Haiwezekani mgodi wa kati ukatoa dhahabu nyingi kuliko mgodi mkubwa?Inaonekana unaokoteza manebo ua mitaani badala ya kuitafuta ukweli.
Shanta mine, siyo sawa na Bulyanhulu, Buzwagi, Geita au North Mara.
Mgodi huo wa Shanta mine ni mgodi wa kati, siyo mgodi mkubwa - ni ML (Mining License). Hiyo mingine niliyoitaja ni SML (Special Mining License).
ML - uwekezaji wake si zaidi ya $100m. SML - ni uwekezaji wa zaidi ya $100m.
Uwekezaji ndio unadetermine ukubwa wa mgodi...Huwezi kupima mgodi ukubwa kulingana na uzalishaji wake? Wanaweza weka mtaji mdogo lakini wakazalisha dhahabu nyingi kuliko migodi 'mikubwa' ya kanda ya ziwa.
Huu ujinga wa miccm,tubadili sheria basi.mchanga ukiwa mwingi ndo uwe kigezo cha mgodi mkubwa.tunapigwa Sana na hii miccmKwanza ujue mrabaha hautozwi kwenye faida. Pili shanta ni mgodi wa kati,a mining licence,ukubwa wa mgodi unakuwa determined na capital investment.
Huwezi kusema mgodi ni mkubwa sababu tu macho yako yameona mchanga mwingi umerundikwa au mataa mengi yanayomeremeta ndani ya mgodi.
Nje ya mada: Mkuu naweza kuja PM ukanipa ABC's za taratibu za kupeleka madini ya dhahabu nje ya nchi (Vyote kama mchimbaji au mnunuzi mkubwa ''agent")Ukiona wanapakia pale songwe airport ujue wana clearance zote na washalipa kila kitu
Dhahabu haiondoki bila kuwepo tra,watu wa tume ya madini na vyombo vya ulinzi na usalama
Kama unajua wanaotorosha madini,isaidie nchi yako kwa kutoa taarifa tume ya madini/wizara ya madini.
Kabla mgodi kuanzishwa kunakuwa na study ya deposit ya madini na hiyo document inatakiwa kuambatishwa upon an application of licence..Huwezi kupima mgodi ukubwa kulingana na uzalishaji wake? Wanaweza weka mtaji mdogo lakini wakazalisha dhahabu nyingi kuliko migodi 'mikubwa' ya kanda ya ziwa.
Mkuu kwani mgodi unapoitwa mkubwa unadhani tunafaidi nini ambacho ni zaidi ya mgodi wa kati?Huu ujinga wa miccm,tubadili sheria basi.mchanga ukiwa mwingi ndo uwe kigezo cha mgodi mkubwa.tunapigwa Sana na hii miccm
Sera zinaweza zisiwe mbaya, tatizo likawa kwenye utekelezaji wake.Moja kati ya mambo yanayonisikitisha nchi hii, ni sera ya serikali kwenye nishati na madini. Nchii ina kila aina ya madini. Lakini maeneo ya madini yana ufukara unaotisha. Hakika nchi hii tuna laana ya asili.
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Miaka 10 unaclaim hasara KILA siku, si uongo huo.Mkuu, kwanza mleta mada hajazungumzia swala la Shanta Mine kupata hasara.
Pili, migodi (dhahabu) ni biashara kama biashara zingine na hivyo basi hasara ni sehem ya biashara na hutokea kwenye migodi pia.
Ukisema mbona hawaondoki, manayake kwangu inanipa jibu rahisi kwamba bado haujui lolote kuhusu migodi/dhahabu ama biashara.
Kwakifupi ni kwamba, mtu anapo wekeza fedha nyingi kwenyw biashara flani na akawa anapata faida, then ikatokea biashara ile ikayumba kidogo na akajikuta anapata hasara, hii haimaanishi basi kwamba aondoke. Kumbuka hapo kabla alikua anapata faida na pia amewekeza mtaji mkubwa pamoja na kujenga miundo mbinu.
Hata Chunya kuna wachina wamewekeza mgodi huko kuna Siku nilikuona Mkuu wa Wilaya na Chalamila wakiweka mambo sawa.Kwanza Shanta haipo Chunya mkuu, Shantamine ipo karibu na Mkwajuni, Saza na Patamela na upo katika wilaya ya Songwe, Katika Mkoa wa Songwe na sio Mbeya.
Pili kuhusu ukubwa ni kweli nadhani Shanta ni wa pili kwa ukubwa Tanzania kama sikosei baada ya GGM. Sijajua ni kwa nini hausikiki kabisa, lazima kuna matatizo sehemu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizi stori za ridhwani na kikwete kumiliki kila kitu Tanzania ni uzushi uliokithiri.
Kila kitu nchi hii ni cha Kikwete, gas Kikwete, mahotel mbugani ni Kikwete, mgodi wa Tanzanite one mirerani ni Kikwete, dhahabu ni Kikwete nk.. come on... give me a break! Acheni ujinga. Tufanye basi huo mgodi ni wa baba yako!Ule mgodi unasemekana ni wa kikwete unasimamiwa na ridhiwan
Kuna kipindi fulani ilikua kila jumamosi choppa inatua kuchukua mzigo na kusepa.
OKKila kitu nchi hii ni cha Kikwete, gas Kikwete, mahotel mbugani ni Kikwete, mgodi wa Tanzanite one mirerani ni Kikwete, dhahabu ni Kikwete nk.. come on... give me a break! Acheni ujinga. Tufanye basi huo mgodi ni wa baba yako!
Hawa kina Patel wana uhusiano gani?Ule mgodi unasemekana ni wa kikwete unasimamiwa na ridhiwan
Kuna kipindi fulani ilikua kila jumamosi choppa inatua kuchukua mzigo na kusepa.
Ukiona wanapakia pale songwe airport ujue wana clearance zote na washalipa kila kitu
Dhahabu haiondoki bila kuwepo tra,watu wa tume ya madini na vyombo vya ulinzi na usalama
Kama unajua wanaotorosha madini,isaidie nchi yako kwa kutoa taarifa tume ya madini/wizara ya madini.
Chalamila alikua RC wa mkoa Mbeya, inakuaje ukamwona "akiweka mambo sawa" kwenye mkoa mwingine (Mgodi upo mkoani Songwe).Hata Chunya kuna wachina wamewekeza mgodi huko kuna Siku nilikuona Mkuu wa Wilaya na Chalamila wakiweka mambo sawa.
Pili nadhani unakumbuka sakata la utoroshaji madini mkoa wa mbeya badala ya kuuza kwenye soko la madini Chunya.
Huo mgodi kwa nini hautoi mapato kwenye Halmashauri za Chunya na Songwe kama ilivyo kwa Geita na Kahama