Mgao wa Umeme, IPTL, Kinyerezi IV, na Pan African Energy Tanzania (PAET) Ltd: Kwa nini tunarudia makosa ya enzi za Rais Kikwete?

Habari mkuu
Nadhani Mama Dr.SSH hajapewa taarifa juu ya huu ufisadi. Naomba washauri wa mama wampe taarifa na wampe ushauri stahiki wa jinsi ya kuushughulikia huu ufisadi.
Ahsante
Hata akipewa taarifa hii, kama ni kweli, hakuna hatakachofanya....

Kwan unazan mama hajui kama hamna mgao wa umeme, n hatua gan amefanya yeye kama rais
 
Uzuri wake tunaisoma number wote umeme unakatika kote kote Hadi nyumba za makada wao freshhhh tu twendeni hivi hivi na mvua aitonyesha mwaka huu
 
Hii ni aibu kubwa kwa nchi kama Tanzania kukosa umeme, yenye vyanzo vingi vyakuzalisha umeme wananchi inabidi tujaribu kubadirisha viongozi,wanaongoza wameshindwa
 
Kinyerezi IV ilianza lini kujengwa ?
 
Sisiem na ile cartel ya Pablo Escobar hawana tofauti, tofauti nchi tu

Ni uharamia na ufisadi kwa kwenda mbele.
 
Nachukia kuwa mtanzania Kwa kasi sana

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…