Mgogoro wa Ardhi katika vijiji vya Nyatwali na Utegi mkoani Mara

Mgogoro wa Ardhi katika vijiji vya Nyatwali na Utegi mkoani Mara

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Binafsi nichukue nafasi hii kuwashukuru Halima Mdee na Jafari Chege kwa kuwasemea Wananchi wa maeneo haya kuhusu manyanyaso ya Serikali dhidi yao.

Nianza na Kata ya Nyatwali. Kata hii ina vijiji vitatu Tamau, Nyatwali na Serengeti. Vijiji vyote viko kisheria na vilianzishwa tangu mwaka 1972 na vina hati halali. Mwaka 2014 kulitokea hoja kuwa vijiji hivi vinapakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na hivyo ni vema vikapisha ili kuwe na mapito ya wanyama mpaka ziwani kwa ajili ya maji na wanyama kuwa huru.

Hoja hii ilipopelekwa mbele ya Baraza la Mawaziri Awamu ya Tano Mwenyekiti akiwa Hayati Mhe. Magufuli alilikataa hoja hii na akasema Wananchi wasisumbuliwe na Wananchi wa Kata ya Nyatwali wakapewa mrejesho juu ya suala hili.

Awamu ya sita ilipoingia madarakani hoja hii ilifufuliwa upya na hatimaye wakaanza tathmini kuhusu mali za Wananchi. Hata hivyo malipo yaliyopendekezwa hayalingani na hali halisi na maisha ya sasa. Wananchi wanapendekeza kuwa ekari moja walipwe kiasi cha Tshs.10,000,000 kwa ekari lakini uthamini wao wanapendekeza Tshs.2,000,000 kwa ekari kitu ambacho hakiendani na hali ya sasa.

Pili, kuhusu Kijiji cha Utegi. Kijiji cha Utegi kimekuwapo tangu operesheni Vijiji na wananchi wameishi pale takriban miaka sitini sasa. Leo hii wanaambiwa wahame na kwa kejeli cha kuambiwa kuwa watalipwa kifuta machozi. Hili ni jambo la ajabu kabisa na wanakaa nje ya beacons za Shamba la Mifugo la Utegi.

Ninamwomba Mhe. Rais aliingilie kati migogoro hii vinginevyo uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025 wananchi Mkoa wa Mara waikataa CCM.
 
Hata hiyo hela mpaka sasa hawajalipwa Serekali inanyanyasa saana watu na hakuna dalili yoyote ya kulipa watu watu maisha yamekua magumu saana
 
Binafsi nichukue nafasi hii kuwashukuru Halima Mdee na Jafari Chege kwa kuwasemea Wananchi wa maeneo haya kuhusu manyanyaso ya Serikali dhidi yao.

Nianza na Kata ya Nyatwali. Kata hii ina vijiji vitatu Tamau, Nyatwali na Serengeti. Vijiji vyote viko kisheria na vilianzishwa tangu mwaka 1972 na vina hati halali. Mwaka 2014 kulitokea hoja kuwa vijiji hivi vinapakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na hivyo ni vema vikapisha ili kuwe na mapito ya wanyama mpaka ziwani kwa ajili ya maji na wanyama kuwa huru.

Hoja hii ilipopelekwa mbele ya Baraza la Mawaziri Awamu ya Tano Mwenyekiti akiwa Hayati Mhe. Magufuli alilikataa hoja hii na akasema Wananchi wasisumbuliwe na Wananchi wa Kata ya Nyatwali wakapewa mrejesho juu ya suala hili.

Awamu ya sita ilipoingia madarakani hoja hii ilifufuliwa upya na hatimaye wakaanza tathmini kuhusu mali za Wananchi. Hata hivyo malipo yaliyopendekezwa hayalingani na hali halisi na maisha ya sasa. Wananchi wanapendekeza kuwa ekari moja walipwe kiasi cha Tshs.10,000,000 kwa ekari lakini uthamini wao wanapendekeza Tshs.2,000,000 kwa ekari kitu ambacho hakiendani na hali ya sasa.

Pili, kuhusu Kijiji cha Utegi. Kijiji cha Utegi kimekuwapo tangu operesheni Vijiji na wananchi wameishi pale takriban miaka sitini sasa. Leo hii wanaambiwa wahame na kwa kejeli cha kuambiwa kuwa watalipwa kifuta machozi. Hili ni jambo la ajabu kabisa na wanakaa nje ya beacons za Shamba la Mifugo la Utegi.

Ninamwomba Mhe. Rais aliingilie kati migogoro hii vinginevyo uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025 wananchi Mkoa wa Mara waikataa CCM.
Upuuzi km huu siusomagi, hakuna serikali inayonyanyasa watu wake.
 
Binafsi nichukue nafasi hii kuwashukuru Halima Mdee na Jafari Chege kwa kuwasemea Wananchi wa maeneo haya kuhusu manyanyaso ya Serikali dhidi yao.

Nianza na Kata ya Nyatwali. Kata hii ina vijiji vitatu Tamau, Nyatwali na Serengeti. Vijiji vyote viko kisheria na vilianzishwa tangu mwaka 1972 na vina hati halali. Mwaka 2014 kulitokea hoja kuwa vijiji hivi vinapakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na hivyo ni vema vikapisha ili kuwe na mapito ya wanyama mpaka ziwani kwa ajili ya maji na wanyama kuwa huru.

Hoja hii ilipopelekwa mbele ya Baraza la Mawaziri Awamu ya Tano Mwenyekiti akiwa Hayati Mhe. Magufuli alilikataa hoja hii na akasema Wananchi wasisumbuliwe na Wananchi wa Kata ya Nyatwali wakapewa mrejesho juu ya suala hili.

Awamu ya sita ilipoingia madarakani hoja hii ilifufuliwa upya na hatimaye wakaanza tathmini kuhusu mali za Wananchi. Hata hivyo malipo yaliyopendekezwa hayalingani na hali halisi na maisha ya sasa. Wananchi wanapendekeza kuwa ekari moja walipwe kiasi cha Tshs.10,000,000 kwa ekari lakini uthamini wao wanapendekeza Tshs.2,000,000 kwa ekari kitu ambacho hakiendani na hali ya sasa.

Pili, kuhusu Kijiji cha Utegi. Kijiji cha Utegi kimekuwapo tangu operesheni Vijiji na wananchi wameishi pale takriban miaka sitini sasa. Leo hii wanaambiwa wahame na kwa kejeli cha kuambiwa kuwa watalipwa kifuta machozi. Hili ni jambo la ajabu kabisa na wanakaa nje ya beacons za Shamba la Mifugo la Utegi.

Ninamwomba Mhe. Rais aliingilie kati migogoro hii vinginevyo uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu 2025 wananchi Mkoa wa Mara waikataa CCM.
Heshimu maamuzi ya serikali acheni malalamishi ya kipuuzi, hiyo ni njia ya wanyama kufika ziwa Victoria kunywa maji. Hiyo ardhi hao watu waligawiwa na serikali miaka hiyo ya sabini bado ni mali yake, wanachopewa wananchi ni fidia siyo kununua ardhi kutoka kwa wananchi. Shida majamaa ya huko hamtumiagi akili kitu cha kawadida tu ni kulalamika, ni kubisha, kutaka kushindana na serikali. Acheni ushamba wa kijinga, mbadilikage muwe km watu siyo wanyama nyie
 
Hiyo hela wamelipwa?unajua tabu wanayopitia watu hao?hawalimi hakuna kitu wanaruhisiwa kufanya kama sio unyanyasaji ni nini?
 
Back
Top Bottom