Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Nikiacha tamko la IGP kuwa tuwapuuze wale wanaopinga kuchanjwa Covid ambao Mh. Waziri wa Afya amewaita Vibwetere, Azim Dewji akiwashambulia kuwa wanaingilia fani zao na kwenda Mbali zaidi kwa UVCCM na baadhi ya wabunge kuwashambulia kwa maneno mbalimbali.
Sitaki kuwauliz hawa wote kuwa miaka ya Nyuma wakati Chanjo imepatikana upi ulikuwa msimamo na walisema kitu gani kuwaambia waliotaka Chanjo ije mapema. Tuyaache hayo maana ni vituko tu. Tumesikia kwenye vyombo habari vya kimataifa kuwa kuna mataifa ikiwemo Uingereza ambako watu walichanjwa na baadhi damu ziliganda na kuleta shida. Je hii inafaa kuwahakikishia watanzania kwa nguvu zote kuwa chanjo ni salama 100%. Kwa nini isitolewe na Side effects zake tukajua the risk.
Swali langu kwa wanabodi Je ni vipi kila mwenye Mamlaka anatuambia Dawa hii ni sahihi ama dawa ile si sahii, mathalan chanjo hii ni sahii ama ile si sahihi. Nimetoka kumsikia IGP akituambia kuwa chanjo hiyo ni salama na inafaa kwa sisi kuchanjwa. Je kisheria imekaaje?.
Je ni kwamba anasapoti msimamo wa Nani na amethibitishaje maneno ya kina Vibwetere kuwa ni ya Uwongo?.. kama ni wa Serikali ni serikali ya awamu ipi?
Sitaki kuwauliz hawa wote kuwa miaka ya Nyuma wakati Chanjo imepatikana upi ulikuwa msimamo na walisema kitu gani kuwaambia waliotaka Chanjo ije mapema. Tuyaache hayo maana ni vituko tu. Tumesikia kwenye vyombo habari vya kimataifa kuwa kuna mataifa ikiwemo Uingereza ambako watu walichanjwa na baadhi damu ziliganda na kuleta shida. Je hii inafaa kuwahakikishia watanzania kwa nguvu zote kuwa chanjo ni salama 100%. Kwa nini isitolewe na Side effects zake tukajua the risk.
Swali langu kwa wanabodi Je ni vipi kila mwenye Mamlaka anatuambia Dawa hii ni sahihi ama dawa ile si sahii, mathalan chanjo hii ni sahii ama ile si sahihi. Nimetoka kumsikia IGP akituambia kuwa chanjo hiyo ni salama na inafaa kwa sisi kuchanjwa. Je kisheria imekaaje?.
Je ni kwamba anasapoti msimamo wa Nani na amethibitishaje maneno ya kina Vibwetere kuwa ni ya Uwongo?.. kama ni wa Serikali ni serikali ya awamu ipi?