Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Machawi yameumana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh hoo. Kutokana na huyu mcongo aliyetoa story yake www.insightsofgod pope ndiye Chief witch. Haya mambo magumu kidogo.Papa anahusikaje na huyu Nabii??
Papa si anahusika na RC
Mkuu unataka kusemaaaaaa.....................................Pop ni Grande finale//???Ooh hoo. Kutokana na huyu mcongo aliyetoa story yake www.insightsofgod pope ndiye Chief witch. Haya mambo magumu kidogo.
We acha tu. Nenda kasome huko www.Mkuu unataka kusemaaaaaa.....................................Pop ni Grande finale//???
Heb nipe website niende mwenyeweWe acha tu. Nenda kasome huko www.
Lakini stay nuetral, be safe, conspiracy theories zilizopo utashangaa.
Anaelezea mambo yake lakini sehemu fulani kuna chapter ya Pope.
Mwambie kamuua ya nyokoMganga wa jadi kutoka nchini Ghana anayefahamika kwa jina la Nana Kwaku Bonsam amedai yeye ndiye anayehusika na kifo cha Nabii maarufu T. B Joshua baada ya mganga huyo kumtuhumu T. B. Joshua kuhusika na kifo cha Rais wa Ghana.
Kwenye video ambayo ameirusha mganga huyo leo, anaonekana akisema kuwa alituma taarifa kwa Papa kuwa ana mpango wa kumuua Nabii huyo.
Nana amesema amefurahi sana kulipiza kisasi cha rais wa Taifa lake. Anasema alimsginda T. B Joshua kwenye Vita yao ya kiroho iliyokuwa nzito sana.
VIDEO: I killed TB Joshua - Powerful Ghanaian traditionalist Kwaku Bonsam provides proof
www.insightsofgod.comHeb nipe website niende mwenyewe
Duh!!! dunia inatisha hii balaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba padre wa Ghana. We jamaa umevunja mbavu zangu.Tupo tunaangalia katuni moja hapa na wanangu, naona matambiko, ibada za miungu, nk vinaonyeshwa kikatuni ila vina ukweli mkubwa. wazungu walirejea kwenye imani zao za asili baada ya kutupumbaza tukaharibu za kwetu ambazo vilikuwa bora zaidi ya zile za kwao.
Turudi kwenye mada, huyu sio "mchawi" ni muumini wa miungu yetu ya asili yenye nguvu za haraka Sana...TB Joshua alirusha kombora kwa padre wa Ghana naye akajibu kwa nguvu ile ile, hiyo ndiyo nguvu ya Karma!
Wakija wafia dini watabisha.Ooh hoo. Kutokana na huyu mcongo aliyetoa story yake www.insightsofgod pope ndiye Chief witch. Haya mambo magumu kidogo.
Temitope nae longolongo ile ndege ya MH370 mbona haijaonekana mpaka leo.
Ni wale wale
Sawa nabii bujibuji
I KILLED PROPHET TB JOSHUA..NANA KWAKU BONSAM CLAIMSSTUPID
Tena athibitishe kwa kumrudisha tumuone afu amuue tenaHuyo mganga anataka CREDIT tu na umaarufu. hebu athibitishe kama amemuondoa jamaa
Asee afanye ivo ili tumuaminiTena athibitishe kwa kumrudisha tumuone afu amuue tena
Kisheria ipoje hii hajatenda jinai???Mganga wa jadi kutoka nchini Ghana anayefahamika kwa jina la Nana Kwaku Bonsam amedai yeye ndiye anayehusika na kifo cha Nabii maarufu T. B Joshua baada ya mganga huyo kumtuhumu T. B. Joshua kuhusika na kifo cha Rais wa Ghana.
Kwenye video ambayo ameirusha mganga huyo leo, anaonekana akisema kuwa alituma taarifa kwa Papa kuwa ana mpango wa kumuua Nabii huyo.
Nana amesema amefurahi sana kulipiza kisasi cha rais wa Taifa lake. Anasema alimsginda T. B Joshua kwenye Vita yao ya kiroho iliyokuwa nzito sana.
_____________________________________________
I KILLED PROPHET TB JOSHUA..NANA KWAKU BONSAM CLAIMS
-------------------------------------------------
Ghanaian most powerful spiritualist,Dr Nana Kwaku Bonsam, says he killed Popular Nigerian Prophet ,TB Joshua, because the man of God was attacking him in the spirit after he accused him(TB Joshua) of killing Ghanaian President.
In his recent video, posted today, the spiritualist claims to have also reported TB Joshua to the Roman Catholic Pope in Roma for permission to kill TB Joshua.
Nana Kwaku Bonsam says he is happy to have revenged the death of his president by killing the man of God Prophet TB Joshua.
Nana Kwaku Bonsam has been fighting Prophets, Pastors and many men of God from Nigeria accusing them of being liars, deceivers and using magic to perform miracles in the name of God to enrich themselves.
VIDEO: I killed TB Joshua - Powerful Ghanaian traditionalist Kwaku Bonsam provides proof
Hajaua mwili kaua roho. Mwili ni Mali ya umma, roho ni Mali ya Mungu. Hii kesi ataihukumu Mungu mwenyeweKisheria ipoje hii hajatenda jinai???
Lkn kwa mujibu wa bandiko linaeleza jamaa kafunguka kinywa kipana kuwa yeye ndio muuaji.Hajaua mwili kaua roho. Mwili ni Mali ya umma, roho ni Mali ya Mungu. Hii kesi ataihukumu Mungu mwenyewe