Mgawanyo wa Mamlaka: Ni sahihi IGP kuthibitisha usalama wa Chanjo, Tiba au dawa fulani?

Mgawanyo wa Mamlaka: Ni sahihi IGP kuthibitisha usalama wa Chanjo, Tiba au dawa fulani?

Imekuwaje jamani wanaipigia debe hivi hii chanjo kana kwamba colona imeanza leo
 
Tanzania ni Taifa lenye watu wajinga zaidi Duniani. Ni Tanzania pekee ndipo unaweza kukuta mabango mitaani ya watu wakiuza dawa za Utajiri lkn ni mojawapo ya Mataifa Masikini sana Duniani.
 
unapokuwa unadanganya umma wa watanzania na Mungu akiwa upande wao ndio kutapatapa huku unakokuona wengine mpaka wamediriki kusema wana watoto na wajukuu wanaowapenda sana 😀
 
Hiyo chanjo inayoendelea sasa ni msimamo wa ccm ili tuweke msimamo wa wapinzani?
Kwasababu huwa mnapinga kila jambo,tulitaka kusikia neno kutoka kwenu wapinzani.
 
Kwasababu huwa mnapinga kila jambo,tulitaka kusikia neno kutoka kwenu wapinzani.

Hatupingi kila jambo, bali sisi sio wafuata mipango ya wajinga kama nyie. Wakati dhalimu yuko hai kabla ya kwenda motoni, tulisema corona ipo, na chanjo ni muhimu. Lakini dhalimu akawashikia akili kwa kuwadanganya eti kaitisha maombi na ugonjwa umeisha, hivyo hakuna haja ya chanjo, kumbe alikuwa anauficha data. Leo kaja mama wa kambo kasema ugonjwa upo na chanjo ni muhimu, wote mmgeuka kama mazuzu mnasema ugonjwa upo, na watu wachanjwe! Katika mazingira hayo nyie wajinga kuendelea kuongoza nchi kwa shuruti, kwanini msione mnapingwa kwenye kila kitu?
 
bali sisi sio wafuata mipango ya wajinga kama nyie.
punguza sukari kwanza kunywa maji.
Wakati dhalimu yuko hai kabla ya kwenda motoni, tulisema corona ipo
corona haijawahi kuandikwa popote kama haipo,ishu ilikuwa kutamka tu ipo ama haipo.
, na chanjo ni muhimu.
Hakuna aliyewahi kusema chanjo si muhimu,tatizo unakurupuka mkuu.
Lakini dhalimu akawashikia akili kwa kuwadanganya eti kaitisha maombi na ugonjwa umeisha,
magufuli ni muumini wa Mungu,labda nyinyi chadema ni kundi la nyani,hamjui hata asili yenu.
hivyo hakuna haja ya chanjo, kumbe alikuwa anauficha data. Leo kaja mama wa kambo kasema ugonjwa upo na chanjo ni muhimu, wote mmgeuka kama mazuzu mnasema ugonjwa upo
narudia tena,kama shida ilikuwa bando enzi hizo unaweza tafuta clip za mgufuli akikiri wazi,corona ni mafua ya kawaida tuyazoee.nyie mapimbi ndio mlikuwa mnataka kuukuza mpaka tufungiwe ndani.
, na watu wachanjwe! Katika mazingira hayo nyie wajinga kuendelea kuongoza nchi kwa shuruti, kwanini msione mnapingwa kwenye kila kitu?
Nadhani la msingi kwenu kwa sasa ni kumpigania mwenyekiti.au vipi??
 
punguza sukari kwanza kunywa maji.

corona haijawahi kuandikwa popote kama haipo,ishu ilikuwa kutamka tu ipo ama haipo.

Hakuna aliyewahi kusema chanjo si muhimu,tatizo unakurupuka mkuu.

magufuli ni muumini wa Mungu,labda nyinyi chadema ni kundi la nyani,hamjui hata asili yenu.

narudia tena,kama shida ilikuwa bando enzi hizo unaweza tafuta clip za mgufuli akikiri wazi,corona ni mafua ya kawaida tuyazoee.nyie mapimbi ndio mlikuwa mnataka kuukuza mpaka tufungiwe ndani.

Nadhani la msingi kwenu kwa sasa ni kumpigania mwenyekiti.au vipi??
Hadi tunapoongea dhalimu yuko motoni, misikule yake baada ya kuondoka mmgeuka vituko kwa kuongea mambo ya ajabu. Halafu lile likibanda lake la ushirikina hapo Muhimbili, ww ndio ulitumwa ukaliondoe baada ya akili kuwarudia alipofariki yule dhalimu?
 
Hadi tunapoongea dhalimu yuko motoni,
hizi tunaita hallucination, unaota wewe maana tz nzima inajua kwamba nyinyi matapeli ni madalali wa utu wa mtz na maendeleo ya mama tz.
misikule yake baada ya kuondoka mmgeuka vituko kwa kuongea mambo ya ajabu.
sisi mataga tunasema "mama anaupiga mwingi"
Au tunasema uongo??
Halafu lile likibanda lake la ushirikina hapo Muhimbili, ww ndio ulitumwa ukaliondoe baada ya akili kuwarudia alipofariki yule dhalimu?
Alilitumia kumroga nani!!!ile ni tiba ya asili ambayo inakubalika kabisa na wana sayansi,laa misukule kama wewe ndio hamjui chochote.
 
Nikiacha tamko la IGP kuwa tuwapuuze wale wanaopinga kuchanjwa Covid ambao Mh. Waziri wa Afya amewaita Vibwetere, Azim Dewji akiwashambulia kuwa wanaingilia fani zao na kwenda Mbali zaidi kwa UVCCM na baadhi ya wabunge kuwashambulia kwa maneno mbalimbali.

Sitaki kuwauliz hawa wote kuwa miaka ya Nyuma wakati Chanjo imepatikana upi ulikuwa msimamo na walisema kitu gani kuwaambia waliotaka Chanjo ije mapema. Tuyaache hayo maana ni vituko tu. Tumesikia kwenye vyombo habari vya kimataifa kuwa kuna mataifa ikiwemo Uingereza ambako watu walichanjwa na baadhi damu ziliganda na kuleta shida. Je hii inafaa kuwahakikishia watanzania kwa nguvu zote kuwa chanjo ni salama 100%. Kwa nini isitolewe na Side effects zake tukajua the risk.

Swali langu kwa wanabodi Je ni vipi kila mwenye Mamlaka anatuambia Dawa hii ni sahihi ama dawa ile si sahii, mathalan chanjo hii ni sahii ama ile si sahihi. Nimetoka kumsikia IGP akituambia kuwa chanjo hiyo ni salama na inafaa kwa sisi kuchanjwa. Je kisheria imekaaje?.

Je ni kwamba anasapoti msimamo wa Nani na amethibitishaje maneno ya kina Vibwetere kuwa ni ya Uwongo?.. kama ni wa Serikali ni serikali ya awamu ipi?
Si jukumu lake hata.....

#KaziIendelee
#JMTMilele
#NchiKwanza
 
hizi tunaita hallucination, unaota wewe maana tz nzima inajua kwamba nyinyi matapeli ni madalali wa utu wa mtz na maendeleo ya mama tz.

sisi mataga tunasema "mama anaupiga mwingi"
Au tunasema uongo??

Alilitumia kumroga nani!!!ile ni tiba ya asili ambayo inakubalika kabisa na wana sayansi,laa misukule kama wewe ndio hamjui chochote.

Ni kweli watanzania mliowajaza ujinga wanajua sisi ni matapeli. Ila tunaojitambua tunawadharau ile mbaya. Tazama walichokuwa wanaongea hao viongozi wakati wa Magufuli kuhusu covid, na utoto wanaoongea hivi sasa kwenye chanjo?

Kama kile kibanda ni baadhi ya vitu vinavyokubalika na wanasayansi, ni kipi kimefanya kiondolewe sasa baada ya dhalimu kuelekea ahera madukani?
 
Ni kweli watanzania mliowajaza ujinga wanajua sisi ni matapeli. Ila tunaojitambua tunawadharau ile mbaya.
dharau kwao haiwapunguzii chochote zaidi inakushughulisha mwenyewe.
Tazama walichokuwa wanaongea hao viongozi wakati wa Magufuli kuhusu covid, na utoto wanaoongea hivi sasa kwenye chanjo?
Kama ishu ni misimamo wa magufuli toka mwanzo,wapo ambao bado wameshikilia pale pale,gwajima,kabudi,pole pole,nk
Ndio maana nikauliza msimamo wenu kama ufipa ni upi!!!au mmebaki hewani??
Kama kile kibanda ni baadhi ya vitu vinavyokubalika na wanasayansi, ni kipi kimefanya kiondolewe sasa baada ya dhalimu kuelekea ahera madukani?
Tuliza akili wakati huu,si wakati mwingine wowote.
 
Nikiacha tamko la IGP kuwa tuwapuuze wale wanaopinga kuchanjwa Covid ambao Mh. Waziri wa Afya amewaita Vibwetere, Azim Dewji akiwashambulia kuwa wanaingilia fani zao na kwenda Mbali zaidi kwa UVCCM na baadhi ya wabunge kuwashambulia kwa maneno mbalimbali.

Sitaki kuwauliz hawa wote kuwa miaka ya Nyuma wakati Chanjo imepatikana upi ulikuwa msimamo na walisema kitu gani kuwaambia waliotaka Chanjo ije mapema. Tuyaache hayo maana ni vituko tu. Tumesikia kwenye vyombo habari vya kimataifa kuwa kuna mataifa ikiwemo Uingereza ambako watu walichanjwa na baadhi damu ziliganda na kuleta shida. Je hii inafaa kuwahakikishia watanzania kwa nguvu zote kuwa chanjo ni salama 100%. Kwa nini isitolewe na Side effects zake tukajua the risk.

Swali langu kwa wanabodi Je ni vipi kila mwenye Mamlaka anatuambia Dawa hii ni sahihi ama dawa ile si sahii, mathalan chanjo hii ni sahii ama ile si sahihi. Nimetoka kumsikia IGP akituambia kuwa chanjo hiyo ni salama na inafaa kwa sisi kuchanjwa. Je kisheria imekaaje?.

Je ni kwamba anasapoti msimamo wa Nani na amethibitishaje maneno ya kina Vibwetere kuwa ni ya Uwongo?.. kama ni wa Serikali ni serikali ya awamu ipi?
IGP huwa na mawenge sana na Yale mimacho yake.
 
Back
Top Bottom