Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa real mpinzani is not a joke!confidence level ya wanasiasa wa bongo nje ya CCM ni ndogo kuliko punje ya haradali.
Ndio maana ccm mnatoka vitambiAsisahau kumwambia yule wa jikoni alete nyama choma safi kachumbari kwa wingi
Hapana mkuu mwenda kwao si mtorohehe! mimi nasema wasipokelewe wabaki hukohuko
Nafikiri tatizo tuna wanasiasa masilahi na wasaka vyeo.confidence level ya wanasiasa wa bongo nje ya CCM ni ndogo kuliko punje ya haradali.
Hawana impact yoyotehaa haa nitashangaa sana kama ccm itawapokea hao wachumia tumbo....
Mbona safari hii hadi uyo rais Wa mioyo yenu atarudi tu.Magamba mnajifariji kwa taarifa yako hao kina mgeja na wenzake hawakuongeza kitu .
MWISHO WA PICHA, mzee wa arosto atabaki mwenyew kama lishetani flani amazing.. Hahaha... Just kidding.Nimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm
Hali hii imekuja mara baada ya mkwere kutangaza atawashughulikia wote waliosaliti ccm wakati wa uchaguzi
Aidha siku ya ijumaa iliyopita baba riz akiwa ofisini lumumba alimpokea mgeni ambaye kiumri ni mtu mzima kuliko baba riz,mgeni huyo mstaafu wa jeshi mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa ambaye pia ni kada kuntu wa ccm,alimweleza baba riz kuwa ana majina matano ya waliosaliti ccm lakin sasa wanataka kurudi ccm wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm kitakapo kaa mwezi june
Hali iliyomfanta baba riz kutahamaki na kuanza kuuliza."hawa wakati sisi tunatafuta serikali wao walitusaliti,sasa hivi wanataka nini?"lakin hatimaye alikubali kuyapokea majina hayo
Wanamabadiliko nitaendelea kuwajuza kadri muda unavyoruhusu juu ya vigeugeu hawa
My take:chadema tuwe makini na wanafki kama hawa
falcon mombasa
Hakuna makubwa zaidi kama ile mlivyo mrubuni slaa akabwaga manyanga katikati ya uchaguzi mkuu mwaka jana,maccm hamna akili
Kwani lowasa sio mwanaccm Yule hata yeye mbona atarudi subirini tu.Hii taarifa sio kweli kwa kila kitu. Mgeja ni LOWASSA damu, hawezi kuachana naye HATA SIKU MOJA. Kuna waliojiunga CHADEMA bila kujua kuwa Lowassa naye angekwenda huko. Hao ni kama Lembeni. Ukiniambia yeye ataomba msamaha arudi CCM naweza kuamini kwa sababu sidhani kama Mzee Lowassa angefurahi kama Lembeni angepata Ubunge. Sio Mgeja bwana, huyu hatenganishwi na Lowassa.
Hahahaaa karibu sanaWasalimie submarine hotel M2mwembamba