Hapo kwenye red... kama Jide alijenga nyumba kabla ya ndoa, kiuhalali ni yake na siyo ya GH. Sio swala la JD kusema mahakamani vithibitisho vitaonyesha
kwenye green: Usajili wa kampuni na assets za Machozi band na MOG restaurant ndio zitatoa muongozo kuhusu mali za hizo kampuni. kampuni inasimama kama separate entity. Mali za kampuni (pamoja na magari) zinabaki kuwa za kampuni siyo za jide. Swali ni kwamba, je GH naye ni mmiliki halali wa kampuni ili aendelee kufaidika na faida itakayokuwa inatengenezwa na kampuni
Kwa ufupi, ndio maana celebrities wa US na Europe wengi huwa wanaoa celebrities wenzao ili kuondoa hii habari ya mtu kuoa/kuolewa na celebrity ili achume mali. Mkiwa wote mpo vizuri kipesa kama Beyonce na Jay Z, Beckham na Posh, mkivunja mkataba kwenye mgao kila mtu inakula kwake. Ni risk kwa celebrity kuolewa na mtu asiyekuwa na pesa
Ni mtizamo wangu tu