OK, hawajafikia kiwango cha kutakiwa kutupatia mrahaba. mtaji wao waliouorodhesha kwenye makaratasi au niseme kwa leseni yao wanatambulika kama mgodi mdogo au wa kati.
Hawatakiwi kutupatia mrahaba. sasa sisi tumeshaona wanapakia sana dhahabu ambayo ni zaidi hata ya huo mtaji wao, maisha yao tu yanaonekana ni zaidi hata ya mtaji wao.
Wafanyakazi wa pale wanatuambia kuna dhahabu kibao inapatikana na wanaiba pia na kuiuza hapa chunya, nenda uliza wafanyabiashara ya dhahabu watakuambia kule chunya.
Mbeya wanapakia dhahabu mara nyingi tu yenye thamani zaidi ya huo mtaji umetaja, je, kuna haja ya kuwatathimini upya au tuendelee kuwachukulia kama wao ni mgodi wa kati? wewe ni mtz?