Tetesi: Mgeja na wenzake watano kurudi CCM

Tetesi: Mgeja na wenzake watano kurudi CCM

Nimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm
Hali hii imekuja mara baada ya mkwere kutangaza atawashughulikia wote waliosaliti ccm wakati wa uchaguzi
Aidha siku ya ijumaa iliyopita baba riz akiwa ofisini lumumba alimpokea mgeni ambaye kiumri ni mtu mzima kuliko baba riz,mgeni huyo mstaafu wa jeshi mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa ambaye pia ni kada kuntu wa ccm,alimweleza baba riz kuwa ana majina matano ya waliosaliti ccm lakin sasa wanataka kurudi ccm wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm kitakapo kaa mwezi june

Hali iliyomfanta baba riz kutahamaki na kuanza kuuliza."hawa wakati sisi tunatafuta serikali wao walitusaliti,sasa hivi wanataka nini?"lakin hatimaye alikubali kuyapokea majina hayo

Wanamabadiliko nitaendelea kuwajuza kadri muda unavyoruhusu juu ya vigeugeu hawa

My take:chadema tuwe makini na wanafki kama hawa


falcon mombasa
Nimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm
Hali hii imekuja mara baada ya mkwere kutangaza atawashughulikia wote waliosaliti ccm wakati wa uchaguzi
Aidha siku ya ijumaa iliyopita baba riz akiwa ofisini lumumba alimpokea mgeni ambaye kiumri ni mtu mzima kuliko baba riz,mgeni huyo mstaafu wa jeshi mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa ambaye pia ni kada kuntu wa ccm,alimweleza baba riz kuwa ana majina matano ya waliosaliti ccm lakin sasa wanataka kurudi ccm wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm kitakapo kaa mwezi june

Hali iliyomfanta baba riz kutahamaki na kuanza kuuliza."hawa wakati sisi tunatafuta serikali wao walitusaliti,sasa hivi wanataka nini?"lakin hatimaye alikubali kuyapokea majina hayo

Wanamabadiliko nitaendelea kuwajuza kadri muda unavyoruhusu juu ya vigeugeu hawa

My take:chadema tuwe makini na wanafki kama hawa


falcon mombasa
Mm kuna nini mbona magamba yanaanza kurudi au ni mkakati wa Gamba kuu kuanza kuleta chokochoko tena hawa wakirudi wabaki waitikiaji wa kibwagizo cha CCM ni ileile na CCM ina wenyewe na wasipewe hata ujumbe wa nyumba 5 kama sio nyumba 10
 
Namtahadharisha m/kiti Kikwete! Watu wanaotaka kurudi usiwakubali kamwe, walikudhalilisha sana wakati wa kampeni na zaidi kuwakataa itakua fundisho kwa wengine chaguzi zijazo. Tunataka kusafisha nyumba yetu hatuwezi kurudisha uchafu ndani. Utawashangazi sana wakereketwa wa ccm ukiwakubali akina Mgeja na Mwapachu na wasaliti wote.
 
Namtahadharisha m/kiti Kikwete! Watu wanaotaka kurudi usiwakubali kamwe, walikudhalilisha sana wakati wa kampeni na zaidi kuwakataa itakua fundisho kwa wengine chaguzi zijazo. Tunataka kusafisha nyumba yetu hatuwezi kurudisha uchafu ndani. Utawashangazi sana wakereketwa wa ccm ukiwakubali akina Mgeja na Mwapachu na wasaliti wote.
Kikwete keshawapokea,
 
Back
Top Bottom