Mgao wa milioni 500 kila jimbo kwa ajili ya barabara za jimboni

Mgao wa milioni 500 kila jimbo kwa ajili ya barabara za jimboni

Zanzibar(Unguja&Pemba)
1. Eneo 2654 km2
2. Idadi ya wabunge 50
3. Kiasi cha fedha milioni 500*50
Sawa na bilioni 25.

Mkoa wa Pwani
1. Eneo 32407 km2
2. Idadi ya wabunge 09
3. Kiasi cha fedha milioni 500*9
Sawa na bilioni 4.5

Hoja yangu:
Kwanini hizi hela zigawanywe kwa majimbo bila kuzingatia ukubwa wa jimbo na uhitaji?
Vizazi vyetu vitatushangaa sana miaka ijayo.
Kazi iendelee.
Mkuu


Usisumbuke kusugua ubongo wako kuhusiana na hilikwa sababu bwawa la kuhifadhi maji limefunguliwa milango yote bila kujali mahitaji stahiki ya watumiaji maana wengi wenye mazao mengi kwenye kubwa kwa kiwango sawa cha maji yaliyoachiwa hayawezi kulingalihsa na uhimilivu wa bustani.

Muda mchache ujao ardhi ikishiba maji itayatema nje (retention level will be elevated due to water table saturation) hapo ndipo kiburi cha bayana kitakapoibuka kwa majivuno.......
 
Jambo la msingi ni kila jimbo lipate pesa..unaweza kuwa mdogo lakini una mahitaji makubwa na pia unaweza kuwa mkubwa ukawa na mahitaji machache.
Kuna tofauti kubwa kati ya
Equity, Equality na Reality
 
Mkuu


Usisumbuke kusugua ubongo wako kuhusiana na hilikwa sababu bwawa la kuhifadhi maji limefunguliwa milango yote bila kujali mahitaji stahiki ya watumiaji maana wengi wenye mazao mengi kwenye kubwa kwa kiwango sawa cha maji yaliyoachiwa hayawezi kulingalihsa na uhimilivu wa bustani.

Muda mchache ujao ardhi ikishiba maji itayatema nje (retention level will be elevated due to water table saturation) hapo ndipo kiburi cha bayana kitakapoibuka kwa majivuno.......
Time will tell
 
Zanzibar(Unguja&Pemba)
1. Eneo 2654 km2
2. Idadi ya wabunge 50
3. Kiasi cha fedha milioni 500*50
Sawa na bilioni 25.

Mkoa wa Pwani
1. Eneo 32407 km2
2. Idadi ya wabunge 09
3. Kiasi cha fedha milioni 500*9
Sawa na bilioni 4.5

Hoja yangu:
Kwanini hizi hela zigawanywe kwa majimbo bila kuzingatia ukubwa wa jimbo na uhitaji?
Vizazi vyetu vitatushangaa sana miaka ijayo.
Kazi iendelee.
Acha kuchanganya madesa fedha hizi kwa kwa ajili ya Tanzania Bara tu, Zanzibar haziwahusu!
 
Hata kwenye mfumo wa vyama vingi ni hivyo hivyo, hujajiuliza kwa nini haki hizi hudaiwa sana na wachaga? Mwenyekiti was TLP mchaga, Mwenyekiti CHADEMA mchaga, Mwenyekiti NCCR mageuzi mchanga.
Wakristo wanaamini taifa LA Mungu ni Israel wengine wote mataifa ya shetani. Waislamu wanaamini lugha ya Mungu ni kiarabu lugha nyingine zote za shetani. Usawa haupo, na mgao hatuwezi kuwa sawa. Wala Uzanzibari na Uzanzibara haviwezi kuwa sawa.
MWAMBA TUVUSHE.
Duuh! Duniani kuna watu na viatu!
 
Back
Top Bottom