Mgawanyo wa fedha kwa timu 8 zinazoshiriki Super League, Simba Tayari kakunja Tsh. Bilioni 2.5

Mgawanyo wa fedha kwa timu 8 zinazoshiriki Super League, Simba Tayari kakunja Tsh. Bilioni 2.5

Naomba chanzo cha CAF

Tatizo hapa Tanzania lugha ya kiingereza ni changamoto sana na wachambuzi hutumia mwanya huu kupenyeza habari ambazo hazipo na watu wengi wakaziamini sababu hawawezi kuzihakikisha kwenye vyanzo vinavyotumia lugha wasiyoijua.

Hizo pesa zimo ndani ya bajeti sio sandakalawe, kila matumizi ya mashindano yanarekodiwa kwenye matumizi ya caf na kuyatangaza

Naomba chanzo official cha caf sio wachambuzi ambao hata wao lugha zinawapiga chenga
Kwahiyo timu zimechaguliwa na kuanza kucheza tu. Halafu wasubiri prize money? [emoji23][emoji23] Kuna pesa ya maandalizi mkuu.
 
Kwahiyo timu zimechaguliwa na kuanza kucheza tu. Halafu wasubiri prize money? [emoji23][emoji23] Kuna pesa ya maandalizi mkuu.
Michuano yote ya caf pesa zinalipwa mpaka mashindano yaishe.

Ikitokea timu haina pesa za kujiandaa basi ni mpaka labda ibembeleze ipewe hela za usafiri na chakula na malazi lakini hio pesa itakatwa kwenye pesa kamili itayopewa mashindano yakiisha.

Wabongo wengi lugha ni changamoto kufuatilia vyanzo official vya CAF na inakuwa rahisi wachambuzi kuaminisha uongo, nakumbuka ni hawa hawa wachambuzi walidanganya kwamba timu zinachukua pesa za kufuzu hatua ya makundi, robo fainali, nusu fainali, fainali, ubingwa wakati utaratibu haupo hivyo.

Na hio ya kila timu kupewa pesa za maandalizi tofauti na zilizopangwa kwenye bajeti ni stori za wachambuzi zisizo na ushahidi ama zilikuwa ni tetesi, kama sio weka ushahidi wa caf
 
A

Simba alikunja bilioni 5 za maandalizi ya AFL ambapo timu zote 8 zilipata. Kisha italamba bilioni 2.5 kama itatolewa! Kwa nini utopolo walisile wivu?
Hakuna pesa ya bure subirini mapacha
 
A

Simba alikunja bilioni 5 za maandalizi ya AFL ambapo timu zote 8 zilipata. Kisha italamba bilioni 2.5 kama itatolewa! Kwa nini utopolo walisile wivu?
Hakuna hela yoyote ya maandalizi iliyotoka
 
Hahahaha nmethibitisha hakuna ila Simba ndo wamepasuka zaidi kuchangia ukarabati wa uwanja kununua fanicha
Wakati kwa mechi mbili anaingiza 2.5b, sasa hapo kapasuka vipi? Gate collection ya jana inanunua fanicha za viwanja vyote tz sio mkapa pekeyake
 
A

Simba alikunja bilioni 5 za maandalizi ya AFL ambapo timu zote 8 zilipata. Kisha italamba bilioni 2.5 kama itatolewa! Kwa nini utopolo walisile wivu?
Bilioni tano akupe nani wewe tako moja?.... hapo ulijazwa ujinga tu na hao wachambua tembele wenu.
Ingia kwenye website ya CAF ujionee sio kukata viuno kama Yondo sister.
 
Kabla mashindamno hayajaanza kila timu ilikula dola milioni 2. Lengo ;likiwa ni usajili na maandalizi kabla ya mashindano. Hizi walizoweka sasa ni za "prizes" baada ya kuanza mashindano!! Na walijiandaa kuanza na klabu 24 japo zilpunguzwa kuwa nane!! Ona hapa:

A total of 24 clubs -- eight each from the north, west/centre and south/east regions chosen on merit -- would compete and get $2.5 mn each in advance to buy players and cover travel costs.

Usichanganye pesa ya prizes na ya preparation (to buy players and cover travel costs). Simba alishakula tayari $2.5M, na sasa atakula $1M. Utpolo wakilia wivu ninawaelewa kabisa!!
Upuuzi huu kutoka chanzo kipi?
CAF wenyewe ama Bin kazumari?

Mbumbumbu bhana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Naomba chanzo cha CAF

Tatizo hapa Tanzania lugha ya kiingereza ni changamoto sana na wachambuzi hutumia mwanya huu kupenyeza habari ambazo hazipo na watu wengi wakaziamini sababu hawawezi kuzihakikisha kwenye vyanzo vinavyotumia lugha wasiyoijua.

Hizo pesa zimo ndani ya bajeti sio sandakalawe, kila matumizi ya mashindano yanarekodiwa kwenye matumizi ya caf na kuyatangaza

Naomba chanzo official cha caf sio wachambuzi ambao hata wao lugha zinawapiga chenga
Akikupa nitag.
 
Michuano yote ya caf pesa zinalipwa mpaka mashindano yaishe.

Ikitokea timu haina pesa za kujiandaa basi ni mpaka labda ibembeleze ipewe hela za usafiri na chakula na malazi lakini hio pesa itakatwa kwenye pesa kamili itayopewa mashindano yakiisha.

Wabongo wengi lugha ni changamoto kufuatilia vyanzo official vya CAF na inakuwa rahisi wachambuzi kuaminisha uongo, nakumbuka ni hawa hawa wachambuzi walidanganya kwamba timu zinachukua pesa za kufuzu hatua ya makundi, robo fainali, nusu fainali, fainali, ubingwa wakati utaratibu haupo hivyo.

Na hio ya kila timu kupewa pesa za maandalizi tofauti na zilizopangwa kwenye bajeti ni stori za wachambuzi zisizo na ushahidi ama zilikuwa ni tetesi, kama sio weka ushahidi wa caf
Mkuu, kumbuka hao jamaa unao jadiliana nao ni mbumbumbu (kwa mujibu wa Rage) hivyo ni kupoteza muda wako tu kujadiliana nao, hao tayari wamesha jazwa upepo na wachambua mchicha wao hivyo hawawezi kufikili nje ya box.
 
Back
Top Bottom