Tetesi: Mgeja na wenzake watano kurudi CCM

Tetesi: Mgeja na wenzake watano kurudi CCM

Lowasa ni liability au ni asset? Swali Dr Slaa linakaribia kupata majibu. Unafiq!unafiq! Tanzania tunaongoza. CDM mkamwombe msamaha Slaa,vinginevyo laana ya huyo mtu mzima itawamaliza
Wataelewa tu
 
Mi sijaona jipya zaidi ya watoto wa Lumumba na Bk7 zao kujitekenya na kujichekesha wenyewe kwani mwenye kusema ukweli ni Ngoda na Funza tu hao wengine ni sawa na mashua, bila upepo kuvuma haiendi. Sio Slaa wala Mwengine yeyote, mwenye-kuitesa CDM ni Mungu pekee kupitia wapenda haki tu si vinginevyo. Wee Falcon Mombasa umezidi kujitia dole huku ukijifanya unajisafisha kumbe unajichafua huna na hamna lolote watoto wa Lumumba. [emoji14][emoji14][emoji14] ......😀
Mmesha zoeleka
Jahazi linayumba hilo
 
Hivi kwa hii kasi ya.magufuli inawezekanaje CDM kubaki salama?
Sio kina mgeja tu,jiandaeni kwa makubwa zaidi!
Wengi tu watarudi ni muda tu wakusubiri, siku zote wahenga husema "Ng'ombe akivunjika mguu hurudi zizini kwake" haitafika 2020 hata Mamvi nae atawakimbia.
 
Sio unafiki tuu kaka, hivi Wayne Ronney wa ManU akihamia Barca akitegemea kupata umaarufu zaidi lakini kule akala benchi la uhakika na hakuna anayejali uwepo wake unadhani ataamua kufanya nini zaidi ya kurudi kwenye timu yake aliyokuwa anapata attention?
Hawa jamaa umeona juzi hata kualikwa tuu kuwa wasikilizaji kwenye kikao cha Baraza kuu unadhani wameathirika kwa kiwango gani kisaikolojia? Wameumia sana maana walidhani ukijiunga Chadema ukitokea CCM utakuwa lulu wakati majembe ya nguvu tupo na tunacheza nje ya uwanja?
Kwa hiyo Ronney akija Barca na kurudi ManU kwa kukimbia benchi utasema Barca imeathirika? Wakwende huko!
kwa huo mfano wako, kwahyo unataka kutuambia kuwa lowasa amehama kutoka real madrid na kuja majimaji fc (wanalizombe) na kuja kuwa nahodha wao? maana wakati yuko CCM alikua hana namba, akahamia CDM akapewa na ugombea wa urais kabsa.
 
kwa huo mfano wako, kwahyo unataka kutuambia kuwa lowasa amehama kutoka real madrid na kuja majimaji fc (wanalizombe) na kuja kuwa nahodha wao? maana wakati yuko CCM alikua hana namba, akahamia CDM akapewa na ugombea wa urais kabsa.
Alikuwa hana namba? Ni mchezaji gani alikuwa maarufu huko hata kura za maoni akasomba kama gharika? Sema Kocha tuu hakumpenda kwani umaarufu wa mchezaji huyo ulikuwa unamfunika Kocha dhaifu
 
UNAJUA MTU
Hivi kwa hii kasi ya.magufuli inawezekanaje CDM kubaki salama?
Sio kina mgeja tu,jiandaeni kwa makubwa zaidi![



UNAJUA MTU ANAYEONA KASI HII IKO SAWA SAWA MIMI NAMWONA NI BENDEREA FUATA UPEPO TU
MWL NYERERE MWAKA 1967 ALICHUKUA KILA KITU KUTOKA KWA MABEPARI LAKINI MWISHO ALIISHIA KU"NGATUKA
KWA KUOGOPA MZIGO WA MATATIZO YA WANANCHI HIVYO NASHAURI TUMPE TIME LABDA 2 YEARS
 
Du of all people kuna mtu alitegemea kiumbe km Mngeja atamudu kukaa ipinzani kweli? Na kuna myu yeyote kstika upinzani anayewezs kusikitika kwa kuondoka Mngeja? Mtu kula yake ilotokana na chama?
 
Du of all people kuna mtu alitegemea kiumbe km Mngeja atamudu kukaa ipinzani kweli? Na kuna myu yeyote kstika upinzani anayewezs kusikitika kwa kuondoka Mngeja? Mtu kula yake ilotokana na chama?
Njaaa jamani,mnataka wakale wapi?
 
Alikuwa hana namba? Ni mchezaji gani alikuwa maarufu huko hata kura za maoni akasomba kama gharika? Sema Kocha tuu hakumpenda kwani umaarufu wa mchezaji huyo ulikuwa unamfunika Kocha dhaifu
Hehehe eti mchezaji gani maarufu!!
Kapata la pua hana hamu
Yupo kama mdoli saivi
 
Lowasa ni liability au ni asset? Swali Dr Slaa linakaribia kupata majibu. Unafiq!unafiq! Tanzania tunaongoza. CDM mkamwombe msamaha Slaa,vinginevyo laana ya huyo mtu mzima itawamaliza
Chadema ni zaidi ya Slaa wewe umekunywa uji wa wapi .
 
Nimesikitishwa sana na unafki wa mgeja mbele ya wanamabadiliko,wiki iliyopita mgeja na baadhi makada wenzake wanne waliweka kikao cha siri kupitisha azimio kuomba msamaha warudi ccm
Hali hii imekuja mara baada ya mkwere kutangaza atawashughulikia wote waliosaliti ccm wakati wa uchaguzi
Aidha siku ya ijumaa iliyopita baba riz akiwa ofisini lumumba alimpokea mgeni ambaye kiumri ni mtu mzima kuliko baba riz,mgeni huyo mstaafu wa jeshi mwenye lafudhi ya kanda ya ziwa ambaye pia ni kada kuntu wa ccm,alimweleza baba riz kuwa ana majina matano ya waliosaliti ccm lakin sasa wanataka kurudi ccm wakati wa kikao cha kamati kuu ya ccm kitakapo kaa mwezi june

Hali iliyomfanta baba riz kutahamaki na kuanza kuuliza."hawa wakati sisi tunatafuta serikali wao walitusaliti,sasa hivi wanataka nini?"lakin hatimaye alikubali kuyapokea majina hayo

Wanamabadiliko nitaendelea kuwajuza kadri muda unavyoruhusu juu ya vigeugeu hawa

My take:chadema tuwe makini na wanafki kama hawa


falcon mombasa


Mh!! kuna kila dalili hao wakalipiziwa kwa kufinyiwa hukohuko kwenye kakaptura kadogo kanakoitangulia sarawili
 
Kumbe wengi ni wachumia tumbo mungu atawachoma kwa uroho wenu wa madaraka
 
Akili zitawarudia tu ...upinzani uliuzwa kirahisi tu vijana wakashangilia bila kuhoji ....tuliohoji tukaitwa wasaliti ....Watanzania tuache kufanyia ushabiki maisha yetu maana siasa ndio maisha yenyewe tujifunze kuhoji viongozi wetu ili wanapofanya maamuzi wajue tutahoji ....mliishia kumtukana kila tusi Dr Slaa mtu tuliyemuamini miaka yote kwasababu ya watu wa aina hii ....bado yatakuja mengi yatayobadili mawazo ya wengi ...

wenye uelewa huu hapa TZ ni wachache mno.

haikuwa sahihi kumtusi na kumchafua Dr. Slaa.

majizi waliomkimbia Magufuli CCM kwenda kujificha CHADEMA matokeo yake wamefifisha sana jitihada za kukuza upinzani wa kweli dhidi ya CCM.

...sijui nani ashukuruwe kwa kosa la kifundi lililofanywa na CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu 2015
 
Alikuwa hana namba? Ni mchezaji gani alikuwa maarufu huko hata kura za maoni akasomba kama gharika? Sema Kocha tuu hakumpenda kwani umaarufu wa mchezaji huyo ulikuwa unamfunika Kocha dhaifu
lowasa mcheza rafu.jpg
kumbe mtu kuwa fisadi ni umaarufu? any way. 'mzee' alikua MCHAFU sana kimaadili thats y mkwere akamchinjia baharini, naomba usiniulize uchafu upi alikua nao mzee koz mm sitakujibu zaiid ya kukwambia ukamwulize mh LEMA aliyewah kusema kuwa "NI HESHIMA NA UTUKUFU KWA MWENYEZI MUNGU WATU KUMZOMEA MTU MCHAFU KAMA LOWASA KUTOKANA NA UFISADI WAKE"
 
Back
Top Bottom