Mgogoro unaodaiwa kuwepo kati ya BOT na M-Pesa utaisha lini ili Templer for Empler Forex atumie M-Pesa?

Mgogoro unaodaiwa kuwepo kati ya BOT na M-Pesa utaisha lini ili Templer for Empler Forex atumie M-Pesa?

Elon SpaceX,
Hawa broker wengine sijawajua mkuu nisaidie
Templer spread zake sio mbaya sana ingawaje kwa usiku huwa zinapanda sana
 
Mimi mwenyewe nimejiunga leo kwa hao FXPESA lakin spread zao zimenishinda.. Yan major pairs unakuta spread had 15 point.. 😳😂
Hapo mkuu ni wizi huwezi kutrade utachoma account ndani ya muda mfupi😂
 
Jisajili SKRILL verify account, tumia broker yeyote anayefaa.
Kinachosumbua mkuu ule usumbufu wakutoa pesa zako huku skrill maana tulizoea ukitaka kutoa kwa m pesa ni ndani ya muds mfupi ushapata hela
 
Nikamuuliza customer care wao mmoja kwamba kwa hiz spreads kweli inawezekana kufanya scalping?? Akanijibu ndiyo inawezekana maana na yeye ni scalper pia 🙄🙄
Wahudumu wengi wa mabroker wapo positive na mafanikio muda wote 😀 kwa spread hizo ukifanya scalaping si utakufa kwa presha bure
 
Hawa broker wengine sijawajua mkuu nisaidie
Templer spread zake sio mbaya sana ingawaje kwa usiku huwa zinapanda sana
Tumia hata OctaFx au jitahidi kujua brokers ambao pro's tofauti tofauti wanawatumia
 
Elon SpaceX, That is all,fx pesa walinishawishi niwe agent wao kwa kuwatafutia wateja nilivyo wasoma huu mchezo nikala buyu,anyway soon kutakua ba mobile money from tigo pesa nafikiri itakua launched mwakani tungoje,napenda m pesa coz ni chap
 
That is all,fx pesa walinishawishi niwe agent wao kwa kuwatafutia wateja nilivyo wasoma huu mchezo nikala buyu,anyway soon kutakua ba mobile money from tigo pesa nafikiri itakua launched mwakani tungoje,napenda m pesa coz ni chap
Michango yako naiappriate you one of resilient persion as a trader since there was so much negativity here in Jf umesustain na upo mpaka sasa ingawa nilibadili ID.

Tuje kwenye trading kusema ukweli kwa zile spread ni daylight robbery😂
 
Hawa broker wengine sijawajua mkuu nisaidie
Templer spread zake sio mbaya sana ingawaje kwa usiku huwa zinapanda sana
Tumieni brokers waliosajiliwa, walio bora na wanaotambulika kimataifa. Acheni kubabaishwa na utoaji pesa kwa mpesa.
 
Michango yako naiappriate you one of resilient persion as a trader since there was so much negativity here in Jf umesustain na upo mpaka sasa ingawa nilibadili ID.

Tuje kwenye trading kusema ukweli kwa zile spread ni daylight robbery[emoji23]
Wizi alafu too much,unajua wakenya wanatufanya mazuzu uyo fx pesa ni wa kenya nashindwa elewa sie tunakwama wapi kuwa na broker wakwetu labda tatizo mtaji sijui, spread kama zile sio rafiki kufanya sclaping.
 
Back
Top Bottom