st world countries ndio wanaziona fursa kirahisi tofauti nasie wa humu humu nchini ndio maana yule binti toka USA aliamua kufungua kijiwe cha kuuza kande kwao huko Mwanza.

Alilifanya direct baada ya kutoka chuo sidhani kama alipoteza muda wa kusaka ajira maana aliiona hela tayari. Sasa jiulize kuna raia wangapi Mwanza ambao ni graduates wa Masters na hawakuwaza hata kupiga kiwi.

Halafu kingine hili swala linachangiwa na koo mtu uliyotokea. Mfano mie Baba mkubwa Professor (Mwajiriwa), Baba Agro-Economist(mwajiriwa) Baba mdogo Lawyer now ila ana foundation ya education ashashika sana chaki, Shangazi mtu wa Social Science ila ana foundation ya education ni mwalimu wa Kilakala girls kitambo, Babu alikuwa mhasibu, babu mzaa babu karani. Katika ukoo shangazi mmoja ndio mfanyabiashara ila wote wametoka katika same route ya kuajiriwa, haya watoto tuliosomeshwa waliozaliwa mapema wengi waajiriwa.

Hivi hio spirit ya kujiajiri naitoa wapi? Ni ngumu sana jamani. Japo hamna namna ni kujikaza tu.
 
Utakuwa raia wa kigeni bila shaka, ila kama ni wale wale wenzangu na mie from "Kithomboko" huwezi niambia kujiajiri ni rahisi namna hio hapa bongo.
Caucasians ama wazawa walio explore maisha ndio wanaziona fursa kirahisi tofauti nasie wa humu humu nchini ndio maana yule binti toka USA aliamua kufungua kijiwe cha kuuza kande kwao huko Mwanza.

Alilifanya direct baada ya kutoka chuo sidhani kama alipoteza muda wa kusaka ajira maana aliiona hela tayari. Sasa jiulize kuna raia wangapi Mwanza ambao ni graduates wa Masters na hawakuwaza hata kupiga kiwi.
Nimezaliwa Tanzania kijijini, nikasoma nikafaulu nikajisomesha mwenyewe, nikaenda kusoma chuo nje nikakomaa fungua bishara kibao zikafeli hadi siku moja moja ikahit. So najua vizuri struggle za maisha nimetokea kwenye umasikini hata 500 kuna muda ilikua shida, hiyo ndiyo ilikua drive ya kunisukuma naona umasikini ni ka ujinga hasa kwa kijana mdogo mwenye nguvu.
 
1586425028621.png

Ngoja nikimbie haraka sana kama wanavyofanya hawa jamaa kwa Vijana wao.Hakuna kuchelewa..Shule itabki kuwa Shule ila isimfanye Mwanangu apitie nilikopitia Mimi.
Kuna mambo mengi ndani ya Shule na Nje ya Shule.Zubaa uone kinachotokea.
 
Elimu imekuwa rahisi sana nowadays ndo maana kila mtu anasoma.
Sasa hivi sio watoto tu wanaolalamika kuwa hakuna ajira bali mpaka wazazi wa watoto hao wanalalamika ajira hakuna jambo ambalo linafanya familia nzima inalaumu tu mwanzo mwisho na hakuna anaezinduka hapo.

Ni bora aliyejiajiri akawa anapitia magumu wakati huu kuliko yule ambaye hana ajira kabisa wakati huu can you imagine the situation?

Hii ni kwa sababu mzazi alimjenga mwanawe tokea zamani kuwa soma upate ajira,soma upate ajira mwanangu.

Hii ni sumu mbaya sana kwa watoto mwisho wa siku mtoto anaona kuwa bado hajaanza maisha mpaka apate ajira kwanza,wakati maisha yanaanza unapojitambua na kuwa na malengo yako.

Kwa ambao wana ajira wakomae na ajira zao.

Mwambie mwanao sasa hivi wasomi wengi sana na ajira zinakuwa chache mno hasa katika mambo ambayo wengi wanasomea, kumbuka ukisoma H.R kuna mamia huko nyuma wamesoma kwa hiyo usitegemee kuwa wewe ni mtu muhimu sana uajiriwe wewe peke ako,pengine ukakosa jipange kisaikolojia.

Kiukweli maisha yanakoenda inaonekana kuwa watu wanashida sana na ajira kuliko hiyo ajira ilivyokuwa na shida na watu.

Bwana einsten aliwahi kusema kuwa : where there is a difficult,there is an opportunitiy.

usitake mambo rahisi rahisi tu alafu mafanikio yaje simple kana kwamba unafanya peke yako jambo hilo.

Watu ni wengi,wasomi ni wengi ajira ni chache sana.serikali yenye akili haiwezi kuwaajiri watu ambao hawana shida nao,haiwezi kuajiri watu ambao hata wasipokuwepo kazi zitaenda bila shida.hata wewe upo hivyo.

Mwambie mwanao maisha yanaanza akijitambua na kuwa na malengo na maisha hayaanzi akiajiriwa,mwambie hata akiwa shule ana haki ya kujiajiri na kuwa mjasiriamali.


Mtoto harithi ajira ya baba,mtoto anarithi biashara tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom