Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge Mwenzetu alilipia ukumbi wa kura za Maoni akashinda

Uchaguzi 2020 Mgombea Ubunge Mwenzetu alilipia ukumbi wa kura za Maoni akashinda

Ngowi nae ana usafi gani? Kama alinunuliwa na Ccm toka upinzani leo atatuaminisha je kwamba yeye ni msafi?
Upamdacho ndicho utavuna.. Ngowi anakumbuka Gambo aliitwa mpumbavu pale Sheikh Amir baada ya kumpeleka Ngowi peke yake mbele ya Mh Rais?? Wakati alisha sema kanunua madiwani wengi wa Chadema?
 
Huyu Gambo wamemlea wenmyewe, amefanya atrocities of the highest degree kwa wapinzani wakamshangilia na kumpongeza, hawa hawa. Sasa amewageukia wao, wanalalama! Kaza spana Gambo, kaza spana baba, kaza! Piga Lock, piga ribit!
NUKUU YA LEO: "Akimaliza na sisi ataanza na nyinyi". By TAL.
 
Huyu Gambo wamemlea wenmyewe, amefanya atrocities of the highest degree kwa wapinzani wakamshangilia na kumpongeza, hawa hawa. Sasa amewageukia wao, wanalalama! Kaza spana Gambo, kaza spana baba, kaza! Piga Lock, piga ribit!
Ni kweli Mrisho kadekezwa na CCM wao wenyewe akiwa RC wa mkoa ule. Mrisho aliingilia mradi wa kituo cha afya ambao Lema aliuomba kwa wafadhili, wao waliona ni sawa. Wamelikoroga wenyewe, walinywe.
 
Nina imani kuwa jina la Mrisho Gambo litakatwa kutokana na matendo yanayosemwa ya kutoa rushwa.
 
Huyu Ngowi anachekesha sana, alihama CHADEMA kwenda "kuunga juhudi" sasa si ndio hizo zimembemenda?! Atulie juhudi zistawi.
 
Wajumbe walionunuliwa walilazimishwa kupiga picha karatasi ya kura kama ishara ya ushahidi kwamba walitimiza ahadi yao kwa mtoa rushwa.
Kuna Bwana Mdogo mmoja nilikuwa naongea nae kwenye WhatsApp; yeye aliniomba nimsupport; kwenye Harakati zake ALishawahi kuwa Diwani akapiga Chini, Miaka ya Nyuma now anataka kurudi kwenye Politics;

Kwamba Gambo aliahidi pikipiki kwa wajumbe almost 123, kwa sharti la kwamba atakayempigia kura lazima aipige picha ili aje apewe Kadi na piki piki yake; wakati wa upigaji kura ikaonekana kuna zoezi la upigaji picha, Msimamizi wa uchaguzi akapiga marufuku utaratibu huo; Greenguard wale wakaambiwa wasimamie kuhakikisha hakuna upigaji picha.

Sasa kuna wajumbe ambao wamempigia kura lakini hawajapiga picha, Wale waliopiga picha wameshapewa Motorcycle zao; ambao ni wajumbe 41 tu. So wale wengine wameamua kusema.

Lakini Gambo amewaahidi kwamba wasubirie Mchakato wa Halmashauri kuu Taifa kama wakimpitisha atawapa wote; Hivyo maombi ya waliosalia ni kwamba Gambo Asikatwe Jina lake ili wapata Pikipiki zao.

Warioba Mashaka
St. Georges, Bermuda
 
Kuna Bwana Mdogo mmoja nilikuwa naongea nae kwenye WhatsApp; yeye aliniomba nimsupport; kwenye Harakati zake ALishawahi kuwa Diwani akapiga Chini, Miaka ya Nyuma now anataka kurudi kwenye Politics;

Kwamba Gambo aliahidi pikipiki kwa wajumbe almost 123, kwa sharti la kwamba atakayempigia kura lazima aipige picha ili aje apewe Kadi na piki piki yake; wakati wa upigaji kura ikaonekana kuna zoezi la upigaji picha, Msimamizi wa uchaguzi akapiga marufuku utaratibu huo; Greenguard wale wakaambiwa wasimamie kuhakikisha hakuna upigaji picha.

Sasa kuna wajumbe ambao wamempigia kura lakini hawajapiga picha, Wale waliopiga picha wameshapewa Motorcycle zao; ambao ni wajumbe 41 tu. So wale wengine wameamua kusema.

Lakini Gambo amewaahidi kwamba wasubirie Mchakato wa Halmashauri kuu Taifa kama wakimpitisha atawapa wote; Hivyo maombi ya waliosalia ni kwamba Gambo Asikatwe Jina lake ili wapata Pikipiki zao.

Warioba Mashaka
St. Georges, Bermuda

Wajumbe 123 pikipiki 123.

Kwahiyo hata kama atakuwa kanunua kwa bei ya punguzo tuseme milioni 2 kwa pikipiki atakuwa katumia zaidi ya shilingi milioni 246 kununua pikipiki tuu bila gharama zingine za ziada alizotumia.

Na kwa maelezo yanayotoka Arusha ni wazi ametumia pesa taslim nyingi tuu hivyo jumla anaweza kuwa kautafuta Ubunge kwa milioni 400 au zaidi.
Kuna maswali, kwenye ubunge anatafuta nini hicho kwa gharama hizo?

Pili, katoa wapi pesa za nje nje kiasi hicho kijana huyu aliyekuwa RC? Lazima ni kwa rushwa na ufisadi tuu.

Sasa wale wanaosema Magufuli amedhibiti rushwa na ufisadi jee wataamini kuwa hawajui kuwa kuna rushwa na ufisadi wa hali ya juu chini ya serikali hii ya Magufuli?

Hawa vijana viongozi wa Magufuli ni wezi na majambazi hakuna mfano! Ona Mnyeti, Makonda na huyo Gambo huu utajiri mkubwa wa ghafla wameutoa wapi?

Na kwa nature ya kazi zao kama RC hawaibi za umma maana hawana mafungu (they were not Accounting officers) hivyo wanawapora wananchi matajiri na kuwalazimisha Rushwa kwa kutumia madaraka na wakati mwingine kutumia jina la Rais.

Ni vijana hatari na pengine hasira kwa Rais zingine zimesababishwa na matendo ya hawa "watoto" wake.
 
katoa wapi pesa za nje nje kiasi hicho kijana huyu aliyekuwa RC?

Mkuu this Guy is very smart; Ana rafiki zake tuko nao huku Ughaibuni Alisoma nao Tanga Tech na wengine Chuo cha uhasibu Arusha ambao amewashirikisha nia yake since november 2016, Wengine ni watoto wa wahindi wa Arusha ambao wako Vizuri kipesa; Hanspaul, veerjal etc.

Na ninawasi wasi inawezekana hata piki pik zimekuwa imported from outside(Nawaza hivyo maana hata mimi niliona ni pesa nyingi kwake, Labda angekuwa mfanya biashara hapo sawa)

Mkakati ulianza back 2016; Hivyo hata kama collection ya Hela itakuwa maeifanya muda sana, Now ni expenditure tuu.

Hata huko Arusha na Dar, ameshafanya Mobilization ya kutosha kwa info ninazoletwa huku;

Warioba Mashaka,
St. Georges, Bermuda
 
Kama ni kweli haya basi kwann wasipelekw malalamiko kamati kuu ?
 
Back
Top Bottom