Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanjo ni swala nyeti haliemdi kisiasa Kama ubongo wako unavyokutumaMayinyi wapinzani msimamo wenu ni upi!!!!
Mnachanjwa nao au hamchanjwi!!!
Umechemka kijanaAnahakikisha ulinzi na usalama.
usalama ni wa kila kitu
Mayinyi wapinzani msimamo wenu ni upi!!!!
Mnachanjwa nao au hamchanjwi!!!
Matunda ya alichopanda Merehemu Dikteta
Unatia aibu.Anahakikisha ulinzi na usalama.
usalama ni wa kila kitu
Labda kama unamaanisha swala nyeto,ila nyeti ndio maana wameanza viongozi.na wanalisemea pia.Chanjo ni swala nyeti haliemdi kisiasa Kama ubongo wako unavyokutuma
Kwasababu huwa mnapinga kila jambo,tulitaka kusikia neno kutoka kwenu wapinzani.Hiyo chanjo inayoendelea sasa ni msimamo wa ccm ili tuweke msimamo wa wapinzani?
Kwasababu huwa mnapinga kila jambo,tulitaka kusikia neno kutoka kwenu wapinzani.
punguza sukari kwanza kunywa maji.bali sisi sio wafuata mipango ya wajinga kama nyie.
corona haijawahi kuandikwa popote kama haipo,ishu ilikuwa kutamka tu ipo ama haipo.Wakati dhalimu yuko hai kabla ya kwenda motoni, tulisema corona ipo
Hakuna aliyewahi kusema chanjo si muhimu,tatizo unakurupuka mkuu., na chanjo ni muhimu.
magufuli ni muumini wa Mungu,labda nyinyi chadema ni kundi la nyani,hamjui hata asili yenu.Lakini dhalimu akawashikia akili kwa kuwadanganya eti kaitisha maombi na ugonjwa umeisha,
narudia tena,kama shida ilikuwa bando enzi hizo unaweza tafuta clip za mgufuli akikiri wazi,corona ni mafua ya kawaida tuyazoee.nyie mapimbi ndio mlikuwa mnataka kuukuza mpaka tufungiwe ndani.hivyo hakuna haja ya chanjo, kumbe alikuwa anauficha data. Leo kaja mama wa kambo kasema ugonjwa upo na chanjo ni muhimu, wote mmgeuka kama mazuzu mnasema ugonjwa upo
Nadhani la msingi kwenu kwa sasa ni kumpigania mwenyekiti.au vipi??, na watu wachanjwe! Katika mazingira hayo nyie wajinga kuendelea kuongoza nchi kwa shuruti, kwanini msione mnapingwa kwenye kila kitu?
Hadi tunapoongea dhalimu yuko motoni, misikule yake baada ya kuondoka mmgeuka vituko kwa kuongea mambo ya ajabu. Halafu lile likibanda lake la ushirikina hapo Muhimbili, ww ndio ulitumwa ukaliondoe baada ya akili kuwarudia alipofariki yule dhalimu?punguza sukari kwanza kunywa maji.
corona haijawahi kuandikwa popote kama haipo,ishu ilikuwa kutamka tu ipo ama haipo.
Hakuna aliyewahi kusema chanjo si muhimu,tatizo unakurupuka mkuu.
magufuli ni muumini wa Mungu,labda nyinyi chadema ni kundi la nyani,hamjui hata asili yenu.
narudia tena,kama shida ilikuwa bando enzi hizo unaweza tafuta clip za mgufuli akikiri wazi,corona ni mafua ya kawaida tuyazoee.nyie mapimbi ndio mlikuwa mnataka kuukuza mpaka tufungiwe ndani.
Nadhani la msingi kwenu kwa sasa ni kumpigania mwenyekiti.au vipi??
hizi tunaita hallucination, unaota wewe maana tz nzima inajua kwamba nyinyi matapeli ni madalali wa utu wa mtz na maendeleo ya mama tz.Hadi tunapoongea dhalimu yuko motoni,
sisi mataga tunasema "mama anaupiga mwingi"misikule yake baada ya kuondoka mmgeuka vituko kwa kuongea mambo ya ajabu.
Alilitumia kumroga nani!!!ile ni tiba ya asili ambayo inakubalika kabisa na wana sayansi,laa misukule kama wewe ndio hamjui chochote.Halafu lile likibanda lake la ushirikina hapo Muhimbili, ww ndio ulitumwa ukaliondoe baada ya akili kuwarudia alipofariki yule dhalimu?
Si jukumu lake hata.....Nikiacha tamko la IGP kuwa tuwapuuze wale wanaopinga kuchanjwa Covid ambao Mh. Waziri wa Afya amewaita Vibwetere, Azim Dewji akiwashambulia kuwa wanaingilia fani zao na kwenda Mbali zaidi kwa UVCCM na baadhi ya wabunge kuwashambulia kwa maneno mbalimbali.
Sitaki kuwauliz hawa wote kuwa miaka ya Nyuma wakati Chanjo imepatikana upi ulikuwa msimamo na walisema kitu gani kuwaambia waliotaka Chanjo ije mapema. Tuyaache hayo maana ni vituko tu. Tumesikia kwenye vyombo habari vya kimataifa kuwa kuna mataifa ikiwemo Uingereza ambako watu walichanjwa na baadhi damu ziliganda na kuleta shida. Je hii inafaa kuwahakikishia watanzania kwa nguvu zote kuwa chanjo ni salama 100%. Kwa nini isitolewe na Side effects zake tukajua the risk.
Swali langu kwa wanabodi Je ni vipi kila mwenye Mamlaka anatuambia Dawa hii ni sahihi ama dawa ile si sahii, mathalan chanjo hii ni sahii ama ile si sahihi. Nimetoka kumsikia IGP akituambia kuwa chanjo hiyo ni salama na inafaa kwa sisi kuchanjwa. Je kisheria imekaaje?.
Je ni kwamba anasapoti msimamo wa Nani na amethibitishaje maneno ya kina Vibwetere kuwa ni ya Uwongo?.. kama ni wa Serikali ni serikali ya awamu ipi?
hizi tunaita hallucination, unaota wewe maana tz nzima inajua kwamba nyinyi matapeli ni madalali wa utu wa mtz na maendeleo ya mama tz.
sisi mataga tunasema "mama anaupiga mwingi"
Au tunasema uongo??
Alilitumia kumroga nani!!!ile ni tiba ya asili ambayo inakubalika kabisa na wana sayansi,laa misukule kama wewe ndio hamjui chochote.
dharau kwao haiwapunguzii chochote zaidi inakushughulisha mwenyewe.Ni kweli watanzania mliowajaza ujinga wanajua sisi ni matapeli. Ila tunaojitambua tunawadharau ile mbaya.
Kama ishu ni misimamo wa magufuli toka mwanzo,wapo ambao bado wameshikilia pale pale,gwajima,kabudi,pole pole,nkTazama walichokuwa wanaongea hao viongozi wakati wa Magufuli kuhusu covid, na utoto wanaoongea hivi sasa kwenye chanjo?
Tuliza akili wakati huu,si wakati mwingine wowote.Kama kile kibanda ni baadhi ya vitu vinavyokubalika na wanasayansi, ni kipi kimefanya kiondolewe sasa baada ya dhalimu kuelekea ahera madukani?
ina maanisha watumishi wa umma hawajui JD zao, leo Naibu waziri wa Tamisemi na yeye kamgeukia GwajiBoy.Sirro hajielewi Hilo ni jukumu la Mkemia mkuu
IGP huwa na mawenge sana na Yale mimacho yake.Nikiacha tamko la IGP kuwa tuwapuuze wale wanaopinga kuchanjwa Covid ambao Mh. Waziri wa Afya amewaita Vibwetere, Azim Dewji akiwashambulia kuwa wanaingilia fani zao na kwenda Mbali zaidi kwa UVCCM na baadhi ya wabunge kuwashambulia kwa maneno mbalimbali.
Sitaki kuwauliz hawa wote kuwa miaka ya Nyuma wakati Chanjo imepatikana upi ulikuwa msimamo na walisema kitu gani kuwaambia waliotaka Chanjo ije mapema. Tuyaache hayo maana ni vituko tu. Tumesikia kwenye vyombo habari vya kimataifa kuwa kuna mataifa ikiwemo Uingereza ambako watu walichanjwa na baadhi damu ziliganda na kuleta shida. Je hii inafaa kuwahakikishia watanzania kwa nguvu zote kuwa chanjo ni salama 100%. Kwa nini isitolewe na Side effects zake tukajua the risk.
Swali langu kwa wanabodi Je ni vipi kila mwenye Mamlaka anatuambia Dawa hii ni sahihi ama dawa ile si sahii, mathalan chanjo hii ni sahii ama ile si sahihi. Nimetoka kumsikia IGP akituambia kuwa chanjo hiyo ni salama na inafaa kwa sisi kuchanjwa. Je kisheria imekaaje?.
Je ni kwamba anasapoti msimamo wa Nani na amethibitishaje maneno ya kina Vibwetere kuwa ni ya Uwongo?.. kama ni wa Serikali ni serikali ya awamu ipi?