Alex Tanzania
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 782
- 646
kama mabroker gan mkuu
Shukrani mkuu ngoja nifuatilieTickmill, exness, etoro,fxpro, hotforex .
Chagua hapo ukiweza google na soma reviews.
Sent using Jamii Forums mobile app
BOT tunatiaa aibu tu CENTRAL BANK OF KENYA hiz mambo hakuna.. ukiwa na safarcom line kaz unafanya vizurKiukweli wangeacha templer wafanye biashara hayo makodi mbona zamani hawakuyakata
Na hakuna hata daliliWakuu mpaka leo mambo ni magumu templer na m pesa tanzania bado hakijaeleweka
Vipi kuhusu tickmill?wanaweza deposit kwa mpesa?Wakuu huu ni mwezi wa pili kwa wale wanaotumia broker wa templer forex hawawezi kudiposit pesa kwa njia ya M-Pesa Tanzania
Inasemekana kuna mgogoro mkubwa wa kampuni ya M Pesa na BOT
Tafadhali BOT malizeni mgogoro wenu kwani biashara za mtandao zipo nyingi tu kwann mnaleta vurugu kwa mabroker?
USD 100, GBP 100 or EUR 100 ndio mtaji wao na ndio mtaji mzuri wa kuanzia biashara hii bossNilisikia wanao huo utaratibu lakini upo kwa kujificha ficha hawajaweka wazi sana
Pia kutrade nao ni risk maana wanahitaji mtaji mkubwa sana
Mgogoro haujaisha tu?Wakuu huu ni mwezi wa pili kwa wale wanaotumia broker wa templer forex hawawezi kudiposit pesa kwa njia ya M-Pesa Tanzania
Inasemekana kuna mgogoro mkubwa wa kampuni ya M Pesa na BOT
Tafadhali BOT malizeni mgogoro wenu kwani biashara za mtandao zipo nyingi tu kwann mnaleta vurugu kwa mabroker?