Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Nimesafiri Huko chunya mkoani Mbeya kibiashara mara kadhaa kibiashara, kuna mgodi mmoja unakusanya dhahabu balaa lakini hauna impact yoyote kwenye hii nchi. Naomba kuuliza, sio kwa kuusemea ila kiukweli, hivi hawa watu kweli bado wanafanya pembuzi yakinifu au tunapata gawio kiasi gani kila mwaka, mbona sijawahi kusikia? nimejiuliza maswali mengi sana.
1. Mgodi wa Shantamine ni mkubwa na wa zamani sana, ni kweli kwamba hadi leo hawapati faida bado wanapata hasara ili kutupatia mrahaba?
2. Mgodi wa shantamine ni mgodi mkubwa sawa tu na hiyo ya Geita na Kahama, lakini hauvumi.
3. Mgodi wa Shantamine umezungukwa na wachimbaji wadogowadogo ambao wanapata kweli dhahabu, ni kweli kwamba wachimbaji wadogowadogo wanaouza dhahabu hapa soko la dhahabu la Chunya wanaweza kupata dhahabu lakini hao wenye machinery hadi leo bado hawajapata faida ili watupe mgao?
4. Nilishawahi kupita pale airport songwe/mbeya nikakuta mapolisi wametanda kusindikiza ndege iliyobeba madhahabu ya huu mgodi, uliza mtu yeyote mfanyakazi wa shantamine akuambie kama wanapata dhahabu au la na wanapakia dhahabu mbeya airport/songwe au la.
5. Viongozi waandamizi wanafaidika vipi nao, mfano, mgodi unalindwa na mapolisi, Tanzania tunafaidika nao vipi? mapolisi wanalipwa na mgodi. pia, wakuu wao ni kweli wanapata mgao ili kupeleka mapolisi na kuwalinda? kuandia mawaziri, maRPC, wabunge n.k.
Tunataka kujua faida ya huu mgodi, kama hakuna faida basi waachiwe wananchi watanzania wazawa wachimbe kuliko mzungu kuchimba akilindwa na mapolisi wetu halafu anapakia dhahabu kwenye ndege na kuondoka nayo. jambo hili linaweza kupuuzwa ila ni la kwetu. Hakuna uwekezaji, mtu anakuja kuchimba dhahabu ya kwetu hapa nchini anapakia na kwenda nayo halafu tukitaka mgao anasema hajapata faida? je? tunapata mgao kiasi gani? kwa waliofika chunya, kuna dhahabu balaa. wabongo tuchangamke.
1. Mgodi wa Shantamine ni mkubwa na wa zamani sana, ni kweli kwamba hadi leo hawapati faida bado wanapata hasara ili kutupatia mrahaba?
2. Mgodi wa shantamine ni mgodi mkubwa sawa tu na hiyo ya Geita na Kahama, lakini hauvumi.
3. Mgodi wa Shantamine umezungukwa na wachimbaji wadogowadogo ambao wanapata kweli dhahabu, ni kweli kwamba wachimbaji wadogowadogo wanaouza dhahabu hapa soko la dhahabu la Chunya wanaweza kupata dhahabu lakini hao wenye machinery hadi leo bado hawajapata faida ili watupe mgao?
4. Nilishawahi kupita pale airport songwe/mbeya nikakuta mapolisi wametanda kusindikiza ndege iliyobeba madhahabu ya huu mgodi, uliza mtu yeyote mfanyakazi wa shantamine akuambie kama wanapata dhahabu au la na wanapakia dhahabu mbeya airport/songwe au la.
5. Viongozi waandamizi wanafaidika vipi nao, mfano, mgodi unalindwa na mapolisi, Tanzania tunafaidika nao vipi? mapolisi wanalipwa na mgodi. pia, wakuu wao ni kweli wanapata mgao ili kupeleka mapolisi na kuwalinda? kuandia mawaziri, maRPC, wabunge n.k.
Tunataka kujua faida ya huu mgodi, kama hakuna faida basi waachiwe wananchi watanzania wazawa wachimbe kuliko mzungu kuchimba akilindwa na mapolisi wetu halafu anapakia dhahabu kwenye ndege na kuondoka nayo. jambo hili linaweza kupuuzwa ila ni la kwetu. Hakuna uwekezaji, mtu anakuja kuchimba dhahabu ya kwetu hapa nchini anapakia na kwenda nayo halafu tukitaka mgao anasema hajapata faida? je? tunapata mgao kiasi gani? kwa waliofika chunya, kuna dhahabu balaa. wabongo tuchangamke.