Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,702
Ni nini hasa wasiwasi wa Serikali kukubali yaishe?
Nini maana ya Mihimili mitatu ya Dola kama Mahakama haina sauti ya kusikilizwa?
Nadhani imefika wakati Mahakama nayo isimame kidete kusimamia utekelezaji wa Maamuzi au Hukumu zake badala ya kuziachia njiani zime-hang. Huwezi ukaihukumu Serikali kisha utegemee isimamie hukumu kwa haki.
Something need to be done here.
Nini maana ya Mihimili mitatu ya Dola kama Mahakama haina sauti ya kusikilizwa?
Nadhani imefika wakati Mahakama nayo isimame kidete kusimamia utekelezaji wa Maamuzi au Hukumu zake badala ya kuziachia njiani zime-hang. Huwezi ukaihukumu Serikali kisha utegemee isimamie hukumu kwa haki.
Something need to be done here.