Mgeni rasmi kwenye soka ni wa kazi gani, Mbona Ulaya hawapo?

Mgeni rasmi kwenye soka ni wa kazi gani, Mbona Ulaya hawapo?

Ninaangalia game ya JKU ya Zanzibar VS Simba SC ya Tanganyika kwenye michuano ya Mapinduzi CUP kwenye Uwanja wa Amani huko Zanzibar.

Kwenye mechi hii kulikuwa na Aliyeitwa Mgeni rasmi, huyu ametajwa cheo chake kuwa ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mjini Magharibi.

Swali langu ni hili, hivi kazi yao hawa wanaoitwa Wageni rasmi ni ipi wana umuhimu gani kwenye soka. Kuna haja ya kuendelea na Wageni hawa. Mbona kwenye nchi za Ulaya mechi za soka hazina Wageni rasmi. Je, Wazungu ni Wajinga?
Kwanza sio lazima tuige kila kitu ulaya pili hata uko ulaya wageni rasmi wapo kwenye baadhi ya mechi angalia mechi zinazochezwa wembley wakina prince harry wanauza sana sura tatu mimi binafsi sipendezwi na utaratibu wa wageni rasmi ni bora wangekua wanasoka wastaafu waliofanya makubwa kuliko wanasiasa.
 
Ninaangalia game ya JKU ya Zanzibar VS Simba SC ya Tanganyika kwenye michuano ya Mapinduzi CUP kwenye Uwanja wa Amani huko Zanzibar.

Kwenye mechi hii kulikuwa na Aliyeitwa Mgeni rasmi, huyu ametajwa cheo chake kuwa ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mjini Magharibi.

Swali langu ni hili, hivi kazi yao hawa wanaoitwa Wageni rasmi ni ipi wana umuhimu gani kwenye soka. Kuna haja ya kuendelea na Wageni hawa. Mbona kwenye nchi za Ulaya mechi za soka hazina Wageni rasmi. Je, Wazungu ni Wajinga?
Yaliletwa na chama.
 
Mgeni rasmi ukiachana na mengine yeye ni shuhuda namba moja wa mtanange huo pia anasaidi kuifanya shughuli ionekane kuwa ni rasmi.
 
Ninaangalia game ya JKU ya Zanzibar VS Simba SC ya Tanganyika kwenye michuano ya Mapinduzi CUP kwenye Uwanja wa Amani huko Zanzibar.

Kwenye mechi hii kulikuwa na Aliyeitwa Mgeni rasmi, huyu ametajwa cheo chake kuwa ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mjini Magharibi.

Swali langu ni hili, hivi kazi yao hawa wanaoitwa Wageni rasmi ni ipi wana umuhimu gani kwenye soka. Kuna haja ya kuendelea na Wageni hawa. Mbona kwenye nchi za Ulaya mechi za soka hazina Wageni rasmi. Je, Wazungu ni Wajinga?
hizo ni mechi za kisiasa
 
Kuna mgeni rasmi aliponzwa akakutana na fedheha ya kichapo cha haja!

Wamatumbi wanasema "guest of honor Kibu Denga had a day to forget"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upuuzi uliopo kwenye soka la bongo ambao Ulaya sijawahi kuusikia:

1. Mgeni rasmi. Tena mwanasiasa ambaye ni kiongozi wa chama

2. Msemaji wa timu kuwa maarufu kuliko hata kocha, baadhi ya wachezaji, nk. Msimu ule Mbeya kwanza ikiwa ligi kuu (nadhani msimu mmoja ama miwili iliyopita) nilikuwa namfahamu msemaji/admin wa timu hiyo nikiwa simfahamu mtu mwingine yeyote pale! Yaani nilikuwa najua jina la timu na la msemaji/admin pekee! Jamaa alikuwa akiongea sana na mitandaoni hakauki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulaya wageni rasmi wapo sana tu. From club owners, Presidents wa organization kama UEFA, FIFA, FA presidents, wafalme nk.

Lazima kila kitu kuiga Ulaya? Ulaya ushoga ni legal, na hiki uruhusiwe sababu Ulaya wanafanya?
 
Upuuzi uliopo kwenye soka la bongo ambao Ulaya sijawahi kuusikia:

1. Mgeni rasmi. Tena mwanasiasa ambaye ni kiongozi wa chama

2. Msemaji wa timu kuwa maarufu kuliko hata kocha, baadhi ya wachezaji, nk. Msimu ule Mbeya kwanza ikiwa ligi kuu (nadhani msimu mmoja ama miwili iliyopita) nilikuwa namfahamu msemaji/admin wa timu hiyo nikiwa simfahamu mtu mwingine yeyote pale! Yaani nilikuwa najua jina la timu na la msemaji/admin pekee! Jamaa alikuwa akiongea sana na mitandaoni hakauki.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni lazima kuiga kila kitu cha Ulaya? Mkiambiwa muwe mashoga mtakubali sababu Ulaya wanafanya?
 
Wacha ulimbukeni.

Hivi unajuwa kuna Familia ya Ufalme Uingereza? Kwanini
Watanganyika tusiwe na Mfalme au Malikia wetu?

Au tuanzishe mavita tu! Hovyo!
 
Ninaangalia game ya JKU ya Zanzibar VS Simba SC ya Tanganyika kwenye michuano ya Mapinduzi CUP kwenye Uwanja wa Amani huko Zanzibar.

Kwenye mechi hii kulikuwa na Aliyeitwa Mgeni rasmi, huyu ametajwa cheo chake kuwa ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mjini Magharibi.

Swali langu ni hili, hivi kazi yao hawa wanaoitwa Wageni rasmi ni ipi wana umuhimu gani kwenye soka. Kuna haja ya kuendelea na Wageni hawa. Mbona kwenye nchi za Ulaya mechi za soka hazina Wageni rasmi. Je, Wazungu ni Wajinga?
"Politik mani. Politiiiiik corombare. Manie parasie" c. Mkuu Alpha Blondy aliimba

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Ulaya wageni rasmi wapo sana tu. From club owners, Presidents wa organization kama UEFA, FIFA, FA presidents, wafalme nk.

Lazima kila kitu kuiga Ulaya? Ulaya ushoga ni legal, na hiki uruhusiwe sababu Ulaya wanafanya?
Ndiyo ujue hawa CHADEMA wanachofikiria- kuleta na kuondoa kwenye jamii zetu Watanzania, Utamaduni.

Mwishowe hawa CHADEMA watakuwa wanaagiza mafuta ya kupaka na kujichubua tufanane ngozi na Wazungu!
 
Ninaangalia game ya JKU ya Zanzibar VS Simba SC ya Tanganyika kwenye michuano ya Mapinduzi CUP kwenye Uwanja wa Amani huko Zanzibar.

Kwenye mechi hii kulikuwa na Aliyeitwa Mgeni rasmi, huyu ametajwa cheo chake kuwa ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Mjini Magharibi.

Swali langu ni hili, hivi kazi yao hawa wanaoitwa Wageni rasmi ni ipi wana umuhimu gani kwenye soka. Kuna haja ya kuendelea na Wageni hawa. Mbona kwenye nchi za Ulaya mechi za soka hazina Wageni Rashmi. Je, Wazungu ni Wajinga?
Wazungu Pia wanayo maadhimisho mpaka ya vita Kwenye mpira mfano EPL , nafikiri tupo sawa Kulingana na utamaduni wetu
 
Ndiyo ujue hawa CHADEMA wanachofikiria- kuleta na kuondoa kwenye jamii zetu Watanzania, Utamaduni.

Mwishowe hawa CHADEMA watakuwa wanaagiza mafuta ya kupaka na kujichubua tufanane ngozi na Wazungu!
Kwi Kwi Kwi
 
Back
Top Bottom