Kama hakuuweka yeye na yeye ni daktari wa filosofia ya uchumi, aziondoe basi. Kuna tatizo gani kuondoa kero, au usomi ni madoido tu sio kunufaisha jamii?Mtu anakwambia ooh Kuna utitiri wa Kodi Mwigulu ajiudhuru,huo utitiri aliweka Mwigulu?
Mfano kwenye biashara ya mbao Kuna Kodi zifuatazo
.VAT
Withholding tax
Kibali Cha TFS
Kuna Tozo ya TFS
Kuna leseni ya biashara
Kuna Tozo ya zima moto
Kuna ushuru wa Halmashauri pande zote mbili,
Kuna ushuru wa taka
Kuna ushuru wa nemc
Hapo zipo 10 Bado waomba Rushwa nk nk
Serikali yetu sio Rafiki kwa wafanyabiashara wa ndani (yaani sisi wazawa) lakini mwisho wake unakuja tuta wanyooshaHalafu VAT threshold kuwa 100mil. miaka zaidi ya 20 tangu ianzishwe ni ujinga, thamani ya pesa imeshaku, hata machinga muuza maji anafikisha hii kwa mwaka, ilitakiwa walau 1bil. Mtu ukiuza 120mil. Kwa mwaka unaingizwa VAT uanze kulipa CPA akupelekee return kila mwezi, yaani ukipata 10% profit ni wastani wa 1mil. Kwa mwezi, sas akwa hii pesa ukipe pango, kodi zote na bado umlioe CPA kweli?! Inawezekana hii?!
Umewahi kufanya biashara?Tz mfanyabiashara wa Kkoo anayeuza mzigo wa 5m kwa siku na faida si chini ya 2m kwa siku anataka kutoa kodi ya laki 5 kwa miezi 3, hao jamaa si wa kuwachekea, ni wakwepaji kodi wakubwa.
100 m ni sawa na mauzo ya sh 275000 kwa siku ni hela ndogo, ambayo ni faida ya ya elf15 au 16 kwa siku, fikiria unapata faida y 15 kwa siku alaf unatakiwa kumuajiri mwasibu mwenye CPA, ni kitu ambacho hakiwezekan ndo maana wafanyabiashara wanakwepa kutoa risit ili unbalance mauzo usiingie VATHalafu VAT threshold kuwa 100mil. miaka zaidi ya 20 tangu ianzishwe ni ujinga, thamani ya pesa imeshaku, hata machinga muuza maji anafikisha hii kwa mwaka, ilitakiwa walau 1bil. Mtu ukiuza 120mil. Kwa mwaka unaingizwa VAT uanze kulipa CPA akupelekee return kila mwezi, yaani ukipata 10% profit ni wastani wa 1mil. Kwa mwezi, sas akwa hii pesa ukipe pango, kodi zote na bado umlioe CPA kweli?! Inawezekana hii?!
TRA Tanzania Wanalijua hili na ndio wamefanya kama mtaji wa kula rushwa, bila sheria ngumu kama hizi ambazo hazitekelezeki wanajua hawawezi kuomba rushwa.., sasa hii 100mil. iliwekwa tangu kipindi soda inauzwa 150/=, hadi leo soda inauza 600/= bado kiwango ni hicho hicho.., hii amount imepitwa na wakati sababu ya inflation, pesa imeshuka thamani. Huyo CPA sisi tutamlipa nini kupiga hayo mahesabu kila siku, mbaya zaidi kodi za bandari zinasababisha waagizaji wasitupe risiti kamili, sasa mimi nitoe risiti ya VAT itakuwaje, si nitafilisika?!100 m ni sawa na mauzo ya sh 275000 kwa siku ni hela ndogo, ambayo ni faida ya ya elf15 au 16 kwa siku, fikiria unapata faida y 15 kwa siku alaf unatakiwa kumuajiri mwasibu mwenye CPA, ni kitu ambacho hakiwezekan ndo maana wafanyabiashara wanakwepa kutoa risit ili unbalance mauzo usiingie VAT
Ungekua unajua VAT inavyofanya kazi, usingeandika hiyo post. Unaonekana wewe ni mweupe sana, both kwenye biashara na kwenye mambo ya kodi.Mfano mdogo tu ni Pharmaceutical products, faida ni nusu almost ya mauzo. Kkoo akiuza mzigo wa 5m kwa siku faida si chini ya 2m, hao jamaa ni hawataki kulipa kodi, VAT ni ya mnunuzi ndio analipa, wao inawauma nini ?
Boss acha mihemko ya kung'ang'ania wafanyabiashara kuwa ni wakwepa kodi kwa kiwango kikubwa.Hapa Kuna siasa ila Serikali ikiendelea kufanya mzaha wa kuwabembeleza watayumbisha sana..
Sio tuu huko Kariakoo,kokote kule wafanyabiashara Huwa Hawataki kutoa risiti na kama ndio hivi wanavyobembelezwa Serikali ijiandae Kwa mapato kiduchu..
Sio sawa ku sucrifice maslahi ya Nchi Kwa maslahi ya Kisiasa..
Natamani washughulikiwe,ni heri kuingia hasara ila nidhamu ije..
Museveni Huwa hana mda wa kuhangaika na wanaoandamana anawaachia ila wakizidi wanakula Cha moto then wanakacha wenyewe..
Hao wasipofungua maduka kwani watakula wapi?
Ukweli ni kwamba Wafanyakazi Huwa hawatoi risiti Halali,pamoja na Changamoto ila niwakwepa Kodi wakubwa.
Huwezi ona sababu ww si mfanyabiashara na umeshawabrand kuwa ni wezi na majambazi.Utaratibu gani mkuu wa ajabu? Pos au efd ziko Kila Nchi hasa hapa Africa
Mfanya biashara ndo anategemewa atumie rasilimali zake kukusanya mapato apeleke TRA. Anatakiwa afanye biashara, alipe kodi yake, ahakikishe TRA imepata VAT zake, PAYE zake, Witholding zake na taarifa za hizo kodi kwa wakati kwa kutumia muda wake na rasilimali zake.TRA Tanzania Wanalijua hili na ndio wamefanya kama mtaji wa kula rushwa, bila sheria ngumu kama hizi ambazo hazitekelezeki wanajua hawawezi kuomba rushwa.., sasa hii 100mil. iliwekwa tangu kipindi soda inauzwa 150/=, hadi leo soda inauza 600/= bado kiwango ni hicho hicho.., hii amount imepitwa na wakati sababu ya inflation, pesa imeshuka thamani. Huyo CPA sisi tutamlipa nini kupiga hayo mahesabu kila siku, mbaya zaidi kodi za bandari zinasababisha waagizaji wasitupe risiti kamili, sasa mimi nitoe risiti ya VAT itakuwaje, si nitafilisika?!
Kama haitishi, mtu mwenye duka pembeni yangu hana VAT, mimi nimeunganishwa na VAT , kwahiyo bidhaa yangu itakuwa bei juu, nani atanunua kwangu?!
% Kubwa ya wafanyabiashara wanatamani kufanya biashara kwa amani ndio maana wanatoa hata Rushwa wasisumbuliwe. Mtu anayeweza kutoa Rushwa anaweza kulipa kodi kama si kandamizi.Binafsi nakubaliana na Mfanyabishara aambae analeta alternative ila sio kupinga tuu Kodi ,kama serikali imefanya uchambuzi na kuona hiyo alternative sio endelevu na Haina Tija hawawezi kuikubali.
Pale wamesikilizwa wao tu. TRA haijasikilizwa. Serikali utakaa chini na kuisikiliza TRA. Kama yule mama wa vitenge, mama bonge. Ukisikiliza upande wa TRA anaanguka chali. Kuna maeneo TRA unakosea lakini kwenye myororo mzima wa utozaji wa kodi. E-filling na tancis inawaua sana wakwepaji kodi. Hata kama huna VAT ukauza mzigo wa magendo kwa EFD utakosa kuthibitisha manunuzi yako. Maanake watachujua kiasi chote cha risiti kama mapato.Hapa Kuna siasa ila Serikali ikiendelea kufanya mzaha wa kuwabembeleza watayumbisha sana..
Sio tuu huko Kariakoo,kokote kule wafanyabiashara Huwa Hawataki kutoa risiti na kama ndio hivi wanavyobembelezwa Serikali ijiandae Kwa mapato kiduchu..
Sio sawa ku sucrifice maslahi ya Nchi Kwa maslahi ya Kisiasa..
Natamani washughulikiwe,ni heri kuingia hasara ila nidhamu ije..
Museveni Huwa hana mda wa kuhangaika na wanaoandamana anawaachia ila wakizidi wanakula Cha moto then wanakacha wenyewe..
Hao wasipofungua maduka kwani watakula wapi?
Ukweli ni kwamba Wafanyakazi Huwa hawatoi risiti Halali,pamoja na Changamoto ila niwakwepa Kodi wakubwa.
Kufunga biashara sio kosa ila inategemea ni biashara gani.Kama kila atakaye lia atabembelezwa nchi itakuwa ngumu, TRA wana sheria zao, na sekta zingine pia… sasa kama ukigoma una bembelezwa si na walimu, dala dala, boda boda na wengine watagoma pia
Kufunga biashara it’s not a crime, wangewaacha tu njaa ingewatoa mashimoni na si hivi… sasa wanajiona wao ni special