Mganga wa jadi adai yeye ndiye aliyemuua Nabii T. B Joshua

Mganga wa jadi adai yeye ndiye aliyemuua Nabii T. B Joshua

Mkuu unataka kusemaaaaaa.....................................Pop ni Grande finale//???
We acha tu. Nenda kasome huko www.
Lakini stay nuetral, be safe, conspiracy theories zilizopo utashangaa.

Anaelezea mambo yake lakini sehemu fulani kuna chapter ya Pope.
 
We acha tu. Nenda kasome huko www.
Lakini stay nuetral, be safe, conspiracy theories zilizopo utashangaa.

Anaelezea mambo yake lakini sehemu fulani kuna chapter ya Pope.
Heb nipe website niende mwenyewe
 
Mganga wa jadi kutoka nchini Ghana anayefahamika kwa jina la Nana Kwaku Bonsam amedai yeye ndiye anayehusika na kifo cha Nabii maarufu T. B Joshua baada ya mganga huyo kumtuhumu T. B. Joshua kuhusika na kifo cha Rais wa Ghana.

Kwenye video ambayo ameirusha mganga huyo leo, anaonekana akisema kuwa alituma taarifa kwa Papa kuwa ana mpango wa kumuua Nabii huyo.

Nana amesema amefurahi sana kulipiza kisasi cha rais wa Taifa lake. Anasema alimsginda T. B Joshua kwenye Vita yao ya kiroho iliyokuwa nzito sana.

VIDEO: I killed TB Joshua - Powerful Ghanaian traditionalist Kwaku Bonsam provides proof
Mwambie kamuua ya nyoko
 
Tupo tunaangalia katuni moja hapa na wanangu, naona matambiko, ibada za miungu, nk vinaonyeshwa kikatuni ila vina ukweli mkubwa. wazungu walirejea kwenye imani zao za asili baada ya kutupumbaza tukaharibu za kwetu ambazo vilikuwa bora zaidi ya zile za kwao.

Turudi kwenye mada, huyu sio "mchawi" ni muumini wa miungu yetu ya asili yenye nguvu za haraka Sana...TB Joshua alirusha kombora kwa padre wa Ghana naye akajibu kwa nguvu ile ile, hiyo ndiyo nguvu ya Karma!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba padre wa Ghana. We jamaa umevunja mbavu zangu.
 
I KILLED PROPHET TB JOSHUA..NANA KWAKU BONSAM CLAIMS
-------------------------------------------------
Ghanaian most powerful spiritualist,Dr Nana Kwaku Bonsam, says he killed Popular Nigerian Prophet ,TB Joshua, because the man of God was attacking him in the spirit after he accused him(TB Joshua) of killing Ghanaian President.

In his recent video, posted today, the spiritualist claims to have also reported TB Joshua to the Roman Catholic Pope in Roma for permission to kill TB Joshua.

Nana Kwaku Bonsam says he is happy to have revenged the death of his president by killing the man of God Prophet TB Joshua.

Nana Kwaku Bonsam has been fighting Prophets, Pastors and many men of God from Nigeria accusing them of being liars, deceivers and using magic to perform miracles in the name of God to enrich themselves.
 
I KILLED PROPHET TB JOSHUA..NANA KWAKU BONSAM CLAIMS
-------------------------------------------------
Ghanaian most powerful spiritualist,Dr Nana Kwaku Bonsam, says he killed Popular Nigerian Prophet ,TB Joshua, because the man of God was attacking him in the spirit after he accused him(TB Joshua) of killing Ghanaian President.

In his recent video, posted today, the spiritualist claims to have also reported TB Joshua to the Roman Catholic Pope in Roma for permission to kill TB Joshua.

Nana Kwaku Bonsam says he is happy to have revenged the death of his president by killing the man of God Prophet TB Joshua.

Nana Kwaku Bonsam has been fighting Prophets, Pastors and many men of God from Nigeria accusing them of being liars, deceivers and using magic to perform miracles in the name of God to enrich themselves.
 
Mganga wa jadi kutoka nchini Ghana anayefahamika kwa jina la Nana Kwaku Bonsam amedai yeye ndiye anayehusika na kifo cha Nabii maarufu T. B Joshua baada ya mganga huyo kumtuhumu T. B. Joshua kuhusika na kifo cha Rais wa Ghana.

Kwenye video ambayo ameirusha mganga huyo leo, anaonekana akisema kuwa alituma taarifa kwa Papa kuwa ana mpango wa kumuua Nabii huyo.

Nana amesema amefurahi sana kulipiza kisasi cha rais wa Taifa lake. Anasema alimsginda T. B Joshua kwenye Vita yao ya kiroho iliyokuwa nzito sana.
_____________________________________________

I KILLED PROPHET TB JOSHUA..NANA KWAKU BONSAM CLAIMS
-------------------------------------------------
Ghanaian most powerful spiritualist,Dr Nana Kwaku Bonsam, says he killed Popular Nigerian Prophet ,TB Joshua, because the man of God was attacking him in the spirit after he accused him(TB Joshua) of killing Ghanaian President.

In his recent video, posted today, the spiritualist claims to have also reported TB Joshua to the Roman Catholic Pope in Roma for permission to kill TB Joshua.

Nana Kwaku Bonsam says he is happy to have revenged the death of his president by killing the man of God Prophet TB Joshua.

Nana Kwaku Bonsam has been fighting Prophets, Pastors and many men of God from Nigeria accusing them of being liars, deceivers and using magic to perform miracles in the name of God to enrich themselves.
VIDEO: I killed TB Joshua - Powerful Ghanaian traditionalist Kwaku Bonsam provides proof
Kisheria ipoje hii hajatenda jinai???
 
Back
Top Bottom