mulwanaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 5,262
- 12,855
Fafanua mkuu fafanua uwepesi uliopo Tz kuanzisha na kufanikisha biashara haraka ukilinganisha na sehemu zingineTanzania hiyohiyo, hivi huoni kuna millionaires na billionaires na wanabiashara Tanzania hapohapo sio hata nchi nyingine?
Hela ipo ni watu wazembe tu.
Sent using Jamii Forums mobile app