Mgodi wa Shantamine Chunya unakusanya dhahabu nyingi lakini hauna impact yoyote nchini

Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza,mimi ninafanya kazi SMTL na wanalipa kila kitu kinachotakiwa kama mwekezaji
Mkuu ebu tuambie, ni kweli mgodi unamilikiwa naa Kikwete? Kwa kuwa unafanya kazi hapo lazima unajua kitu
 
Mkuu mmiliki wa Shanta mine ni mangi. Huwa Wana akili ya kudeal na waziri husika , wanamalizana juu kwa juu. Huko ikungi singida, bado wananchi wanapigwa risasi kila siku anamiliki ikungi yote.
 
Kwani Chunya ina mgodi huo tuu? Mbona soko la madini limejengwa Chunya badala ya huko Songwe?
 
Masoko ya madini ya serikali yapo ktk wilaya karibu zote zinazozalusha madini ikiwamo Songwe na Chunya, sasa sinui nani alikuambia kuwa Sobgwe hakuna soko? Nenda Mkwajuni utaluona soko mkuu.
 
*Dhahabu nyingi
*Mgodi mkubwa

umepimaje?
Umelinganisha na nini/mgodi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…