Kwahiyo timu zimechaguliwa na kuanza kucheza tu. Halafu wasubiri prize money? [emoji23][emoji23] Kuna pesa ya maandalizi mkuu.Naomba chanzo cha CAF
Tatizo hapa Tanzania lugha ya kiingereza ni changamoto sana na wachambuzi hutumia mwanya huu kupenyeza habari ambazo hazipo na watu wengi wakaziamini sababu hawawezi kuzihakikisha kwenye vyanzo vinavyotumia lugha wasiyoijua.
Hizo pesa zimo ndani ya bajeti sio sandakalawe, kila matumizi ya mashindano yanarekodiwa kwenye matumizi ya caf na kuyatangaza
Naomba chanzo official cha caf sio wachambuzi ambao hata wao lugha zinawapiga chenga
Michuano yote ya caf pesa zinalipwa mpaka mashindano yaishe.Kwahiyo timu zimechaguliwa na kuanza kucheza tu. Halafu wasubiri prize money? [emoji23][emoji23] Kuna pesa ya maandalizi mkuu.
Aya vaa uendeUnafikiri kwa kutumia mak*lio
Hakuna pesa ya bure subirini mapachaA
Simba alikunja bilioni 5 za maandalizi ya AFL ambapo timu zote 8 zilipata. Kisha italamba bilioni 2.5 kama itatolewa! Kwa nini utopolo walisile wivu?
Hakuna hela yoyote ya maandalizi iliyotokaA
Simba alikunja bilioni 5 za maandalizi ya AFL ambapo timu zote 8 zilipata. Kisha italamba bilioni 2.5 kama itatolewa! Kwa nini utopolo walisile wivu?
Hakuna hela iliyotoka broo! Hiyo taarifa yako kaitafute caf uone kama utaipataKama ni kweli haujui kuwa kila timu ilishakula $2M kabla mashindano kuanza pole sana!!
Hakuna pesa ya maandalizi acha kukaza fuvu wewe.Kwahiyo timu zimechaguliwa na kuanza kucheza tu. Halafu wasubiri prize money? [emoji23][emoji23] Kuna pesa ya maandalizi mkuu.
Hongera zaoBingwa - $4,000,000 / Shilingi bilioni 10
Mshindi wa pili - $3,000,000 / Shilingi bilioni 7.5
Kuiingia nusu fainali - $1,700,000 / Shilingi bilioni 4.2
Kila timu itayotolewa mwanzoni - $1,000,000 / Shilingi bilioni 2.5
Chanzo ni CAF wenyewe
CAF announces Prize Money for the Inaugural African Football League (“AFL”)
Hahahaha nmethibitisha hakuna ila Simba ndo wamepasuka zaidi kuchangia ukarabati wa uwanja kununua fanichaHakuna pesa ya maandalizi acha kukaza fuvu wewe.
Wakati kwa mechi mbili anaingiza 2.5b, sasa hapo kapasuka vipi? Gate collection ya jana inanunua fanicha za viwanja vyote tz sio mkapa pekeyakeHahahaha nmethibitisha hakuna ila Simba ndo wamepasuka zaidi kuchangia ukarabati wa uwanja kununua fanicha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Simba tunachukua kombe
Bilioni tano akupe nani wewe tako moja?.... hapo ulijazwa ujinga tu na hao wachambua tembele wenu.A
Simba alikunja bilioni 5 za maandalizi ya AFL ambapo timu zote 8 zilipata. Kisha italamba bilioni 2.5 kama itatolewa! Kwa nini utopolo walisile wivu?
Upuuzi huu kutoka chanzo kipi?Kabla mashindamno hayajaanza kila timu ilikula dola milioni 2. Lengo ;likiwa ni usajili na maandalizi kabla ya mashindano. Hizi walizoweka sasa ni za "prizes" baada ya kuanza mashindano!! Na walijiandaa kuanza na klabu 24 japo zilpunguzwa kuwa nane!! Ona hapa:
A total of 24 clubs -- eight each from the north, west/centre and south/east regions chosen on merit -- would compete and get $2.5 mn each in advance to buy players and cover travel costs.
Usichanganye pesa ya prizes na ya preparation (to buy players and cover travel costs). Simba alishakula tayari $2.5M, na sasa atakula $1M. Utpolo wakilia wivu ninawaelewa kabisa!!
Akikupa nitag.Naomba chanzo cha CAF
Tatizo hapa Tanzania lugha ya kiingereza ni changamoto sana na wachambuzi hutumia mwanya huu kupenyeza habari ambazo hazipo na watu wengi wakaziamini sababu hawawezi kuzihakikisha kwenye vyanzo vinavyotumia lugha wasiyoijua.
Hizo pesa zimo ndani ya bajeti sio sandakalawe, kila matumizi ya mashindano yanarekodiwa kwenye matumizi ya caf na kuyatangaza
Naomba chanzo official cha caf sio wachambuzi ambao hata wao lugha zinawapiga chenga
Mkuu, kumbuka hao jamaa unao jadiliana nao ni mbumbumbu (kwa mujibu wa Rage) hivyo ni kupoteza muda wako tu kujadiliana nao, hao tayari wamesha jazwa upepo na wachambua mchicha wao hivyo hawawezi kufikili nje ya box.Michuano yote ya caf pesa zinalipwa mpaka mashindano yaishe.
Ikitokea timu haina pesa za kujiandaa basi ni mpaka labda ibembeleze ipewe hela za usafiri na chakula na malazi lakini hio pesa itakatwa kwenye pesa kamili itayopewa mashindano yakiisha.
Wabongo wengi lugha ni changamoto kufuatilia vyanzo official vya CAF na inakuwa rahisi wachambuzi kuaminisha uongo, nakumbuka ni hawa hawa wachambuzi walidanganya kwamba timu zinachukua pesa za kufuzu hatua ya makundi, robo fainali, nusu fainali, fainali, ubingwa wakati utaratibu haupo hivyo.
Na hio ya kila timu kupewa pesa za maandalizi tofauti na zilizopangwa kwenye bajeti ni stori za wachambuzi zisizo na ushahidi ama zilikuwa ni tetesi, kama sio weka ushahidi wa caf
Mbumbumbu bhnSimba MBAKA SASA ana BILIONI 8 za super cup.
Na bingwa wa hayo mashindano analamba ngapi?Mwamedi aache uSHENZI WA KUTETEA konde na Ayoub
😂😂 Sema watu mnapenda sana taarifa za uongoSimba MBAKA SASA ana BILIONI 8 za super cup.