falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
- Thread starter
- #101
HaitatokeaHuwa nafikiria tu zile panchi atakazopewa Mamvi akiamua kurudi CCM nadhani ile list of shame itarudiwa kusomwa tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaitatokeaHuwa nafikiria tu zile panchi atakazopewa Mamvi akiamua kurudi CCM nadhani ile list of shame itarudiwa kusomwa tena
hata wakirudi CCM hatuwapi vyeo hata kimojaNimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm
Hali hii imekuja mara baada ya mkwere kutangaza atawashughulikia wote waliosaliti ccm wakati wa uchaguzi
Aidha siku ya ijumaa iliyopita baba riz akiwa ofisini lumumba alimpokea mgeni ambaye kiumri ni mtu mzima kuliko baba riz,mgeni huyo mstaafu wa jeshi mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa ambaye pia ni kada kuntu wa ccm,alimweleza baba riz kuwa ana majina matano ya waliosaliti ccm lakin sasa wanataka kurudi ccm wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm kitakapo kaa mwezi june
Hali iliyomfanta baba riz kutahamaki na kuanza kuuliza."hawa wakati sisi tunatafuta serikali wao walitusaliti,sasa hivi wanataka nini?"lakin hatimaye alikubali kuyapokea majina hayo
Wanamabadiliko nitaendelea kuwajuza kadri muda unavyoruhusu juu ya vigeugeu hawa
My take:chadema tuwe makini na wanafki kama hawa
falcon mombasa
Hebu nisaidie kuwauliza watu wako kama misukule he he haya matumbo ya wanawake yanazaa vituko basi tuu. Mtu mishipa inamtoka kusema kitu sio kabisa= msaliti
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Sio unafiki tuu kaka, hivi Wayne Ronney wa ManU akihamia Barca akitegemea kupata umaarufu zaidi lakini kule akala benchi la uhakika na hakuna anayejali uwepo wake unadhani ataamua kufanya nini zaidi ya kurudi kwenye timu yake aliyokuwa anapata attention?Siasa za kinafiki na wachumia tumbo
Naona atakuwa ametuma mshenga!Sijui mpendazoe atakosa humo kama ni kweli?
Wenye akili ndio walio mpachika mkeo hiyo mimba aliyo nayo,masikini wewe na uzuzu wako unahangaikia kutafuta nepi wakati wenzako wapo wana kuchoraSasa Mtu alieweza kumrubuni Mtendaji Mkuu wa Chama chako mpaka akarubunika anakuaje hana akili? Mie nikifanikiwa kumrubuni Mkeo mpaka nikafanikiwa kumbebesha Propela shafti mkiani utasema sina akili?
Mkuu falcon mombasa hata wakirudi wote maana hiyo itakuwa ni nguvu ya mungu anaisaidia cdm kuwaondoa hao wasaliti,cdm itabakia salama
Why isotokeeHaitatokea
Wenye akili ndio walio mpachika mkeo hiyo mimba aliyo nayo,masikini wewe na uzuzu wako unahangaikia kutafuta nepi wakati wenzako wapo wana kuchora
Adabu anayo babako na mamako waliokuzalia kichakaniMke Mwenzio nimembebesha Mimba ya Mwisho kabla Mama yako hajazibuliwa Bikra. Uwe na adabu!
Adabu anayo babako na mamako waliokuzalia kichakani
Wewe si walikimbilia kukuzalia hospitali kwa Operation kwa kuwa Pressure ya kukusukuma hakuwa nayo kutokana na uharibifu aliofanyiwa.
Nivilaza tu watabakiHivi kwa hii kasi ya.magufuli inawezekanaje CDM kubaki salama?
Sio kina mgeja tu,jiandaeni kwa makubwa zaidi!