Elections 2015 Mgogoro wa UKAWA kuhamia bungeni, Antropia Theoneste akwaa Viti Maalum

Elections 2015 Mgogoro wa UKAWA kuhamia bungeni, Antropia Theoneste akwaa Viti Maalum

Kwa tabia hizi chadema haitakaa ichaguliwe kuongoza hii nchi
 
Nilipo ona jina la Upendo Peneza nikasema haki imetendeka
 
Topic: Ruth H Mollel aliingia lini CHADEMA?

Wasalaam !
Kweli sasa nimeanza kuzeeka na kupitwa na matukio ya kisiasa na kijamii.
Nina swali la msingi kwa wadau makini hasa wana chadema asilia.
HIVI HUYU Ruth H Mollel ambaye kama sikosei(nitaomba kusahihishwa) alikuwa ni mtu mnene na msomi kwenye serikali kwa miongo kadhaa alihamia lini chadema?
Kwenye list ya wabunge wa viti maalum wa chadema nimeliona jina lake nikashtuka kidogo kwa maana ya kushangazwa.
Hivi mama huyu alianza harakati ndani ya chadema lini kiasi cha kuukwaa ubunge wa viti maalum?
Hivi Chadema ilikuwa inahubiri mabadiliko ya namna gani hasa kama kikundi chote cha waliokuwa madarakani wamehamia huko?
Kama ni yeye kweli ...kupata ubunge viti maalum kupitia chadema huku ukiwaacha vijana waliojaribu kuwekeza katika chadema kwa kukimbia mfumo wa kiccm inatoa picha gani?
Hebu wasemaji wa chadema asilia njooni mjadili hoja hii.
SAMAHANI:Kama huyu Ruth H Mollel sio yule aliyekuwa ofisi ya makamu wa Rais mazingira na CV zake lukuki.
OMBI:Mada ijikite katika mchakato wa kumpatia ubunge Ruth Mollel!
Kwa wale ambao ni kizazi cha bodi ya mikopo kaeni kando
Cc:
Pasco
Crashwise
Molemo
Mungi

Itafute hii thread iliokwisha anzishwa humu jf na ujibu hili swali

Kuna watu wanaweza kukaa muda mfupi katika chama na matunda yao yakaonekana!!
Hv ww wwnaume wangekua wanapewa viti maalum vip ungemwona lowassa ndan ?
Ungeuliza kaingia lin???
Je asingestahili???????
 
Mleta uzi acha wivu wa kishoga... Umekosa ubunge unakuja kuanzisha thread ya kijinga hapa.. Shame on you!! Kwani hauwezi kuishi bila ubunge.
 
Nilipo ona jina la Upendo Peneza nikasema haki imetendeka
Upendo, Jesca, Lucia Mlowe(Njombe)haki imetendeka. Tuache majungu ya kipuuzi.Tulileta proposal hapa kwamba kila mkoa upate kiti maalum, hasa mikoa ambayo haina wabunge wa chadema. Chama kimetenda haki. Sasa kila mkoa kuna mbunge wa Chadema. Tunachotaka hao wabunge wachape kazi. Mama Kafulila Jesca amepiga kampeni huku ananyonyesha mtoto. Huu ni ujasiri mkubwa kwa chama. Ni haki yake kuwa mbunge wa viti maalum.
 
tatizo kubwa la wanasiasa wanafikili vyeo kuliko maisha ya watanzani masikini kama ukupata nafasi basi msaidie aliyepata hili kupambana hili kulisogeza taifa mbele kwani wote hatuwezi kuwa viongozi
 
Ester Mpagama (CHICHI)yeye ni uzembe wake na uvivu wa kufukiri, kitendo cha kukosa kura ya mapendekazo jimbo la Chilonwa basi kahamia ACT basi asilalamike ubunge kapishana nao
 
Ndo maana Lowasa alisema vipaumbele vyake ni ELIMU, ELIMU, ELIMU!, bado tuna watu wengi Tz ufahamu ni mdogo sana!, tutaishia kununua simu za touch na mashangingi huku wanaotuuzia wanabeba hadi mchanga wenye harufu ya madini kwa bei cheeeee!
 
Leta majina yao na watokako ili mjadala uwe mzuri blabla hatutaki.

https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/968584-majina-ya-wabunge-viti-maalum-hadharani-ccm-64-chadema-36-cuf-10-a-new-post.html
 
Cyo lazma uanzishe thread;kaa na bumba zko inatosha
 
Hii inatokana na chadema kuwapa viti maalumu watu mizigo.....mitandaoni kila mpigania ama mfia chama amelaani sana kuwa viti maalumu vimetolewa kwa uprndeleo mwingi sana.........dhana ya #chadema INA wenyewe.....ilikwepo toka enzi na enzi.......


Chadema ni ile ile na INA copy na kupaste mambo ya ccm............
Wabunge gani wamelalamikiwa? Hivi inawezekana kweli watu wakaridhika na uteuzi wa viti maalumu? Malalamiko na manung'uniko hayakosekani katika vyama vyote. Cha kwanza jaribu kutafuta vigezo na masharti ya uteuzi halafu uone kama vilikiukwa. Wengi wanaolalamika hawasemi ni vigezo vipi na masharti vilikiukwa. Hata rais John alipoteuliwa na CCM kugombea wengi ndani na nje ya CCM yenyewe hawakuridhika na bado hawaridhiki lakini ndiye rais wetu. Ni vigumu kuwaridhisha watu wote wakati wote. Nafasi zenyewe ni chache si kila anayetaka atapata
 
Unafaidi nini kila leo kupiga chabo kwa majirani? Hata kama wana taabu pilipili usiyoila ya kuqaIa nini? kuna siku utajizushia mwenyewe. Shimo unalochimbia wengine utatumbukia mwenyewe. HAPA KAZI TU. Stop majungu.
 
Mleta mada. Badilika kifikra na kimatendo. Inaboa sana. Hakuna ya maana zaidi kujenga taifa? kila leo kupiga chabo kwa majirani kwa nia ya kuwaongelea mabaya huchoki tu?pilipili usiyoila yakuwashia nini? Kasumba hiyk mbaya. Iko siku utajiUshia mabaya zaidi mwenyewe. Shimo unalochimbia wengine utatumbukia mwenyewe. HAPA KAZI TU. Stop majungu.
 
Upendo, Jesca, Lucia Mlowe(Njombe)haki imetendeka. Tuache majungu ya kipuuzi.Tulileta proposal hapa kwamba kila mkoa upate kiti maalum, hasa mikoa ambayo haina wabunge wa chadema. Chama kimetenda haki. Sasa kila mkoa kuna mbunge wa Chadema. Tunachotaka hao wabunge wachape kazi. Mama Kafulila Jesca amepiga kampeni huku ananyonyesha mtoto. Huu ni ujasiri mkubwa kwa chama. Ni haki yake kuwa mbunge wa viti maalum.
Naona Mashishanga wame msahau
 
Kama kumechafuka kusafishe
Si bora leo ndio kumechafuka cdm ccm kulishachafuka mda sana.
 
Ni vigezo gani vimetumika kumpa ubunge huyu dada aliyetunyima jimbo Segerea?
 
Upendo, Jesca, Lucia Mlowe(Njombe)haki imetendeka. Tuache majungu ya kipuuzi.Tulileta proposal hapa kwamba kila mkoa upate kiti maalum, hasa mikoa ambayo haina wabunge wa chadema. Chama kimetenda haki. Sasa kila mkoa kuna mbunge wa Chadema. Tunachotaka hao wabunge wachape kazi. Mama Kafulila Jesca amepiga kampeni huku ananyonyesha mtoto. Huu ni ujasiri mkubwa kwa chama. Ni haki yake kuwa mbunge wa viti maalum.

hii ndio sababu ya kumpa ubunge??

au huyo mtoto ni wa mbowe?

mtoto alihitaji comfortability ya ziwa la mama

Tatizo mkiona wana harakati ni shida, mahaba tupa kule
 
Back
Top Bottom