Mgao ujao wa umeme…

Mgao ujao wa umeme…

Inadaiwa mgao wa umeme unakuja. Inadaiwa unaanza tarehe 1 mwezi ujao wa Februari.

Sababu ya huo mgao eti ni matengenezo ya mitambo yao ya wapi wapi huko sijui…

Sasa kwa akili zangu hizi za kidato cha nne, ni kama vile sielewi elewi.

Mbona nchi zingine huwa hakuna migao inayosababishwa na matengenezo ya mitambo ya umeme?

Au zipo? Kama zipo, basi sawa. Ila kwa nchi nizijuazo mimi, kamwe hata mara moja sijawahi sikia eti kutakuwepo na mgao au migao ya umeme kwa sababu mitambo ya kuzalisha au kusambaza umeme inafanyiwa ukarabati.

Hao wenzetu wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati? Kama huwa inahitaji ukarabati, wanawezaje kuepuka migao ya umeme?

Kwa nini sisi kila mitambo inapohitaji ukarabati [ kama ni kweli inahitaji huo ukarabati] basi kunakuwepo na mgao?

Manake hili si jambo geni. Limekuwepo siku zote. Sasa miaka yote hii hawa watu hawajaweza tu kubuni namna ya kuikarabati hiyo mitambo bila kuleta usumbufu wa migao?

Tanesco….and whoever else involved….seriously????

Uko sahihi kabisa. Nimewahi kuishi kwenye taifa moja la magharibi kwa miongo kadhaa, lakini sikuwahi kusikia hicho kituko!

Hata huyo Ma-rope mwenyewe anajua hicho ni kituko, kwa sababu amewahi kuishi Marekani.
 
Nchi inafunguka, sasa tunapumua mmmmhaaaa!!! Kwanza walianza na kukarabati mitambo, na yule bwana kipara akasema watu waliogopa kukarabati kwa kuhofia kutumbuliwa. Akafanya huge transformation ya management, pili akasema mgao unasababishwa na ukame, mungu si athumani mvua zikanyesha.

Sasa wamerudi na propaganda za kukarabati mitambo tena, hapa kuna dili linaandaliwa, watasema ndio solutions za matatizo nyie subirini muone. Ule ujenzi wa stigliers George utapigwa figisu zote mnazozijua. Kweli ina wenyewe.
 
Inadaiwa mgao wa umeme unakuja. Inadaiwa unaanza tarehe 1 mwezi ujao wa Februari.

Sababu ya huo mgao eti ni matengenezo ya mitambo yao ya wapi wapi huko sijui…

Sasa kwa akili zangu hizi za kidato cha nne, ni kama vile sielewi elewi.

Mbona nchi zingine huwa hakuna migao inayosababishwa na matengenezo ya mitambo ya umeme?

Au zipo? Kama zipo, basi sawa. Ila kwa nchi nizijuazo mimi, kamwe hata mara moja sijawahi sikia eti kutakuwepo na mgao au migao ya umeme kwa sababu mitambo ya kuzalisha au kusambaza umeme inafanyiwa ukarabati.

Hao wenzetu wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati? Kama huwa inahitaji ukarabati, wanawezaje kuepuka migao ya umeme?

Kwa nini sisi kila mitambo inapohitaji ukarabati [ kama ni kweli inahitaji huo ukarabati] basi kunakuwepo na mgao?

Manake hili si jambo geni. Limekuwepo siku zote. Sasa miaka yote hii hawa watu hawajaweza tu kubuni namna ya kuikarabati hiyo mitambo bila kuleta usumbufu wa migao?

Tanesco….and whoever else involved….seriously????
Makamba alituambia kuna matengenezo November ile yote, Kwahiyo inamaana kile kibano😀 chote bado mgao haukuwa rasmi. Sasa ndio wenyewe sio?
 
Hizo nchi ulizoishi, ugavi wa umeme utakuwa upo mikononi mwa private sector aka makampuni binafsi na siyo Serikali.

Ukilinganisha Tanzania na nchi ambazo kampuni ya Umeme nchi nzima ni moja tu na inamilikiwa na Serikali 100 percent, utakuta ni same ol' shit year in year out umeme kukatika na migao.
 
Nchi inafunguka, sasa tunapumua mmmmhaaaa!!! Kwanza walianza na kukarabati mitambo, na yule bwana kipara akasema watu waliogopa kukarabati kwa kuhofia kutumbuliwa. Akafanya huge transformation ya management, pili akasema mgao unasababishwa na ukame, mungu si athumani mvua zikanyesha.

Sasa wamerudi na propaganda za kukarabati mitambo tena, hapa kuna dili linaandaliwa, watasema ndio solutions za matatizo nyie subirini muone. Ule ujenzi wa stigliers George utapigwa figisu zote mnazozijua. Kweli ina wenyewe.
Anajua anachokifanya, tunasubiri muda na hautatudanganya juu ya utendaji wake. Amesema tunamuone wivu, sasa tunasubiri muda tu.yalianza matengenezo, ukaja ukame, zikaja mvua kali, sasa matengenezo tena.
 
Tutamkumbuka Sana uncle Magu chini yake hakukuwa na tatizo la umeme wala maji aliwapiga beat Tanesco hata kabla yakuingia madarakani, kiufupi tunarudi kwenye maisha tuliyoyazoea hii nchi inatakiwa impate raisi ambaye ni mkali asiyependa masiala na mwenye maamuzi magumu sasa huyu Raisi wasasa anaendeshwa kwasababu ni mpole na hana maamuzi magumu so watu watamchezea wanavyotaka.Ukali wa Magu ulisaidia hii kunyooka kulikuwa na taarifa eti maji ya kidatu kupunguza Mara kwa Mara kipindi Cha kikwete lakini tangu aingie Magu Huu upuuzi ulikuwa haupo.
Nyani Ngabu
Muasisi wa mauaji utamkumbuka wewe na familia yako
 
Wanataka wawachoshe wananchi kwa migao ya umeme ili wakipitisha azimio la kuibinafsisha TANESCO wasipate backlash ya umma
 
Kitaalam tunasema maji yamezifi unga au unga umezidi maji?
 
Inadaiwa mgao wa umeme unakuja. Inadaiwa unaanza tarehe 1 mwezi ujao wa Februari.

Sababu ya huo mgao eti ni matengenezo ya mitambo yao ya wapi wapi huko sijui…

Sasa kwa akili zangu hizi za kidato cha nne, ni kama vile sielewi elewi.

Mbona nchi zingine huwa hakuna migao inayosababishwa na matengenezo ya mitambo ya umeme?

Au zipo? Kama zipo, basi sawa. Ila kwa nchi nizijuazo mimi, kamwe hata mara moja sijawahi sikia eti kutakuwepo na mgao au migao ya umeme kwa sababu mitambo ya kuzalisha au kusambaza umeme inafanyiwa ukarabati.

Hao wenzetu wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati? Kama huwa inahitaji ukarabati, wanawezaje kuepuka migao ya umeme?

Kwa nini sisi kila mitambo inapohitaji ukarabati [ kama ni kweli inahitaji huo ukarabati] basi kunakuwepo na mgao?

Manake hili si jambo geni. Limekuwepo siku zote. Sasa miaka yote hii hawa watu hawajaweza tu kubuni namna ya kuikarabati hiyo mitambo bila kuleta usumbufu wa migao?

Tanesco….and whoever else involved….seriously????

Mbona mwanzo tuliambiwa umeme unasumbua kwasababu mashine zinafanyiwa matengenezo kwa sababu zilikaa miaka mitano bila marekebisho hivyo zimechoka....sasa mbona wanakuja na sababu zile zile[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanataka wawachoshe wananchi kwa migao ya umeme ili wakipitisha azimio la kuibinafsisha TANESCO wasipate backlash ya umma
You cannot have your cake and it too. There should be a tread-off. Kama mnataka Serikali ifanye biashara basi mkubali inefficiencies, deficiencies, shortcomings and otherwise less than reliable and overall poor services with zero liabilities on the Service Provider's side aka government.
 
Inadaiwa mgao wa umeme unakuja. Inadaiwa unaanza tarehe 1 mwezi ujao wa Februari.

Sababu ya huo mgao eti ni matengenezo ya mitambo yao ya wapi wapi huko sijui…

Sasa kwa akili zangu hizi za kidato cha nne, ni kama vile sielewi elewi.

Mbona nchi zingine huwa hakuna migao inayosababishwa na matengenezo ya mitambo ya umeme?

Au zipo? Kama zipo, basi sawa. Ila kwa nchi nizijuazo mimi, kamwe hata mara moja sijawahi sikia eti kutakuwepo na mgao au migao ya umeme kwa sababu mitambo ya kuzalisha au kusambaza umeme inafanyiwa ukarabati.

Hao wenzetu wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati? Kama huwa inahitaji ukarabati, wanawezaje kuepuka migao ya umeme?

Kwa nini sisi kila mitambo inapohitaji ukarabati [ kama ni kweli inahitaji huo ukarabati] basi kunakuwepo na mgao?

Manake hili si jambo geni. Limekuwepo siku zote. Sasa miaka yote hii hawa watu hawajaweza tu kubuni namna ya kuikarabati hiyo mitambo bila kuleta usumbufu wa migao?

Tanesco….and whoever else involved….seriously????
Magufuli alishakufa.

Jitahidi KUZOEA
 
Huu mgao umenipa mawazo sana, maisha yatakua magumu ndani ya hizo siku kumi, tunajiita tanzania ya viwanda tena tupo uchumi wa kati
 
Inadaiwa mgao wa umeme unakuja. Inadaiwa unaanza tarehe 1 mwezi ujao wa Februari.

Sababu ya huo mgao eti ni matengenezo ya mitambo yao ya wapi wapi huko sijui…

Sasa kwa akili zangu hizi za kidato cha nne, ni kama vile sielewi elewi.

Mbona nchi zingine huwa hakuna migao inayosababishwa na matengenezo ya mitambo ya umeme?

Au zipo? Kama zipo, basi sawa. Ila kwa nchi nizijuazo mimi, kamwe hata mara moja sijawahi sikia eti kutakuwepo na mgao au migao ya umeme kwa sababu mitambo ya kuzalisha au kusambaza umeme inafanyiwa ukarabati.

Hao wenzetu wao mitambo yao huwa haihitaji ukarabati? Kama huwa inahitaji ukarabati, wanawezaje kuepuka migao ya umeme?

Kwa nini sisi kila mitambo inapohitaji ukarabati [ kama ni kweli inahitaji huo ukarabati] basi kunakuwepo na mgao?

Manake hili si jambo geni. Limekuwepo siku zote. Sasa miaka yote hii hawa watu hawajaweza tu kubuni namna ya kuikarabati hiyo mitambo bila kuleta usumbufu wa migao?

Tanesco….and whoever else involved….seriously????
Utakuwa umeishi nchi zilizoendelea kiuchumi na kiteknoljia hazitegemei one-trick-pony aka hydro electric power stations zinazomilikiwa na Serikali.
 
Unafikiri hiyo ndio sababu? Sasa hivi tukubali yote yatayokuja, kwa kuwa waziri mwenye dhamana yupo kimkakati
Waziri anasaka pesa za kampeni kwani 2025 siyo mbali na yeye anatarajia kutangaza nia ya kuwa mhishiwa rahisi! Acha ikae hivyo hivyo!
 
Huu ni mwezi wa tatu tupo kwenye mgao wa umeme

Sasa sijui huo mgao wa siku 10 utaondoa tatizo zima la kukatika umeme nchini

Huu michezo ulikuwepo wakati wa awamu ya nne watu tulilipia Malaki kuunganishiwa umeme na tulisubiria zaidi ya miezi 6 kuunganishiwa na wengine Hadi miezi 9

Ufisadi hauna huruma si mtoto Wala mzee
Wanachokiangalia ni matumbo yao
 
Uko sahihi kabisa. Nimewahi kuishi kwenye taifa moja la magharibi kwa miongo kadhaa, lakini sikuwahi kusikia hicho kituko!

Hata huyo Ma-rope mwenyewe anajua hicho ni kituko, kwa sababu amewahi kuishi Marekani.
Eti mgao kisa wanafanyia ukarabati mitambo!

Hii haikubaliki kabisa.
 
Back
Top Bottom