Mgogoro dayosisi ya Mpwapwa

Ugomvi wote makanisani ni pesa, ifike mahali sasa makanisa yatoe huduma bure, na hao makasisi watafute kazi za halali za kuwaingizia vipato badala ya kugombania sadaka
 
Ushamba mkubwa uliowahi kutokea duniani ,watu wagombane wengine ila chuki zisambazwe kwa wengine.

Si dini ,nchi hata ngazi ya familia watu wanaweza kupishana kauli na kupelekea utengano ila ni sawa kwa vile ni binadamu na wote tuna dhambi.

Ujinga šŸ‘‰Panapotokea ugomvi basi wale waliogombana ndio wanahusika ila wengine hapana ,utengano wa viongozi ndio chanzo cha kugawa watu na kupelekea upotofu ,hapa kama viongozi lazima watabeba dhima maana wameaminiwa ila wao wanaangalia maslahi yao binafsi.

Enyi viongozi! Kuweni waadilifu na wekeni maslahi yenu kando kuna watu wanawaamini sana.
 
Kanisa langu la Anglikana na KKKT kwa kweli MUNGU atusaidie.

Ukisikia chaguzi za viongozi wakubwa, tambua ni muda wa matatizo ndani ya kanisa umewadia.

Shetani ametamalaki kwa viongozi wetu wanaotanguliza maslahi binafsi ya tumbo kuliko wito wao wa kiutume wa kuchunga kondoo walioitiwa.
 
Ugomvi wote makanisani ni pesa, ifike mahali sasa makanisa yatoe huduma bure, na hao makasisi watafute kazi za halali za kuwaingizia vipato badala ya kugombania sadaka
Ni kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…