Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
maombi yenu Mabaya kwa Kafulila yameshindwa,ametangulia mkewe na Kafulila anaenda kushinda,mtaficha wapi nyuso zenu na huyo mmiliki wa ACThii ndio sababu ya kumpa ubunge??
au huyo mtoto ni wa mbowe?
mtoto alihitaji comfortability ya ziwa la mama
Tatizo mkiona wana harakati ni shida, mahaba tupa kule
Halaf naamini mtatiro ataingia bungeni tu, wabunge wengi wa CCM waliochaguliwa majimboni ni wagonjwa kuna watakaokufa mapema tu
Kwa hili ukawa wamefanya ujinga kwahyo wanapenda tabia hizi za antropia. Uteuzi umenibore huu
Magamba yameanza fitina. Kwa nini usiseme kwa mama yako kumechafuka ??
Halaf naamini mtatiro ataingia bungeni tu, wabunge wengi wa CCM waliochaguliwa majimboni ni wagonjwa kuna watakaokufa mapema tu
Katika kuthibitisha ule usemi wa wananchi wengi kuwa UKAWA ni genge la wapiga deal inaonekana mnyukano wa kugawana vyeo umeanza rasmi kabla hata ya kikao cha bunge.
CUF wanalalamikia Anatropia yule dada aliyewakosesha Jimbo la Segerea baada ya kukomaa mwanzo mwisho kutetea haki yake kuteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum.
Kimsingi jimbo hilo lilitakiwa kumsimamisha mtu wa CHADEMA ingawa Mtatiro akataka kutia fitna lakini huyu mwanadada akakomaa na baadae kuiacha njia nyeupe kwa mgombea wa CCM.
UPDATES.
Nimetonywa kuwa mgawanyo wa viti maalum ndani ya CHADEMA ndio umeleta mtifuano mkali zaidi.
Watu wanalalamika kukatwa bila sababu.
Watu wanalalamikia nguvu walizotumia kuipambania CHADEMA lakini wamekatwa na baadhi ya waliopata hawakuwahi kuwa kwenye harakati mbalimbali za CHADEMA.