Mfunze Mwanao kujiajiri, mwambie maisha hayaanzi akiajiriwa, wasomi wakiwa wengi ajira zinakuwa chache

Unajuwaje kama utatangulia wewe?
 
Mhh tutaonekana tunawananga waloajiriwa...!mie siwez soma had Msc eti take home ikawa laki 6!
 
Ni muhimu sana yani kuwajenga watoto kukabiliana na maisha toka utotoni. Yani mtoto ajue kuisaka sh.100 yake hata ikibidi before hajaanza sekondari awe amejifunza life skills za kumuingizia pesa bila kutegemea mtaji zaidi. Akishafika form 4 ndo unamu introduce kwenye mtaji.
Watu tuliowadharau hawana elimu leo hii ndio waliopiga hatua zaidi kimaisha kuliko tunaojiita wasomi. Usomi bila pesa na kujimudu kimaisha its nothing.
 
Yani kwa Tanzania ya sasa uanze kuuza nyanya uwe milionea thubutu semeni tu waajiriwa wasikae kizembe wafanye chochote wapate hata hela ya bando ila kwa bongo hii ya 2020 utoke from zero uwe milionea sahau....

Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo kupiga hela awamu hii ni lazima uwe una pesa ya maana kwenye mzunguko. Unaokota buku mpaka buku 5 huku na kule ndio hapo unajikuta umezivuta nyingi.

Ila kwa mtaji wa Laki 5 kwa faida za 50-100 utakunywa sana Spar-letta Bar. Unajikuta umemeki 12,000 siku nzima ukijimix unatafuna mtaji.
 
Pesa ya maana inaanzia kiasi gani?
 
Ha ha punguza hasira mkuu..
 


Mkuu 12000 kwa siku ni hela nzuri sana tumia 4000 tunza 8000 ukiidharau hiyo hata 3m utaidharau
 
Ni vema kwa vijana kujifunza na kuwapa motisha zaidi unatolea na mifano wa ivyo vitu ili kama walikuwa hawajakifikiria basi unakuwa umewasidia na siyo kusema idea huko zipo ila huku hakuna na huzitolei mifano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanatumia njia gani kujua hizi Ids ni za mtu mmoja ?
 
Mnataka nitaje mi CEO wa kampuni flani ili muanze kunitafuta? JF watu anonymous siwezi jitaja hapa umeona barua wanazotumiwa jf kuomba habari za users?
Nitakucheki kwa Id yangu nyingine ili tuyajenge mkuu
 
Ni vema kwa vijana kujifunza na kuwapa motisha zaidi unatolea na mifano wa ivyo vitu ili kama walikuwa hawajakifikiria basi unakuwa umewasidia na siyo kusema idea huko zipo ila huku hakuna na huzitolei mifano

Sent using Jamii Forums mobile app

Haha napata point yako ila sio entrepreneurship hiyo, wanasema mfundishe mtu kuvua samaki sio kumpa samaki, kama wanataka ideas kuna thread moja humu mtua alipost idea zaidi ya 10 ambazo nyingi ukifanyia kazi unatengeneza mamilioni, in short kuna idea moja alitaja ambayo hata mimi nilikua nshaanza kuifanyia kazi.

Kua entrepreneur mzuri solution ni moja tu, angalia tatizo ambalo lipo kwenye mazingira yako, tafuta solution yake na solution iwe ambayo watu wanaweza kulipia, alafu solve hilo tatizo watu wakupe hela. Kila biashara ndivyo ilivyo.

Sasa bongo matatizo mbona yamejaa mno? Na kama mtu hana capital akianza kuimplement idea hata kwa hela kidogo anaweza fika sehemu akaomba investment makampuni yapo mengi yanatafuta watu wanaojaribu kitu kipya wainvest, hata mimi mwenyewe ukija na kitu kipya na kinaweza tengeneza hela kweli umeanza kuexecute vizuri investment naweza toa mapema kabisa, just don’t come with an idea, njoo ukiwa umeishaanza kuexecute, napenda sana execution kuliko maneno tu.

Na nishapata jengo kubwa soon nitafungua incubator Dar es salaam ya technology kuleta startup companies mbalimbali bongo nawapa ofisi bure kabisa wakae waimplement wanachotaka, nawapa na msaada wa marketing kwenye sns, mabango ya barabarani ikihitajika au technical experties maana nina miaka zaidi ya 10 kwenye utengenezaji wa software.

Naomba vijana wa kitanzania muamke, acheni lawama, acheni excuses, hakuna mtu atakaa awasikilize, amka anza kupiga kazi, huna direction kaa uliza watu, kaa tafuta connection, tafuta like minded people, kila mtu ana strength zake na weakness zake, tafuta mtu opposite na wewe anayeweza kukupa nguvu aple ambapo una mapungufu, entrepreneurship una challenge zake kibao ila trust me ukihit ni biashara moja tu unachomoka kabisa unasahau umasikini.
 
Huyo unaweza mshauri ajiingize kwenye kujiajiri lakini, japo asiache kazi yake moja kwa moja ila hata akimiliki duka lenye groceries sio mbaya.
Unamshauri nini mwalimu wa degree maana hata hiyo ajira akiipata Take-home unaweza kuta 600K.
 
Graph, Ni kweli kaka ila business idea huweza pia kupatikana kwa kujifunza kutoka kwa mtu ulio ona anafanya kwa iyo itakuwa siyo mbaya hizo idea za wengine ukazitoa ili tujifunze pia

Tupe hizo idea angalau tupate kitu cha kuanzia. idea ambazo hazitahitaji mtaji mkubwa wa kuanzia ili hiyo dhana ya kuachana na kuajiriwa iweze kuondoka kwenye mind zetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Twende practical... Mfano uyo jamaa wa law anahitaji kujiajiri ila iyo biashara unahitaji 100K na iyo K hana, unasemaje anawaza kuajiriwa tu.
 
Nikwel hawakuwah kufungua biashara kwasababu wamebahatika/wamefanikiwa kupata ajira,ila pale walipo makazin wanakutana na changamoto ambazo wao wanawahimiza ninyi msiyo ajiriwa mzichangamkie(kwani vibaya kuambiwa haya??)
Hata hivyo nikutoe tongotongo, waajiriwa wengi ndo wanaongoza kwa kutoa mitaj midogo na ya kati kuwawezesha wasiyo na ajira, siyo lazima wao wafanye
ila mimi mwenyewe nshasema huko juu nimeajiriwa na kuna kazi 2 za ziada nafanya.1 yangu mwenyewe nyingine nipo chini ya mtu!!

When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.
 
We mama acha kutukana watu hovyo

One love
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…